Black Jesus
JF-Expert Member
- Mar 7, 2008
- 256
- 9
Alipoleta Azimio lake la zanzibar ndio ilikuwa mwanzo na mwisho kwa viongozi wa TZ kutokuwa na huruma zidi ya nchi na mali za uma ,hata mwalimu alipiga kelele sana ,kwa kiasi fulani mzee mwinyi hakuiletea mema TZ kama tunavyomsifia.alichokifanya baada ya kuwa Rais wa Tanzania ni Hadaa ya panya anakungaka unapokuwa umelala huku anakupuliza.