Ndugai hapaswi kulaumiwa, katekeleza sheria, tukianza kutafuta huruma kwenye sheria za nchi mambo hayakwenda

omtiti

JF-Expert Member
Jun 19, 2019
1,022
1,590
IFIKE WAKATI MSIOJIELEWA, MJIELEWE!
Ukiipenda Demokrasia, pende na Sheria.
Ndugai Yuko Sahihi!

Na:George Kabadi.
==================================
Ni kosa kubwa kuiruhusu akili ya mwanasiasa ifanye kazi, kama mbaadala wa akili yako. Miaka ya hivi karibuni, limeibuka vimbi kubwa la watu wanaojiita wanaharakati kuwatetea watu wanaopenda kusemewa, matatizo yao na watu wengine.
:-Hili ni kosa kubwa katika kufikri.

»Katika ubinadamu wangu, natoa pole kwa MH Tundu Lissu, kwa utenguzi wa ubunge wake ulio-fanywa na kanuni na sheria za bunge.

»Katika sheria za nchi yangu, natoa pongezi kwa Spika Job Ndugai kwa kufuata demokrasia katika kutenda mambo kwa sheria, bila kutumia mihemuko ya ki-binadamu.

Najua ya kuwa fikra za watanzania wengi, hasa wanaoishi kwa fikra za bendera hawaezi kutambia matakwa ya sheria inasema nini katika hili.
Wengi tumejikita kusema nchi haina demokrasia, wakati demokrasia inapofuatwa hunalalamika, hakuna demokrasia. Je tunataka demokrasia ipi haswa ifuate?
Tutambue demokrasia huambatana na utekelezwaji wa sheria, bila kujali kakatwa nani!
:-Ujinga wa walio wengi hufikri nchi huongozwa kwa mihemko ya fikra za mtu binafsi.

»Rais:-Akitoa tamko vijana wa lumumba hulishadadia kana-kwamba ni sheria.

»Wapinzani:-Wakitoa tamko, vijana wa upinzani nao hulichukulia kama sheria.

Imefika wakati sasa, sheria ikifuatwa, tunalalamika.
Kutengulia kwa ubunge wa Tundu Lissu, ni tikwa la sheria.
Tuangalieni sheria inasema nini, tusiangalie Spika kasema nini!
Sheria ya nchi hii, haitungwi na Sipika Ndugai na mkewe, bali hutungwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Tusimulaumu Ndugai wakati yeye katekeleza matakwa ya sheria.

:-Uathirika wa kudharau sheria na kutii matamko ya viongozi, ni umekua kwa kasi. Ikiwa tumeamua kuishi kwa kutokufuata sheria, basi na tuishi wa kwa kufuata matamko ya viongozi wa vyama vya siasa, ambao matamko yao tunaona,ni bora kuliko sheria.

Sheria ni msumeno, tusiupangie msumeno sehemu ya kukata.
Kumlaumu Ndugai ni kukosa fikra mubadala!

#Acha Mawazo Mfinyanzi.
Kalamu Ya Mwebrania.
Na:George Kabadi.
0759 131 717
 
Labda unachosema una mantiki lakini nauliza maswali mawili naomba majibu yake soon
Je katika historia kuanzia uongozi wa mwalimu Nyerere, Mwinyi na Mkapa kuna mbunge amewahi fukuzwa kwa namna hii?
Pili Je katika awamu hizo wabunge walikuwa hawaumwi?
Ulale mahala pema peponi RUKIZA KINYONDO Mbunge wa zamani wa Bukoba Vijijini, Uliyeugua kwa miezi zaid ya 24 kipindi cha Benja Mkapa ,Ukaendelea kupata stahiki zako zote ukiwa matibabuni Africa kusini,
Nakumbuka ulisafirishwa kwa hati ya dharura bila kufuata utaratibu wa Bunge,
Nawakumbusha tu Mkapa alikuwa dictator makini siyo huyu...

Britanicca
 
Asante kwa andiko zuri lakini naomba nikuambie jambo hili kama upo vizuri kichwani haihitaji hata kustrain ubongo kuona lipo tofauti na ulichoandika...unajua ifike mahali uelewe mtu akifanya jambo la kijinga hata utetee vipi utaaibika.
Nimalizie kwa kusema upumbavu hauna nafasi katika dunia ya leo...
 
