Ndugu wa Tanzania Mnakielewa chanzo cha Misukosuko ya Nchi? (Ali H. Mwinyi)

Black Jesus

JF-Expert Member
Mar 7, 2008
256
9
Alipoleta Azimio lake la zanzibar ndio ilikuwa mwanzo na mwisho kwa viongozi wa TZ kutokuwa na huruma zidi ya nchi na mali za uma ,hata mwalimu alipiga kelele sana ,kwa kiasi fulani mzee mwinyi hakuiletea mema TZ kama tunavyomsifia.alichokifanya baada ya kuwa Rais wa Tanzania ni Hadaa ya panya anakungaka unapokuwa umelala huku anakupuliza.
 
Black Jesus unaufahamu msemo wa 'Shukurani za Punda mateke?' Basi ndio baadhi yenu nyinyi.

Enzi zile kila kitu ilikuwa foleni foleni foleni - sabuni ya mawingu kwa foleni, vitenge TZ yote inavaa aina moja nayo ni kwa foleni. Watu walifikia hata kuvaa mifuko ya unga ngano (enzi zile mifuko ya kg 50 ilikuwa ya vitambaa), kuwa na TV au friji ni haramu, gari kuendesha mwisho saa nane mchana siku za jpili, kuwa na dola za kimarekani au foreign currency yo yote ni uhaini.

Sera ya ujamaa na kujitegemea ni nzuri kinadharia lakini kiuhalisia haifanyi kazi. Na huo ni ukweli nyinyi vijana wa leo mubaki kuimba tu na kukumbuka mabaya badala ya kushukuru kwa yale maendeleo yaliyofanyika kwa kubadilisha sera zile.

You are taking too many things for granted.
 
Alipoleta Azimio lake la zanzibar ndio ilikuwa mwanzo na mwisho kwa viongozi wa TZ kutokuwa na huruma zidi ya nchi na mali za uma ,hata mwalimu alipiga kelele sana ,kwa kiasi fulani mzee mwinyi hakuiletea mema TZ kama tunavyomsifia.alichokifanya baada ya kuwa Rais wa Tanzania ni Hadaa ya panya anakungaka unapokuwa umelala huku anakupuliza.

chanzo cha misukosuko nchini ni watanzania wenyewe.Acha kumsingizia Mwinyi.
 
Mwinyi ni Great thinker! aliibadisha nchi kuipeleka kwenye right direction ambapo wakati ule Nyerer nchi ilikuwa imeshamshinda kuanzia:

1. Ufisadi kwenye mashirika ya umma
2. Economy meltdown
3. Barabara hazipiptiki
4. X-mass uwezi kwenda kwenu mabasi/gari hakuna
5. Elimu mwisho darasa la saba only 25% waliendelea na masomo ya juu
6. Zero justice, mgambo, mjumbe mwenyecheo anakuweka ndani bila kesi
7. Nguvu kazi
8. Kodi ya maendeleo
9. Kula kwa kaya
10. Wahindi na waasia ndio walio control biashara
11. Wahizi walianza kuchomwa mote kwa kukosekana justice
12. Nyere haambiliki
13. Bunge halina sauti
14. Wasomi na wanasiasa walikimbia nchi
15. Kukosekana amani
16. Vita na Uganda
17. Uadui na majirani zetu(kenya, uganda, n,k)
18. Nchi ilitaka kupindiliwa kipindi chake
19. Ukifanya biashara unaitwa mlanguzi
20. Ukabila, Jeshini na usalama wa nchi kaweka ndugu zake wakurya
21. ubaguzi wa madaraka(wananchi wengine walisikia na kujiona isolated kwenye nchi yao)
22. Naweza kukesha hapa kwenye keybord!!!!!!!!

