Ndoto zina maana kwenye maisha halisi!

waraha

Member
Oct 24, 2014
22
5
Habari zenu waungwana.
Katika hali halisi ya maisha ya mwanadamu yamekua yakigubikwa na imani za aina mbali mbali. Mi napenda kuangalizia swala la imani ya ndoto.. Kuna wengine huamin ndoto kama ndio muongozo wa maisha yao na kufata na kutekeleza kila kile wanachokiona ndoton.. Hili limo hasa katika zile familia za watu wanao miliki mizimu ila kwa wengine hawana imani nazo kabisa na kuona ni kama mawazo mtu alio lala nayo.

Je! kuna ukweli gani kuhusu ndoto?
 
Ukweli kwangu,kwamaoni yangu,kuamini ndoto sikweli kwamba ni kutokana na mizimu,ila kuna imani yakuota kwakujaliwa na m.mungu,but siwote.lakini ndoto nyingine nikutokana mzunguko wakila day katka maisha yako.sikwamba mizimu inatake many chance
 
Ndoto ni ishara,maonyo,maekekezo.ayapatayo mtu kutoka kwa muumba wake tu. Ndoto ni kweli na zina maana Kubwa maishani.
 
Hahaha bonadsi nahisi ndoto no muendelezo WA hekaheka za mchana Hapo muda mwingi e kwangu no Maono
 
Back
Top Bottom