Ndoto za kupaa na kuelea hewani zinaashiria nini?

Jaman mi mwenzenu naomba kuuliza,mara nyingi nimekuwa naota ndoto ambapo katika ndoto hizo ni kwamba huwa ninakuwa na uwezo wa kuruka na kupaa hewan nikielea.tatizo ndoto hizi huwa naziota mara nyingi, bora ingekuwa naota mara moja moja lakini zinajirudia.

Ndoto Ni Sehemu Ya Maisha Ya Kila Mwanadamu:

Ndoto Ya Kuota Unapaa Imegawanyika Sehemu Tatu: jichunguze Yako Imedondokea Wapi.....

1: Ukiota Unapaa Vizuri Na Unatua Chini Vizuri Bila Tatizo Basi Hiyo Ni Ndoto Nzuri Kwa Psychic Powers Tunaita "Transvection" Hapa Unakuwa Na Uwezo Wa Kupaa Kiroho Na Kusavei Angani Umbali Kidogo Usiofika Mawinguni.. Unakuwa Una Psychic Power Ambayo Ipo Active....

2: Ukipaa Kwa Ndoto Kuanzia Katikati Ukajikuta Tu Upo Hewani, Kutua Hutui We Umebaki Hewani Tu, Au Ukitua Unadondoka Kwa Speed Halafu Ukigusa Ardhi Huumii Sana Zaidi Ya Mchubuko Au Meno Mawili Ya Mbele Kutoka.. Basi Ujue Umekumbwa Na Jini Mbaya..

3: Ukiota Unapaa Ghafla Unadondoka Na Kwa Speed Halafu Chini Hufiki Basi Hapa Ujue Umekula Chakula Kingi Kinachosababisha Ubongo Uendelee Kuwa Active Muda Wa Kupumzika Wakati Mashine Ya Kusaga Chakula Imetulia..

Acheni Kushauri Msiyoyajua..

#Rakims

Dah... Leo mie nimepaa sana. Kuna watu walikuwa wananikimbiza nawachenga tu angani. Lakini nilikuwa naenjoy sana ninavyowapiga chenga!

Hebu akina MziziMkavu, Pasco na Rakims kujeni hapa mtudadavulie maana ake nini???
Bibie charminglady ninakubaliana na aliyoyasema Mkuu Rakims ni ya ukweli yote hayo. Lakini huyu mkuu Rastad Ana Jini mahaba ndio anaye muotesha anapaa hewani ingawa hajatuambia yeye ni mwanamke au ni mwanamme?

DALILI ZA MAPEPO MAHABA

1.Kuchoka katika ndoa Kabla ya kuoa au kuolewa kila mtu alikuwa na shauku ya kufurahia ndoa.lakini baada ya muda mfupi wanandoa wamechokana na ndoa imekosa ladha.Wakati mwingine mwnandoa mmoja anamchoka mwenzi wake.Kama ungepewa nafasi ya kuamua kwaupya huenda usingekubali kuolewa na mwanaume huyo au kuoa mwanamke huyo. Mpendwa msomaji kama unajisikia kuchoka ndoa hiyoni dalili ya kuwepo kwa mapepo ya mahaba tafuta msaada wa huduma ya kufunguliwa

2.Kufanya tendo la ndoa au mapenzi kwenye ndoto na mtu unayemfahamu au usiyemfahamu.

3.Kuchukia kuoa au kuolewa (unajuta kama usingeolewa au usingeoa)

4.Kufanya maamuzi yasiyo sahihi wakati wa kuoa au kuolewa. Kuolewa au kuoa mtu asiye sahihi.

5.Kuachwa na mume au mke.Kila mwanamume akikuoa baada ya muda mfupi anakuacha.Ujue unamapepo mahaba yanayofukuza wanaume katika maisha yako.Unakuta mwanamke mzuri amesoma na ana (uwezo) kazinzuri lakini anaachwa na wanaume au anatelekezwa na wachumba hapo unahitaji huduma ya fufunguliwa.

6.Kuchukia mahusiano ya kindoa na mumeo au mkeo.Wakati usiku unatembelewa na mapepomahaba.