.
. Utaacha nitowe machozi, bora kaa kimya kama umezalia 70s
 
Mwinyi ni Great thinker! aliibadisha nchi kuipeleka kwenye right direction ambapo wakati ule Nyerer nchi ilikuwa imeshamshinda kuanzia:

1. Ufisadi kwenye mashirika ya umma
2. Economy meltdown
3. Barabara hazipiptiki
4. X-mass uwezi kwenda kwenu mabasi/gari hakuna
5. Elimu mwisho darasa la saba only 25% waliendelea na masomo ya juu
6. Zero justice, mgambo, mjumbe mwenyecheo anakuweka ndani bila kesi
7. Nguvu kazi
8. Kodi ya maendeleo
9. Kula kwa kaya
10. Wahindi na waasia ndio walio control biashara
11. Wahizi walianza kuchomwa mote kwa kukosekana justice
12. Nyere haambiliki
13. Bunge halina sauti
14. Wasomi na wanasiasa walikimbia nchi
15. Kukosekana amani
16. Vita na Uganda
17. Uadui na majirani zetu(kenya, uganda, n,k)
18. Nchi ilitaka kupindiliwa kipindi chake
19. Ukifanya biashara unaitwa mlanguzi
20. Ukabila, Jeshini na usalama wa nchi kaweka ndugu zake wakurya
21. ubaguzi wa madaraka(wananchi wengine walisikia na kujiona isolated kwenye nchi yao)
22. Naweza kukesha hapa kwenye keybord!!!!!!!!

.
. Utaacha nitowe machozi, bora kaa kimya kama umezalia 70s

Vipi kati ya Mh. Kikwete, Mkapa na Mwinyi, yupi unamwona bora zaidi kwako na kwa Taifa la Tanzania ukimwacha Nyerere?!

(Btw...Tafadhali usitoe machozi, kufanya hivyo ni hatari kwa computer yako - hayachelewi ku-short circuit keyboard yako!)
 
Black Jesus unaufahamu msemo wa 'Shukurani za Punda mateke?' Basi ndio baadhi yenu nyinyi.

Enzi zile kila kitu ilikuwa foleni foleni foleni - sabuni ya mawingu kwa foleni, vitenge TZ yote inavaa aina moja nayo ni kwa foleni. Watu walifikia hata kuvaa mifuko ya unga ngano (enzi zile mifuko ya kg 50 ilikuwa ya vitambaa), kuwa na TV au friji ni haramu, gari kuendesha mwisho saa nane mchana siku za jpili, kuwa na dola za kimarekani au foreign currency yo yote ni uhaini.

Sera ya ujamaa na kujitegemea ni nzuri kinadharia lakini kiuhalisia haifanyi kazi. Na huo ni ukweli nyinyi vijana wa leo mubaki kuimba tu na kukumbuka mabaya badala ya kushukuru kwa yale maendeleo yaliyofanyika kwa kubadilisha sera zile.

You are taking too many things for granted.

Wewe binti mkongwe umeamua kuandika uwongo, nami sitauruhusu uwongo huu ubaki kama ulivyo. Si kweli kwamba ilikuwa haramu kuwa na TV au friji. Binafsi nawafahamu Watanzania wengi waliokuwa na TV enzi za Mwalimu na walikuwa wanaangalia station ya Zenj au Kenya kwa wale walio kaskazini. Kulikuwa na makampuni kama DABCO na RTC ambayo yalikuwa yanauza friji.

Mwaka 73 kulitokea matatizo makubwa ya upatikanaji wa Petroli na hii ilisababisha bei ya petroli duniani kupanda kwa kasi sana na hata nchi za magharibi ziliathirika sana. Nakumbuka US kulikuwa na foleni za kutisha za wenye magari wakisubiri petroli kwa masaa chungu nzima na halii hii pamoja na uchumi kuanguka kutokana na athari za bei ya mafuta na kuwa adimu kulisababisha Jimmy Carter akae madarakani kwa kipindi kimoja tu.

Kutokana na matatizo hayo ya mafuta Serikali ikaamua kubana matumizi ya magari ya Serikali na ya mashirika ya umma kila siku ya Jumapili kuanzia saa nane mchana lakini wenye magari binafsi waliruhusiwa kuyaendesha (kama nakumbuka vizuri) lakini wakati huo Watanzania waliokuwa na magari yao binafsi walikuwa wachache mno.

