tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Waombolezaji wanaendelea kuwasili msibani kwa aliyekuwa Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Kongwa, Job Ndugai, nyumbani kwake Njedengwa Jijini Dodoma.
Soma pia: Rais Samia asikitishwa sana na Kifo Cha Ndugai. Aomba Watanzania kumuombea kwa Mungu
Tumezungumza na binamu wa marehemu, Anderson Sangara (mtoto wa mjomba wa marehemu), amesema kuwa kwa siku za karibuni marehemu hakuwa na changamoto yoyote ya kiafya, isipokuwa alikuwa akijisikia kuumwa mafua tu.
asa kugawa chakula kwa wananchi, wakiwa mamevaa na sare za chama na kutoa hotuba za kisiasa, huku wakidai ni shughuli ya kijamii. Wakati huu si wa kampeni, lakini chama kinatoa ujumbe wa kisiasa unaowahamasisha wananchi kuwachagua, jambo linalozua mashaka kuhusu nia halisi ya tukio hilo.
Chanzo: Jambo tv
Soma pia: Rais Samia asikitishwa sana na Kifo Cha Ndugai. Aomba Watanzania kumuombea kwa Mungu
Tumezungumza na binamu wa marehemu, Anderson Sangara (mtoto wa mjomba wa marehemu), amesema kuwa kwa siku za karibuni marehemu hakuwa na changamoto yoyote ya kiafya, isipokuwa alikuwa akijisikia kuumwa mafua tu.
asa kugawa chakula kwa wananchi, wakiwa mamevaa na sare za chama na kutoa hotuba za kisiasa, huku wakidai ni shughuli ya kijamii. Wakati huu si wa kampeni, lakini chama kinatoa ujumbe wa kisiasa unaowahamasisha wananchi kuwachagua, jambo linalozua mashaka kuhusu nia halisi ya tukio hilo.
Chanzo: Jambo tv