7.Kunyonyesha watoto kwenye ndoto wakati huna mume wala mchumba /au umeolewa na huna mtoto kabisa! Ni dalili ya kifungo cha pepo mahaba.

8.Kuogesha watoto kwenye ndoto wakati hujaolewa ni dalili mapepo mahaba.

9.Kuota una familia kwenye ndoto wakati hujaolewa / au kuoa na wala huna mchumba.

10.Kuota unafanya shopping na mwanaume au mwanamke wakati hunahata mchumba.

11.Kumchukia mwenzi wako kiasi cha kutamani afe ili uoe au uolewe na mtu mwingine.

12.Kuota wanawake au wanaume wako uchi,au wewe mwenyewe kujiota ukouchi.

13.Wanandoa kuota mwanaume au mwanamke yuko katikati yenu au pembenimwa kitanda chenu wakati mmelala.

14.Mwanaume kukosa nguvu na kushindwa katika tendo la ndoa.

15.Mwanamke kupata maumivu makali sana wakati wa hedhi (maumivu makali ya tumbo)

16.Matatizo ya mfululizo ya magojwa ya kike mfano ya tumbo la uzazi,kuziba mirija ya uzazi.

17Kuotaunabakwa ndotoni.Kuharibu mimba baada ya kuota unafanya tendo la ndoa.

18.Kujutia kuoa / kuolewa bila sababu ya msingi

19.Kukosa hamu / moyo wa kuambatana na mwezi wako.Hujisikii tena kuongea na mwenzi wako wa ndoa unapenda kucheka na wanawake / wanaume wengine kuliko mwenzi wako hizi nidalili za kifungo cha pepo mahaba tafuta msaada wa kufunguliwa haraka upone!.

20.KIla wakati kuwaza kwamba ndoa itavunjika unapotazama miaka miaka mitano ,kumi huoni kudumu kwa ndoa yako hata hapo ulipo unaonakama muujiza.

21.Kukosa utoshelevu wa moyo kat ika ndoa uliyonayo.

22.kama ni msichana huoni kijana yeyote aliye wahi kukusemesha kwamba atakuoa ujue maranyingine hata wachawi wanaweza wakawa wamekufunga.

24.Kupewa ahadi za kuolewa bila kutimiwza / kama hakuna anayemaanisha unahitaji huduma ya kufunguliwa.

25.Kuachwa baada ya wanaume kuujua mwili wako au kuchukiwa baada ya mwanaume kulala na wewe.

26.Kucheza na nyoka ndotoni wala hungati hili sijambojema ni hatari.

27.kubakwa mara kwa mara katika halihalisi.

28Kumpamimba msichana mwingine halafu unaoa mwanamke mwingine.

29.Mchumba kufariki kabla ya ndoa (kufaghafla mipango ya harusi imeandaliwa)

30.Kuachiswa kazi au biashara kufa mara baada ya kuoa au kuolewa.

31.Kupata ajalimba ya baada tu ya kuoa au kuolewa.

32.Mwenzi wako hakubaliani nawewe katika jambololote mnalopanga (anakuwa mpinzani tu!)

33.Kila mwenzi anaye kuoa au unaye muoa anakufa

34.Kuwa na uamuzi wa kutoolewa au kuoa kwa kuogopa matatizo ya ndoa (hofu ya ndoa).

35.Mwenzi kutokukujali wakatiunaumwa unajihudumia mwenyewe hadi unapona nayeye yupo hata ulalamike maumivu anaendelea na shughulizake bila kujali.

36.kupigwa mara kwa mara bila huruma na mume wako.

37.kutishiwa kufukuzwa mara kwa mara na mumewako.

38.Kupotelewa na pete ya ndoa au cheti cha ndoa katika mazingira ya kutatanisha.

39.Kupewa pete za mapenzi na waganga wa kienyeji au wanajimu.

40Kujuta kuolewa au kuoa mwenzi huyo.

41.Kupanga kwamba niki rudi nyumbani tu nitapokeana na mwenzi wangu kwa furaha ghafla unawasili unaingiwa na chuki moyoni juu yake.