Labda unachosema una mantiki lakini nauliza maswali mawili naomba majibu yake soon
Je katika historia kuanzia uongozi wa mwalimu Nyerere, Mwinyi na Mkapa kuna mbunge amewahi fukuzwa kwa namna hii?
Pili Je katika awamu hizo wabunge walikuwa hawaumwi?
Ulale mahala pema peponi RUKIZA KINYONDO Mbunge wa zamani wa Bukoba Vijijini, Uliyeugua kwa miezi zaid ya 24 kipindi cha Benja Mkapa ,Ukaendelea kupata stahiki zako zote ukiwa matibabuni Africa kusini,
Nakumbuka ulisafirishwa kwa hati ya dharura bila kufuata utaratibu wa Bunge,
Nawakumbusha tu Mkapa alikuwa dictator makini siyo huyu...

Britanicca
Keep on dreaming while time keep on changing. Zamani asubui ilikuwa inaanzia saa kumi na mbili siku hizi asubui inaanzia saa kumi na jogoo anawika saa tisa.
 
Labda unachosema una mantiki lakini nauliza maswali mawili naomba majibu yake soon
Je katika historia kuanzia uongozi wa mwalimu Nyerere, Mwinyi na Mkapa kuna mbunge amewahi fukuzwa kwa namna hii?
Pili Je katika awamu hizo wabunge walikuwa hawaumwi?
Ulale mahala pema peponi RUKIZA KINYONDO Mbunge wa zamani wa Bukoba Vijijini, Uliyeugua kwa miezi zaid ya 24 kipindi cha Benja Mkapa ,Ukaendelea kupata stahiki zako zote ukiwa matibabuni Africa kusini,
Nakumbuka ulisafirishwa kwa hati ya dharura bila kufuata utaratibu wa Bunge,
Nawakumbusha tu Mkapa alikuwa dictator makini siyo huyu...

Britanicca
Sio issue ya kuumwa tu brother
Kuna wabunge wa Ccm hii hii ya Ndugai hawapo bungeni kwa muda sasa lakini hakuna action. Mfano Prof Muhongo tangu jamaa amtumbue haonekani bungeni. Kuna Mzee Mkono haja onekana bungeni kwa muda pi lakini wao ni poa. Issue ya Lissu iko wazi ni mgonjwa hajaruhusiwa na Dr. Kutoka hospitali lakini Mgogo mzee wa bakora ambae hatujui ugonjwa wake anasema hajui Lissu yuko wapi.. Huyu ni m.... b.... wa
 
IFIKE WAKATI MSIOJIELEWA, MJIELEWE!
Ukiipenda Demokrasia, pende na Sheria.
Ndugai Yuko Sahihi!

Na:George Kabadi.
==================================
Ni kosa kubwa kuiruhusu akili ya mwanasiasa ifanye kazi, kama mbaadala wa akili yako. Miaka ya hivi karibuni, limeibuka vimbi kubwa la watu wanaojiita wanaharakati kuwatetea watu wanaopenda kusemewa, matatizo yao na watu wengine.
:-Hili ni kosa kubwa katika kufikri.

»Katika ubinadamu wangu, natoa pole kwa MH Tundu Lissu, kwa utenguzi wa ubunge wake ulio-fanywa na kanuni na sheria za bunge.

»Katika sheria za nchi yangu, natoa pongezi kwa Spika Job Ndugai kwa kufuata demokrasia katika kutenda mambo kwa sheria, bila kutumia mihemuko ya ki-binadamu.

Najua ya kuwa fikra za watanzania wengi, hasa wanaoishi kwa fikra za bendera hawaezi kutambia matakwa ya sheria inasema nini katika hili.
Wengi tumejikita kusema nchi haina demokrasia, wakati demokrasia inapofuatwa hunalalamika, hakuna demokrasia. Je tunataka demokrasia ipi haswa ifuate?
Tutambue demokrasia huambatana na utekelezwaji wa sheria, bila kujali kakatwa nani!
:-Ujinga wa walio wengi hufikri nchi huongozwa kwa mihemko ya fikra za mtu binafsi.

»Rais:-Akitoa tamko vijana wa lumumba hulishadadia kana-kwamba ni sheria.

»Wapinzani:-Wakitoa tamko, vijana wa upinzani nao hulichukulia kama sheria.

Imefika wakati sasa, sheria ikifuatwa, tunalalamika.
Kutengulia kwa ubunge wa Tundu Lissu, ni tikwa la sheria.
Tuangalieni sheria inasema nini, tusiangalie Spika kasema nini!
Sheria ya nchi hii, haitungwi na Sipika Ndugai na mkewe, bali hutungwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Tusimulaumu Ndugai wakati yeye katekeleza matakwa ya sheria.

