Ndugu wakulima ninapata wapi mashine ya kukatia mpunga?!

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
59,233
Reaction score
138,749

Kama mnavyojua mashamba yetu ni ya kienyeji yanahitaji machine all weather badala ya zile kubwa za Kubota kama hiyo hapo juu.

Nipeni connection chap nikimbizane na msimu wa mavuno
 

Kama mnavyojua mashamba yetu ni ya kienyeji yanahitaji machine all weather badala ya zile kubwa za Kubota kama hiyo hapo juu.

Nipeni connection chap nikimbizane na msimu wa mavuno
Ngoja niwahi siti ya mwanzoni make Mimi mwenyewe naihitaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…