Pia ni lazima ukumbuke jinsi Sera za Nyerere zilivyopigwa vita na nchi za magharibi. Hivyo hii iliathiri kwa namna moja au nyingine kupatikana kwa bidhaa mbali mbali

Swali kwako baada ya kuzikumbatia sera za kibepari tangu wakati wa Mwinyi, Mkapa na sasa Kikwete je Watanzania tumeona maendeleo yoyote ya kuridhisha ukilinganisha na enzi za Mwalimu? au tumeona jinsi wageni wakishirikiana na wateule wakifanya wizi wa mapesa chungu nzima na kupora rasilimali zetu?
 
Alipoleta Azimio lake la zanzibar ndio ilikuwa mwanzo na mwisho kwa viongozi wa TZ kutokuwa na huruma zidi ya nchi na mali za uma ,hata mwalimu alipiga kelele sana ,kwa kiasi fulani mzee mwinyi hakuiletea mema TZ kama tunavyomsifia.alichokifanya baada ya kuwa Rais wa Tanzania ni Hadaa ya panya anakungaka unapokuwa umelala huku anakupuliza.

Ondoka Bana We! Mzee kifimbo alishakufa? Au la Azimio la Arusha aliona aibu lakini la serikali tatu alikuja juu!
 
Wewe binti mkongwe umeamua kuandika uwongo, nami sitauruhusu uwongo huu ubaki kama ulivyo. Si kweli kwamba ilikuwa haramu kuwa na TV au friji. Binafsi nawafahamu Watanzania wengi waliokuwa na TV enzi za Mwalimu na walikuwa wanaangalia station ya Zenj au Kenya kwa wale walio kaskazini. Kulikuwa na makampuni kama DABCO na RTC ambayo yalikuwa yanauza friji.

Mwaka 73 kulitokea matatizo makubwa ya upatikanaji wa Petroli na hii ilisababisha bei ya petroli duniani kupanda kwa kasi sana na hata nchi za magharibi ziliathirika sana. Nakumbuka US kulikuwa na foleni za kutisha za wenye magari wakisubiri petroli kwa masaa chungu nzima na halii hii pamoja na uchumi kuanguka kutokana na athari za bei ya mafuta na kuwa adimu kulisababisha Jimmy Carter akae madarakani kwa kipindi kimoja tu.

Kutokana na matatizo hayo ya mafuta Serikali ikaamua kubana matumizi ya magari ya Serikali na ya mashirika ya umma kila siku ya Jumapili kuanzia saa nane mchana lakini wenye magari binafsi waliruhusiwa kuyaendesha (kama nakumbuka vizuri) lakini wakati huo Watanzania waliokuwa na magari yao binafsi walikuwa wachache mno.

Pia ni lazima ukumbuke jinsi Sera za Nyerere zilivyopigwa vita na nchi za magharibi. Hivyo hii iliathiri kwa namna moja au nyingine kupatikana kwa bidhaa mbali mbali

Swali kwako baada ya kuzikumbatia sera za kibepari tangu wakati wa Mwinyi, Mkapa na sasa Kikwete je Watanzania tumeona maendeleo yoyote ya kuridhisha ukilinganisha na enzi za Mwalimu? au tumeona jinsi wageni wakishirikiana na wateule wakifanya wizi wa mapesa chungu nzima na kupora rasilimali zetu?

Mimi nampenda asieruhusu uongo lakini pia simpendi asiesema kweli kama wewe.
Hili la TV (Kabla ya kuendelea ningeomba umri wako pengine hayo mambo umehadthiwa) linaukweli na aliloandika huyo unaemsuta. Naomba unijibu TV wakati huo zilikuwa zinauzwa duka gani? Kwa faida ya wanataka ukweli ni kuwa zilikuwa TV za magendo zilizoibwa Zanzibar.
Jambo la pili jee unakumbuka suwala la Wahujumu? Uliza watu watakueleza jinsi gani watu walivyotupa majalalani MaTV, sasa wakiogopa kitu gani kama ilkuwa ruksa?
 
