Buzi Maarufu
JF-Expert Member
- Oct 30, 2019
- 423
- 330
Sio kila ndugu anafaa,sio kila ndugu anayekuomba msaada kashindwa ,walio wengi wanakuja kwako kwasababu wameshagundua pesa zako huna malengo nazo zipozipo tu,wanakuona mpumbavu fulani,fanya uchunguzi utakubaliana na mimi,Kama una pesa wekeza kwa ajili ya familia yako ziwasaidie siku utakapokuwa umetangulia mbele ya haki,maana hao ndugu zako feki hawatakuwa na msaada wowote kwa familia yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app