42.Kuchelewa kurudi nyumbani bila sababu ya msingi (Baada ya ndoa mwenzi wako anabadili tabia ghafla).
Sura yako kuonekana mzee kuliko umri wako.

43.Kutokwa damu sana au kwa muda mrefu wakati wa hedhi kukiambatana na maumivu makali (maranyingine siku zinzkuwa za mvurugiko mvurugiko).

44.Unakuwa na roho ya liwalo na liwe hujali ndoa yako hata ukishauriwa hushauriki.

45.Kutokupata mimba katika ndoa yako hata vipimo vya kidaktari vikionyesha huna tatizo au kuharibika mimba mara kwa mara.

46.kutengana kwa wana ndoa hata ingawa mnakaa nyumba mmoja (mzungu wa nne) kila mtu ana chumba chake.

47.Tumbo lako kuonekana unamimba hata watu wana kuona hivyo wakati hauna.

48.Matiti kutoa maziwa wakati huna mimba wala mtoto.

49.Kujisikia mjeuri,hasira,ukaidi kutokuelewana ktk ndoa.

50.Kuonywa na mtu katika ndoto kwamba hutaolewa.

51.udhihirisho wa wazi wa mapepo mahaba wakati wa usiku.

52.kukumbuka mahusiano ya mapenzi na rafiki zako wa zamani wakati una mkeo / mumeo kitandani.

53.Kujichua au kujiridhisha mwenyewe bila mwenzi usiku au bafuni.


54. Kuota unapaa angani wakati wewe upo usingizini.

Dalili za kuwa wewe una Jini Mahaba zipo nyingi tu hizi ni chache tu. Ukiwa na haya Matatizo nenda Kaombewe kama wewe ni Mkristo nenda akakuombee Mchungaji na usipo pona nitafute mimi kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu What's App +447459370172
 
Last edited by a moderator:
Jaman mi mwenzenu naomba kuuliza,mara nyingi nimekuwa naota ndoto ambapo katika ndoto hizo ni kwamba huwa ninakuwa na uwezo wa kuruka na kupaa hewan nikielea.tatizo ndoto hizi huwa naziota mara nyingi, bora ingekuwa naota mara moja moja lakini zinajirudia.

Ndoto Ni Sehemu Ya Maisha Ya Kila Mwanadamu:

Ndoto Ya Kuota Unapaa Imegawanyika Sehemu Tatu: jichunguze Yako Imedondokea Wapi.....

1: Ukiota Unapaa Vizuri Na Unatua Chini Vizuri Bila Tatizo Basi Hiyo Ni Ndoto Nzuri Kwa Psychic Powers Tunaita "Transvection" Hapa Unakuwa Na Uwezo Wa Kupaa Kiroho Na Kusavei Angani Umbali Kidogo Usiofika Mawinguni.. Unakuwa Una Psychic Power Ambayo Ipo Active....

2: Ukipaa Kwa Ndoto Kuanzia Katikati Ukajikuta Tu Upo Hewani, Kutua Hutui We Umebaki Hewani Tu, Au Ukitua Unadondoka Kwa Speed Halafu Ukigusa Ardhi Huumii Sana Zaidi Ya Mchubuko Au Meno Mawili Ya Mbele Kutoka.. Basi Ujue Umekumbwa Na Jini Mbaya..

3: Ukiota Unapaa Ghafla Unadondoka Na Kwa Speed Halafu Chini Hufiki Basi Hapa Ujue Umekula Chakula Kingi Kinachosababisha Ubongo Uendelee Kuwa Active Muda Wa Kupumzika Wakati Mashine Ya Kusaga Chakula Imetulia..

Acheni Kushauri Msiyoyajua..

#Rakims

Dah... Leo mie nimepaa sana. Kuna watu walikuwa wananikimbiza nawachenga tu angani. Lakini nilikuwa naenjoy sana ninavyowapiga chenga!

Hebu akina MziziMkavu, Pasco na Rakims kujeni hapa mtudadavulie maana ake nini???
Bibie charminglady ninakubaliana na aliyoyasema Mkuu Rakims ni ya ukweli yote hayo. Lakini huyu mkuu Rastad Ana Jini mahaba ndio anaye muotesha anapaa hewani ingawa hajatuambia yeye ni mwanamke au ni mwanamme?

