Nawaza kama serikali watasema tulisema tutagharamia nyie endeleeni na matanga then mambo yanakuwa
Jeneza 200,000
Malipo Hospitali (Serikali inasamehe)
Gari la kubeba mwili (la Serikali)
Magari ya Msafara (ya magereza)
Tent (za Lugalo pale)
Shooting (camera za Dr Abbas)
MC Gerson Msigwa
Viti (vya ukumbi wa Police Officers)
Tena kwa Serikali hii, utaambiwa tunatumia Force Account na sio mzabuni
Akwelina umetuachia mapya, nenda salama
Jeneza 200,000
Malipo Hospitali (Serikali inasamehe)
Gari la kubeba mwili (la Serikali)
Magari ya Msafara (ya magereza)
Tent (za Lugalo pale)
Shooting (camera za Dr Abbas)
MC Gerson Msigwa
Viti (vya ukumbi wa Police Officers)
Tena kwa Serikali hii, utaambiwa tunatumia Force Account na sio mzabuni
Akwelina umetuachia mapya, nenda salama