Ndugai: Wanaonipigia simu wanaomba pesa

Ndugai: Wanaonipigia simu wanaomba pesa

KELVIN GASPER

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
1,066
Reaction score
454
naibu spika job ndugai amedai kuwa, baada ya viongozi wa chadema kuweka hadharani namba yake simu wengi wanaompigia huwa wanamwomba fedha na si kama inavyohisiwa. Source magazeti leo
 
Teh teh teh!hana fedha gani huyu kapuku mzungu wa Reli?
 
naibu spika job ndugai amedai kuwa, baada ya viongozi wa chadema kuweka hadharani namba yake simu wengi wanaompigia huwa wanamwomba fedha na si kama inavyohisiwa. Source magazeti leo

Teh teh teh...! naanza kuipitia tena ile kauli kuwa wale watu wa mle mjengoni huwa wana wanapiga sigara kubwa na kujitoa lock na viroba na konyagi.. khaaa...!!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
naibu spika job ndugai amedai kuwa, baada ya viongozi wa chadema kuweka hadharani namba yake simu wengi wanaompigia huwa wanamwomba fedha na si kama inavyohisiwa. Source magazeti leo

Ndugai ana fedha ,atoe wapi ,LABDA hizo vipesa wanavyo mpa Magamba wenzie anapokuwa anawatetea... otherwise is nothing.
 
naibu spika job ndugai amedai kuwa, baada ya viongozi wa chadema kuweka hadharani namba yake simu wengi wanaompigia huwa wanamwomba fedha na si kama inavyohisiwa. Source magazeti leo

Tangia lini fisadi akasaidi?
 
kwa kauli hii yeye na bosi wake hawapo pamoja. Bosi natukanwa yeye anaombwa pesa . Kwa hiyo yeye si tatizo. Tatizo ni bosi wake.
 
poa yeye anambwa pesa bosi wake anaombwa ile inayomficha mwensake
 
Kwenye mdahalo na Mh. Lissu ITV, Mh Ndugai alisema wanatumiwa sms za matusi, leo wanaombwa fedha!!!! Kipi ni Kipi??!!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
ndugai kaambiwa nini mbona anaficha au hayasemeki, yaani watu wote waombe pesa mmmmmhhh hapana!!!??
 
anyoshe maelezo, mbona haja sema ya kwangu niliyomtukana akanijibu poa na nyingine akanijibu sawa..
 
naibu spika job
ndugai amedai kuwa, baada ya viongozi wa chadema kuweka hadharani namba
yake simu wengi wanaompigia huwa wanamwomba fedha na si kama
inavyohisiwa. Source magazeti leo

Kwa hiyo polisi ni waongo sasa, si walisema wanatukanwa... Anyway, sio vibaya kuombwa ela, kwani wananchi wamechoka na wana hali mbaya...
 
Nimemtaka ajiuzulu, naona wamekubaliana wasiseme juu ya kujiuzulu, kama vipi tuongezeni kasi kuwatumia sms za kuwataka wajiuzulu harakaaa!
 
Inamaana hata Raisi akimpigia simu naye anamuomba Pesa?
 
Kwenye mdahalo na Mh. Lissu ITV, Mh Ndugai alisema wanatumiwa sms za matusi, leo wanaombwa fedha!!!! Kipi ni Kipi??!!
wananchi hatutaomba pesa,tutachukua kwa nguvu pesa zetu!bunge lililopita wameingiza hasara mamilioni kwa kupoteza muda
 
naibu spika job ndugai amedai kuwa, baada ya viongozi wa chadema kuweka hadharani namba yake simu wengi wanaompigia huwa wanamwomba fedha na si kama inavyohisiwa. Source magazeti leo

Ni watu waungwana sana kukuomba fedha maana wanajua wewe unatanua sana pale mjengoni unashindwa kutetea maslahi hata ya wanajimbo wako. Unatakiwa uwape fedha Mh Ndugai
 
Mtu wakupindisha ni wakupindisha tu anapigiwa simun kutukanwa anadai anaombwa pesa.lol!
Inadhihirisha huyu baba ni mpindishaji wa mambo wa hali ya juu!
 
Hii Kali Speaker naye akisema SMS na simu nyingi nilizopokea zilikuwa zinanitongoza na kunitaka mapenzi......DuuuGay ni kiboko
 
Back
Top Bottom