DALILI ZA MAPEPO MAHABA

1.Kuchoka katika ndoa Kabla ya kuoa au kuolewa kila mtu alikuwa na shauku ya kufurahia ndoa.lakini baada ya muda mfupi wanandoa wamechokana na ndoa imekosa ladha.Wakati mwingine mwnandoa mmoja anamchoka mwenzi wake.Kama ungepewa nafasi ya kuamua kwaupya huenda usingekubali kuolewa na mwanaume huyo au kuoa mwanamke huyo. Mpendwa msomaji kama unajisikia kuchoka ndoa hiyoni dalili ya kuwepo kwa mapepo ya mahaba tafuta msaada wa huduma ya kufunguliwa

2.Kufanya tendo la ndoa au mapenzi kwenye ndoto na mtu unayemfahamu au usiyemfahamu.

3.Kuchukia kuoa au kuolewa (unajuta kama usingeolewa au usingeoa)

4.Kufanya maamuzi yasiyo sahihi wakati wa kuoa au kuolewa. Kuolewa au kuoa mtu asiye sahihi.

5.Kuachwa na mume au mke.Kila mwanamume akikuoa baada ya muda mfupi anakuacha.Ujue unamapepo mahaba yanayofukuza wanaume katika maisha yako.Unakuta mwanamke mzuri amesoma na ana (uwezo) kazinzuri lakini anaachwa na wanaume au anatelekezwa na wachumba hapo unahitaji huduma ya fufunguliwa.

6.Kuchukia mahusiano ya kindoa na mumeo au mkeo.Wakati usiku unatembelewa na mapepomahaba.

7.Kunyonyesha watoto kwenye ndoto wakati huna mume wala mchumba /au umeolewa na huna mtoto kabisa! Ni dalili ya kifungo cha pepo mahaba.

8.Kuogesha watoto kwenye ndoto wakati hujaolewa ni dalili mapepo mahaba.

9.Kuota una familia kwenye ndoto wakati hujaolewa / au kuoa na wala huna mchumba.

10.Kuota unafanya shopping na mwanaume au mwanamke wakati hunahata mchumba.

11.Kumchukia mwenzi wako kiasi cha kutamani afe ili uoe au uolewe na mtu mwingine.

12.Kuota wanawake au wanaume wako uchi,au wewe mwenyewe kujiota ukouchi.

13.Wanandoa kuota mwanaume au mwanamke yuko katikati yenu au pembenimwa kitanda chenu wakati mmelala.

14.Mwanaume kukosa nguvu na kushindwa katika tendo la ndoa.

15.Mwanamke kupata maumivu makali sana wakati wa hedhi (maumivu makali ya tumbo)

16.Matatizo ya mfululizo ya magojwa ya kike mfano ya tumbo la uzazi,kuziba mirija ya uzazi.

17Kuotaunabakwa ndotoni.Kuharibu mimba baada ya kuota unafanya tendo la ndoa.

18.Kujutia kuoa / kuolewa bila sababu ya msingi

19.Kukosa hamu / moyo wa kuambatana na mwezi wako.Hujisikii tena kuongea na mwenzi wako wa ndoa unapenda kucheka na wanawake / wanaume wengine kuliko mwenzi wako hizi nidalili za kifungo cha pepo mahaba tafuta msaada wa kufunguliwa haraka upone!.

20.KIla wakati kuwaza kwamba ndoa itavunjika unapotazama miaka miaka mitano ,kumi huoni kudumu kwa ndoa yako hata hapo ulipo unaonakama muujiza.

21.Kukosa utoshelevu wa moyo kat ika ndoa uliyonayo.

22.kama ni msichana huoni kijana yeyote aliye wahi kukusemesha kwamba atakuoa ujue maranyingine hata wachawi wanaweza wakawa wamekufunga.

24.Kupewa ahadi za kuolewa bila kutimiwza / kama hakuna anayemaanisha unahitaji huduma ya kufunguliwa.

25.Kuachwa baada ya wanaume kuujua mwili wako au kuchukiwa baada ya mwanaume kulala na wewe.