Huyo huyo Great Thinker ndiye aliyeuza mbuga zetu za Loliondo kwa Waarabu. Alaaniwe!
 
Ama kweli, tunasahau mno upesi! Sera ya soko huria ilipitishwa 1984, Mh Alhaji Mwinyi alichaguliwa kuongoza nchi 1985! Uamuzi wa watanzania wa au kuwa na sera ya vyama vingi ama la ulipigiwa kura (referandum) na wengi wakataka wabaki na chama kimoja, Nyerere akalazimisha pamoja na haja ya kuheshimu demokrasia, nchi haikuwa na budi walau wakati ule kuupa uzito uamuzi wa wachache yaani kuchagua kuwa na sera ya vyama vingi. Ni pale Zanzibar tu ambako hatujui kilichojiri, hakuna sera yeyote iliyowekwa wazi pale, ni vurugu tu! Sasa wewe Bimkonge na wengine, mnawezaje kudhani Mwinyi ndiye aliyeboresha sera wakati unaona kabisa Nyerere akiwa ni kinara wa kuleta soko huru (1984) na sera ya vyama vingi(1991)?

Lakini yote tisa, sera na mfumo sio miliki ya mtu mmoja!!! Hata huko Marekani, hakuna kinachobadilika eti tu kwa kuwa yupo Obama, yale yale yanaendelea, ni harafu tu ya juu tunayoona kama kihalalisho cha kuwepo aliye katika madaraka....habari ndio hiooo
 
Mwinyi ni Great thinker! aliibadisha nchi kuipeleka kwenye right direction ambapo wakati ule Nyerer nchi ilikuwa imeshamshinda kuanzia:

1. Ufisadi kwenye mashirika ya umma
2. Economy meltdown
3. Barabara hazipiptiki
4. X-mass uwezi kwenda kwenu mabasi/gari hakuna
5. Elimu mwisho darasa la saba only 25% waliendelea na masomo ya juu
6. Zero justice, mgambo, mjumbe mwenyecheo anakuweka ndani bila kesi
7. Nguvu kazi
8. Kodi ya maendeleo
9. Kula kwa kaya
10. Wahindi na waasia ndio walio control biashara
11. Wahizi walianza kuchomwa mote kwa kukosekana justice
12. Nyere haambiliki
13. Bunge halina sauti
14. Wasomi na wanasiasa walikimbia nchi
15. Kukosekana amani
16. Vita na Uganda
17. Uadui na majirani zetu(kenya, uganda, n,k)
18. Nchi ilitaka kupindiliwa kipindi chake
19. Ukifanya biashara unaitwa mlanguzi
20. Ukabila, Jeshini na usalama wa nchi kaweka ndugu zake wakurya
21. ubaguzi wa madaraka(wananchi wengine walisikia na kujiona isolated kwenye nchi yao)
22. Naweza kukesha hapa kwenye keybord!!!!!!!!

.
. Utaacha nitowe machozi, bora kaa kimya kama umezalia 70s

umenikuna hapo kwenye namba 14.

nakumbuka jinsi tulivyokuwa tukimuimba vibaya marehemu Oscar Kambona kwenye mchakamchaka huko st govt primary school. nikitazama nyuma sioni kosa lake zaidi ya kutofautiana ki-misimamo na mwalimu...pengine sijui sana...niko tayari kuelimishwa.
 
Nijuavyo mimi hakuna kinara wa mabadiliko bali msimamizi/kiongozi wakati mabadiliko hayo.Kinara wa mabadiliko ni mabadiliko yenyewe yanayoletwa na mfumo wa mazingira.Mwinyi hakulazimisha mabadiliko bali mabadiliko yalimlazimisha kufanya hayo aliyofanya yawe mazuri au mabaya.
Mkumbuke kuwa historia huandikwa kwa mabaya na mazuri ya mtu/mfumo.
Alichokifanya Mwinyi,kilimshinda Nyerere hadi kuamua Kung'atuta,Mwinyi kwa ujasiri mkubwa akakubali mabadiliko ili kuendana na mfumo wa dunia.
After all AZIMIO LA ZANZIBAR LILIHALALISHA UFISADI,RUSHWA NA USHENZI MWINGINE TUNAOUONA LEO?
 
