Naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, leo ameonekana kuwa bize na kuchati na simu yake ya mkononi huku akiwa anaongoza kikao cha bunge.
Ndugai ameonekana akitumia muda mwingi kubofya bofya simu yake bila kuwa makini na nini anachokiongoza.
Hii imekaaje wana JF, kiuwajibikani na unyeti wa kiti chenyewe?
Source: Channel 10 - habari saa1
Ndugai ameonekana akitumia muda mwingi kubofya bofya simu yake bila kuwa makini na nini anachokiongoza.
Hii imekaaje wana JF, kiuwajibikani na unyeti wa kiti chenyewe?
Source: Channel 10 - habari saa1