26.Kucheza na nyoka ndotoni wala hungati hili sijambojema ni hatari.

27.kubakwa mara kwa mara katika halihalisi.

28Kumpamimba msichana mwingine halafu unaoa mwanamke mwingine.

29.Mchumba kufariki kabla ya ndoa (kufaghafla mipango ya harusi imeandaliwa)

30.Kuachiswa kazi au biashara kufa mara baada ya kuoa au kuolewa.

31.Kupata ajalimba ya baada tu ya kuoa au kuolewa.

32.Mwenzi wako hakubaliani nawewe katika jambololote mnalopanga (anakuwa mpinzani tu!)

33.Kila mwenzi anaye kuoa au unaye muoa anakufa

34.Kuwa na uamuzi wa kutoolewa au kuoa kwa kuogopa matatizo ya ndoa (hofu ya ndoa).

35.Mwenzi kutokukujali wakatiunaumwa unajihudumia mwenyewe hadi unapona nayeye yupo hata ulalamike maumivu anaendelea na shughulizake bila kujali.

36.kupigwa mara kwa mara bila huruma na mume wako.

37.kutishiwa kufukuzwa mara kwa mara na mumewako.

38.Kupotelewa na pete ya ndoa au cheti cha ndoa katika mazingira ya kutatanisha.

39.Kupewa pete za mapenzi na waganga wa kienyeji au wanajimu.

40Kujuta kuolewa au kuoa mwenzi huyo.

41.Kupanga kwamba niki rudi nyumbani tu nitapokeana na mwenzi wangu kwa furaha ghafla unawasili unaingiwa na chuki moyoni juu yake.

42.Kuchelewa kurudi nyumbani bila sababu ya msingi (Baada ya ndoa mwenzi wako anabadili tabia ghafla).
Sura yako kuonekana mzee kuliko umri wako.

43.Kutokwa damu sana au kwa muda mrefu wakati wa hedhi kukiambatana na maumivu makali (maranyingine siku zinzkuwa za mvurugiko mvurugiko).

44.Unakuwa na roho ya liwalo na liwe hujali ndoa yako hata ukishauriwa hushauriki.

45.Kutokupata mimba katika ndoa yako hata vipimo vya kidaktari vikionyesha huna tatizo au kuharibika mimba mara kwa mara.

46.kutengana kwa wana ndoa hata ingawa mnakaa nyumba mmoja (mzungu wa nne) kila mtu ana chumba chake.

47.Tumbo lako kuonekana unamimba hata watu wana kuona hivyo wakati hauna.

48.Matiti kutoa maziwa wakati huna mimba wala mtoto.

49.Kujisikia mjeuri,hasira,ukaidi kutokuelewana ktk ndoa.

50.Kuonywa na mtu katika ndoto kwamba hutaolewa.

51.udhihirisho wa wazi wa mapepo mahaba wakati wa usiku.

52.kukumbuka mahusiano ya mapenzi na rafiki zako wa zamani wakati una mkeo / mumeo kitandani.

53.Kujichua au kujiridhisha mwenyewe bila mwenzi usiku au bafuni.


54. Kuota unapaa angani wakati wewe upo usingizini.

Dalili za kuwa wewe una Jini Mahaba zipo nyingi tu hizi ni chache tu. Ukiwa na haya Matatizo nenda Kaombewe kama wewe ni Mkristo nenda akakuombee Mchungaji na usipo pona nitafute mimi kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu What's App +447459370172
 
Last edited by a moderator:
Jaman mi mwenzenu naomba kuuliza,mara nyingi nimekuwa naota ndoto ambapo katika ndoto hizo ni kwamba huwa ninakuwa na uwezo wa kuruka na kupaa hewan nikielea.tatizo ndoto hizi huwa naziota mara nyingi, bora ingekuwa naota mara moja moja lakini zinajirudia.

Ndoto Ni Sehemu Ya Maisha Ya Kila Mwanadamu:

Ndoto Ya Kuota Unapaa Imegawanyika Sehemu Tatu: jichunguze Yako Imedondokea Wapi.....