Ama kweli, tunasahau mno upesi! Sera ya soko huria ilipitishwa 1984, Mh Alhaji Mwinyi alichaguliwa kuongoza nchi 1985! Uamuzi wa watanzania wa au kuwa na sera ya vyama vingi ama la ulipigiwa kura (referandum) na wengi wakataka wabaki na chama kimoja, Nyerere akalazimisha pamoja na haja ya kuheshimu demokrasia, nchi haikuwa na budi walau wakati ule kuupa uzito uamuzi wa wachache yaani kuchagua kuwa na sera ya vyama vingi. Ni pale Zanzibar tu ambako hatujui kilichojiri, hakuna sera yeyote iliyowekwa wazi pale, ni vurugu tu! Sasa wewe Bimkonge na wengine, mnawezaje kudhani Mwinyi ndiye aliyeboresha sera wakati unaona kabisa Nyerere akiwa ni kinara wa kuleta soko huru (1984) na sera ya vyama vingi(1991)?

Lakini yote tisa, sera na mfumo sio miliki ya mtu mmoja!!! Hata huko Marekani, hakuna kinachobadilika eti tu kwa kuwa yupo Obama, yale yale yanaendelea, ni harafu tu ya juu tunayoona kama kihalalisho cha kuwepo aliye katika madaraka....habari ndio hiooo


Sijakuelewa eti sera ya soko huria ilipitishwa 1984 lakini Nyerere akaamuwa angatuke? Hakuwa na ubavu wa soko huria?
Bado alisimamia sera hiyo!
 
umenikuna hapo kwenye namba 14.

Nakumbuka jinsi tulivyokuwa tukimuimba vibaya marehemu oscar kambona kwenye mchakamchaka huko st govt primary school. Nikitazama nyuma sioni kosa lake zaidi ya kutofautiana ki-misimamo na mwalimu...pengine sijui sana...niko tayari kuelimishwa.

mbona mtei alitofautiana na mwalimu lakini hakukimbia nchi???????

NI KUTOFAUTIANA GANI UKO KIMSIMAMO KULIMFANYA KAMBONA AKAKIMBIA???
 
sera za soko huria na zilizoletwa na mzee mwinyi zilikuwa nzuri kulingana na mabadiliko yaliyotokea duniani kipindi kile,bahati mbaya twaweza sema mzee mwinyi hakupata viongozi waliokuwa na uchungu wa kweli na nchi yetu,wengi walijilimbikizia mali au walishindwa kusimamia miradi waliyopewa hii ndiyo iliyopelekea kudorora kwa uchumi katika miaka ya mwisho ya utawala wake
lakini yote kwa yote mabadiliko mengi CHANYA yalitokea katika kipindi cha mzee ruksa ana nafasi yake ya kushukuriwa kwa aliyoitendea tanzania, kama vile nyerere alivyo na nafasi yake ya kulaumiwa kwa kuididimiza tanzania,maana laiti angeacha sifa za kuchukua pato na rasilimali za nchi kuzitumbukiza kwenye vita za ukombozi wa afrika labda tungekuwa mbali kwani wale tuliowasaidia kukomboka wanatusaidia nini leo?
 
Alipoleta Azimio lake la zanzibar ndio ilikuwa mwanzo na mwisho kwa viongozi wa TZ kutokuwa na huruma zidi ya nchi na mali za uma ,hata mwalimu alipiga kelele sana ,kwa kiasi fulani mzee mwinyi hakuiletea mema TZ kama tunavyomsifia.alichokifanya baada ya kuwa Rais wa Tanzania ni Hadaa ya panya anakungaka unapokuwa umelala huku anakupuliza.
Hili azimio kwa vile linanuka basi ni la Zanzibar!!!
Hebu vunjeni huo muungano na murudishe hayo maazimio mema ya Arusha, mutuwachie vijisiwa vyetu wenyewe tujipake mafuta ya karafuu!

