Ndugai anusurika kupigwa na wananchi

Ndugai anusurika kupigwa na wananchi

nifanye kazi kwa bidii kwa manufaa ya mafisadi? thubutu! yaani nilime mahindi kwa gharama ya tsh 300 kwa kilo halafu mafisadi wanilazimishe niwauzie kwa tsh 250 kwa kilo na kunizuia kuuza nje? kalime wewe unayeweza kufanya biashara ya kiuwendawazimu kama hiyo! unadhani hata ningelima kwa bidii kiasi gani nitapata faida kweli? acha kutumika kama 22cer mkuu! tumia akili zako binafsi, usitegemee akili za kuambiwa.


We ndo unatumia akili za kuambiwa..

Kwahiyo hulimi unapiga domo JF? Wanaofanikiwa inakuaje?

Mijitu mivivu ndo hulia sana wivu
 
mtu mwenyewe mgonjwa nao hawa makuli wanatafuta kesi za buree...mtu anaonekana kabisa anaumwa mnataka kummalizia
 
We ndo unatumia akili za kuambiwa..

Kwahiyo hulimi unapiga domo JF? Wanaofanikiwa inakuaje?

Mijitu mivivu ndo hulia sana wivu

Mvivu ni wewe unayejikomba kwa mafisadi wakati hakuna chochote unachonufaika kutoka kwao. Nimeamua kuachana na kilimo, sasa hivi nimejikita kwenye ufugaji wa kuku, ng'ombe na nguruwe---hapa ndipo mafisadi hawawezi kuniingilia--nauza maziwa, mayai na kitimoto bila kupangiwa bei na mafisadi na ninatengeneza faida ya kutosha. Nimeona nijishughulishe na shughuli zinazonilipa kwa haraka na kwa muda mfupi. Kilimo cha mazao kina ushuru na kodi nyingi sana. Si unaona mbunge wako Ndugai kidogo atolewe roho kwa sababu ya kodi za mazao?
 
Back
Top Bottom