:-Uathirika wa kudharau sheria na kutii matamko ya viongozi, ni umekua kwa kasi. Ikiwa tumeamua kuishi kwa kutokufuata sheria, basi na tuishi wa kwa kufuata matamko ya viongozi wa vyama vya siasa, ambao matamko yao tunaona,ni bora kuliko sheria.

Sheria ni msumeno, tusiupangie msumeno sehemu ya kukata.
Kumlaumu Ndugai ni kukosa fikra mubadala!

#Acha Mawazo Mfinyanzi.
Kalamu Ya Mwebrania.
Na:George Kabadi.
0759 131 717
Nilikuwa nafuatilia nione ulipoitaja sheria yenyewe sijaiona nimembulia hisia tu.

Maana ya demokrasia ni nini kweli?
 
Wenzako ni watoro wajanja, hata kama wanapoteza vikao huwa wanahakikisha kuwa kuna mtu wanampa apologies zao....

Sio hii ya ku assume kuwa fulani anajua, kumbuka mambo yote official au formal huwa yanafanywa kwa karatasi...
Sio issue ya kuumwa tu brother
Kuna wabunge wa Ccm hii hii ya Ndugai hawapo bungeni kwa muda sasa lakini hakuna action. Mfano Prof Muhongo tangu jamaa amtumbue haonekani bungeni. Kuna Mzee Mkono haja onekana bungeni kwa muda pi lakini wao ni poa. Issue ya Lissu iko wazi ni mgonjwa hajaruhusiwa na Dr. Kutoka hospitali lakini Mgogo mzee wa bakora ambae hatujui ugonjwa wake anasema hajui Lissu yuko wapi.. Huyu ni m.... b.... wa
 
Ingekuwa sheria zinafuatwa kweli hakuna ambaye angelalamika kuhusu hatua alizochukuliwa Lissu. Lakini tu tunapoona sheria zikifuatwa kwa itikadi lazima tupige kelele. Sheria ziko wazi kuhusu kufuatilia waliomshambulia Lissu, lakini kwa kuwa mshukiwa namba moja yuko juu ya sheria, basi sheria zinafumbiwa macho.
 
IFIKE WAKATI MSIOJIELEWA, MJIELEWE!
Ukiipenda Demokrasia, pende na Sheria.
Ndugai Yuko Sahihi!

Na:George Kabadi.
==================================
Ni kosa kubwa kuiruhusu akili ya mwanasiasa ifanye kazi, kama mbaadala wa akili yako. Miaka ya hivi karibuni, limeibuka vimbi kubwa la watu wanaojiita wanaharakati kuwatetea watu wanaopenda kusemewa, matatizo yao na watu wengine.
:-Hili ni kosa kubwa katika kufikri.

»Katika ubinadamu wangu, natoa pole kwa MH Tundu Lissu, kwa utenguzi wa ubunge wake ulio-fanywa na kanuni na sheria za bunge.

»Katika sheria za nchi yangu, natoa pongezi kwa Spika Job Ndugai kwa kufuata demokrasia katika kutenda mambo kwa sheria, bila kutumia mihemuko ya ki-binadamu.

Najua ya kuwa fikra za watanzania wengi, hasa wanaoishi kwa fikra za bendera hawaezi kutambia matakwa ya sheria inasema nini katika hili.
Wengi tumejikita kusema nchi haina demokrasia, wakati demokrasia inapofuatwa hunalalamika, hakuna demokrasia. Je tunataka demokrasia ipi haswa ifuate?
Tutambue demokrasia huambatana na utekelezwaji wa sheria, bila kujali kakatwa nani!
:-Ujinga wa walio wengi hufikri nchi huongozwa kwa mihemko ya fikra za mtu binafsi.

»Rais:-Akitoa tamko vijana wa lumumba hulishadadia kana-kwamba ni sheria.

»Wapinzani:-Wakitoa tamko, vijana wa upinzani nao hulichukulia kama sheria.

Imefika wakati sasa, sheria ikifuatwa, tunalalamika.
Kutengulia kwa ubunge wa Tundu Lissu, ni tikwa la sheria.
Tuangalieni sheria inasema nini, tusiangalie Spika kasema nini!
Sheria ya nchi hii, haitungwi na Sipika Ndugai na mkewe, bali hutungwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Tusimulaumu Ndugai wakati yeye katekeleza matakwa ya sheria.

