mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,432
- 2,892
Kila mtu ana ndoto zake ama kitu ambacho anatamani katika maisha yake.
Lakini ndoto hizi hugawanyika katika makundi mengi ikiwemo KAZI, MAKAZI, NYUSAFIRI (VIPANDO) na kadhalika.
Leo napenda kushea nanyi ndoto zangu katika habari ya mahusiano.
Mi binafsi natamani Sana kumnyenga demu yeyote kutoka vyombo vya ulinzi na usalama.. Bado sijafanikiwa mpaka sasa
Sijui wewe ndoto zako ni kumnyenga mtu wa dizaini gani. Na je umefanikiwa au bado????
Uzi tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini ndoto hizi hugawanyika katika makundi mengi ikiwemo KAZI, MAKAZI, NYUSAFIRI (VIPANDO) na kadhalika.
Leo napenda kushea nanyi ndoto zangu katika habari ya mahusiano.
Mi binafsi natamani Sana kumnyenga demu yeyote kutoka vyombo vya ulinzi na usalama.. Bado sijafanikiwa mpaka sasa
Sijui wewe ndoto zako ni kumnyenga mtu wa dizaini gani. Na je umefanikiwa au bado????
Uzi tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app