labda tusubiri ntakayo ota leo usiku,asubui nikurushie fasta,ila ya jana siikumbuki vizuri,nakumbuka vipande vipande,naomba utafsiri;
-kuota uko juu ina maana gani?
-kuota uko kwenye maji ina maana gani?
-kuota uko kwenye chombo cha usafiri na watu wengi,baadhi yao siwafahamu baadhi yao ni watu tuliopotezana miaka mingi iliyopita