:-Uathirika wa kudharau sheria na kutii matamko ya viongozi, ni umekua kwa kasi. Ikiwa tumeamua kuishi kwa kutokufuata sheria, basi na tuishi wa kwa kufuata matamko ya viongozi wa vyama vya siasa, ambao matamko yao tunaona,ni bora kuliko sheria.

Sheria ni msumeno, tusiupangie msumeno sehemu ya kukata.
Kumlaumu Ndugai ni kukosa fikra mubadala!

#Acha Mawazo Mfinyanzi.
Kalamu Ya Mwebrania.
Na:George Kabadi.
0759 131 717

Hio Sheria ni Kwa wabunge wa upinzani tu,MBONA job kakaa India mda mrefu yaani mwaka mzima Na ubunge wake haukufutwa
 
Kitakacho muumiza Tundu Lissu siyo kuvuliwa Ubunge bali ni Ukimya wetu,Kama ambavyo Kamanda Freeman Mbowe hakuumia kwenda jela isipokuwa Ukimya wetu.
 
IFIKE WAKATI MSIOJIELEWA, MJIELEWE!
Ukiipenda Demokrasia, pende na Sheria.
Ndugai Yuko Sahihi!

Na:George Kabadi.
==================================
Ni kosa kubwa kuiruhusu akili ya mwanasiasa ifanye kazi, kama mbaadala wa akili yako. Miaka ya hivi karibuni, limeibuka vimbi kubwa la watu wanaojiita wanaharakati kuwatetea watu wanaopenda kusemewa, matatizo yao na watu wengine.
:-Hili ni kosa kubwa katika kufikri.

»Katika ubinadamu wangu, natoa pole kwa MH Tundu Lissu, kwa utenguzi wa ubunge wake ulio-fanywa na kanuni na sheria za bunge.

»Katika sheria za nchi yangu, natoa pongezi kwa Spika Job Ndugai kwa kufuata demokrasia katika kutenda mambo kwa sheria, bila kutumia mihemuko ya ki-binadamu.

Najua ya kuwa fikra za watanzania wengi, hasa wanaoishi kwa fikra za bendera hawaezi kutambia matakwa ya sheria inasema nini katika hili.
Wengi tumejikita kusema nchi haina demokrasia, wakati demokrasia inapofuatwa hunalalamika, hakuna demokrasia. Je tunataka demokrasia ipi haswa ifuate?
Tutambue demokrasia huambatana na utekelezwaji wa sheria, bila kujali kakatwa nani!
:-Ujinga wa walio wengi hufikri nchi huongozwa kwa mihemko ya fikra za mtu binafsi.

»Rais:-Akitoa tamko vijana wa lumumba hulishadadia kana-kwamba ni sheria.

»Wapinzani:-Wakitoa tamko, vijana wa upinzani nao hulichukulia kama sheria.

Imefika wakati sasa, sheria ikifuatwa, tunalalamika.
Kutengulia kwa ubunge wa Tundu Lissu, ni tikwa la sheria.
Tuangalieni sheria inasema nini, tusiangalie Spika kasema nini!
Sheria ya nchi hii, haitungwi na Sipika Ndugai na mkewe, bali hutungwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Tusimulaumu Ndugai wakati yeye katekeleza matakwa ya sheria.

:-Uathirika wa kudharau sheria na kutii matamko ya viongozi, ni umekua kwa kasi. Ikiwa tumeamua kuishi kwa kutokufuata sheria, basi na tuishi wa kwa kufuata matamko ya viongozi wa vyama vya siasa, ambao matamko yao tunaona,ni bora kuliko sheria.

Sheria ni msumeno, tusiupangie msumeno sehemu ya kukata.
Kumlaumu Ndugai ni kukosa fikra mubadala!

#Acha Mawazo Mfinyanzi.
Kalamu Ya Mwebrania.
Na:George Kabadi.
0759 131 717

Bwana George Kabadi.
Unapo post makala watu wenye uwezo mkubwa wanaweza kujua uwezo wako wa kufikili kwa kusoma maneno uliyoandika (PROFILING). Unaonekana sio mtu makini kabisa na hufanyi mambo kwa mihemko..
EVIDENCE HII HAPA CHINI

vimbi
hawaezi
kutambia
ifuate
tikwa
Tusimulaumu
 
Back
Top Bottom