Kelele tupu, kila baya imekuwa Zanzibar ndio chanzo.Lakini cha kufurahisha,kwanini Tanganyika imekuvikumbatia visiwa hivyo?
 
Black Jesus unaufahamu msemo wa 'Shukurani za Punda mateke?' Basi ndio baadhi yenu nyinyi.

Enzi zile kila kitu ilikuwa foleni foleni foleni - sabuni ya mawingu kwa foleni, vitenge TZ yote inavaa aina moja nayo ni kwa foleni. Watu walifikia hata kuvaa mifuko ya unga ngano (enzi zile mifuko ya kg 50 ilikuwa ya vitambaa), kuwa na TV au friji ni haramu, gari kuendesha mwisho saa nane mchana siku za jpili, kuwa na dola za kimarekani au foreign currency yo yote ni uhaini.

Sera ya ujamaa na kujitegemea ni nzuri kinadharia lakini kiuhalisia haifanyi kazi. Na huo ni ukweli nyinyi vijana wa leo mubaki kuimba tu na kukumbuka mabaya badala ya kushukuru kwa yale maendeleo yaliyofanyika kwa kubadilisha sera zile.

You are taking too many things for granted.

ujue kutofautisha vitu, ndugu. kuna soko huria upande mmoja na azimio la zanzibar upande mwingine. soko huria hatulilaumu bali ni hilo azimio la zanzibar. hata mimi naanza kupata picha hapo kuwa hilo azimio ndio chanzo cha matatizo kwani linawahusu viongozi moja kwa moja
 
Mwinyi ni Great thinker! aliibadisha nchi kuipeleka kwenye right direction ambapo wakati ule Nyerer nchi ilikuwa imeshamshinda kuanzia:

1. Ufisadi kwenye mashirika ya umma
2. Economy meltdown
3. Barabara hazipiptiki
4. X-mass uwezi kwenda kwenu mabasi/gari hakuna
5. Elimu mwisho darasa la saba only 25% waliendelea na masomo ya juu
6. Zero justice, mgambo, mjumbe mwenyecheo anakuweka ndani bila kesi
7. Nguvu kazi
8. Kodi ya maendeleo
9. Kula kwa kaya
10. Wahindi na waasia ndio walio control biashara
11. Wahizi walianza kuchomwa mote kwa kukosekana justice
12. Nyere haambiliki
13. Bunge halina sauti
14. Wasomi na wanasiasa walikimbia nchi
15. Kukosekana amani
16. Vita na Uganda
17. Uadui na majirani zetu(kenya, uganda, n,k)
18. Nchi ilitaka kupindiliwa kipindi chake
19. Ukifanya biashara unaitwa mlanguzi
20. Ukabila, Jeshini na usalama wa nchi kaweka ndugu zake wakurya
21. ubaguzi wa madaraka(wananchi wengine walisikia na kujiona isolated kwenye nchi yao)
22. Naweza kukesha hapa kwenye keybord!!!!!!!!

.
. Utaacha nitowe machozi, bora kaa kimya kama umezalia 70s

mkewe ndie aliekuwa great thinker kwa ufahamu wako, ila haya mambo wakati mwingine ni ajali ya kimazingira na muda tu. Nyerere ni mtu wa msimamo na alitaka kusimamia kile kilicho sawa japo hatupingi kuwa alikosea wakati mwingine. haya mambo yana hatua (evolution). mabadiliko yaalikuwa ni jambo la lazima, ila kwa vile Baba wa Taifa hakupenda kuishia kuwa kama akina Kaunda na Mugabe, aliamua kuwaachia wengine wayafanye hayo mabadiliko
 
Back
Top Bottom