Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,367
- 100,408
CCM watapumzika kidogo sasa na spana za Polepole na sakata la Lissu
Doh upo wewe babuKwani kuna binadamu yeyote aliyewahi kufa akiwa marehemu? Ili ufe lazima uwe mzima.... Eboh!
Labda suala la kumwaga oil ni moja ya vyanzoTumezungumza na binamu wa marehemu, Anderson Sangara (mtoto wa mjomba wa marehemu), amesema kuwa kwa siku za karibuni marehemu hakuwa na changamoto yoyote ya kiafya,
Mke si yupo alikuwaga dc some where siyo ,akisimama imara mali zitakuwa salamaAnaumwa Figo mda mrefuuuu tu
Embu msimkosee Allah
Kazi ya Mungu Hainamakosaa
Hapa nawaonea huruma watoto kuingia vita ya mgaoo WA mali
Kama hajaandika wosia
Tuliambiwagaa hivyo na iwe hivyo tu kifo ni kifoKIFO NI KIFOOOO TUUU
WAFU WAZIKE WAFUU WAOOO
Haitabadilikaaaa mpwaaaa yaan akienda yoyotr mkubwa kwa mtoto n kifooooo tuuuTuliambiwagaa hivyo na iwe hivyo tu kifo ni kifo
Ova
Dogo acha kiburi cha uzimaKIFO NI KIFOOOO TUUU
WAFU WAZIKE WAFUU WAOOO
Jamaa si alipelekwa India?Usisahau Ndungulile
Are you his personal doctor or something?Anatufanya watanganyika hatuna akili. Yaani uwe na ngwegwe, sukari, pressure plus tatizo la figo useme alikuwa mzima tu.
Anyway kifo ni kifo tu.
Kuna kifo ambacho hakina sababu?Kifo cha mwafrika huwa hakikosi sababu
Kifo cha mswahili mkono wa mtuKuna kifo ambacho hakina sababu?