1: Ukiota Unapaa Vizuri Na Unatua Chini Vizuri Bila Tatizo Basi Hiyo Ni Ndoto Nzuri Kwa Psychic Powers Tunaita "Transvection" Hapa Unakuwa Na Uwezo Wa Kupaa Kiroho Na Kusavei Angani Umbali Kidogo Usiofika Mawinguni.. Unakuwa Una Psychic Power Ambayo Ipo Active....

2: Ukipaa Kwa Ndoto Kuanzia Katikati Ukajikuta Tu Upo Hewani, Kutua Hutui We Umebaki Hewani Tu, Au Ukitua Unadondoka Kwa Speed Halafu Ukigusa Ardhi Huumii Sana Zaidi Ya Mchubuko Au Meno Mawili Ya Mbele Kutoka.. Basi Ujue Umekumbwa Na Jini Mbaya..

3: Ukiota Unapaa Ghafla Unadondoka Na Kwa Speed Halafu Chini Hufiki Basi Hapa Ujue Umekula Chakula Kingi Kinachosababisha Ubongo Uendelee Kuwa Active Muda Wa Kupumzika Wakati Mashine Ya Kusaga Chakula Imetulia..

Acheni Kushauri Msiyoyajua..

#Rakims

Dah... Leo mie nimepaa sana. Kuna watu walikuwa wananikimbiza nawachenga tu angani. Lakini nilikuwa naenjoy sana ninavyowapiga chenga!

Hebu akina MziziMkavu, Pasco na Rakims kujeni hapa mtudadavulie maana ake nini???
Bibie charminglady ninakubaliana na aliyoyasema Mkuu Rakims ni ya ukweli yote hayo. Lakini huyu mkuu Rastad Ana Jini mahaba ndio anaye muotesha anapaa hewani ingawa hajatuambia yeye ni mwanamke au ni mwanamme?

DALILI ZA MAPEPO MAHABA

1.Kuchoka katika ndoa Kabla ya kuoa au kuolewa kila mtu alikuwa na shauku ya kufurahia ndoa.lakini baada ya muda mfupi wanandoa wamechokana na ndoa imekosa ladha.Wakati mwingine mwnandoa mmoja anamchoka mwenzi wake.Kama ungepewa nafasi ya kuamua kwaupya huenda usingekubali kuolewa na mwanaume huyo au kuoa mwanamke huyo. Mpendwa msomaji kama unajisikia kuchoka ndoa hiyoni dalili ya kuwepo kwa mapepo ya mahaba tafuta msaada wa huduma ya kufunguliwa

2.Kufanya tendo la ndoa au mapenzi kwenye ndoto na mtu unayemfahamu au usiyemfahamu.

3.Kuchukia kuoa au kuolewa (unajuta kama usingeolewa au usingeoa)

4.Kufanya maamuzi yasiyo sahihi wakati wa kuoa au kuolewa. Kuolewa au kuoa mtu asiye sahihi.

5.Kuachwa na mume au mke.Kila mwanamume akikuoa baada ya muda mfupi anakuacha.Ujue unamapepo mahaba yanayofukuza wanaume katika maisha yako.Unakuta mwanamke mzuri amesoma na ana (uwezo) kazinzuri lakini anaachwa na wanaume au anatelekezwa na wachumba hapo unahitaji huduma ya fufunguliwa.

6.Kuchukia mahusiano ya kindoa na mumeo au mkeo.Wakati usiku unatembelewa na mapepomahaba.

7.Kunyonyesha watoto kwenye ndoto wakati huna mume wala mchumba /au umeolewa na huna mtoto kabisa! Ni dalili ya kifungo cha pepo mahaba.

8.Kuogesha watoto kwenye ndoto wakati hujaolewa ni dalili mapepo mahaba.

9.Kuota una familia kwenye ndoto wakati hujaolewa / au kuoa na wala huna mchumba.

10.Kuota unafanya shopping na mwanaume au mwanamke wakati hunahata mchumba.

11.Kumchukia mwenzi wako kiasi cha kutamani afe ili uoe au uolewe na mtu mwingine.

12.Kuota wanawake au wanaume wako uchi,au wewe mwenyewe kujiota ukouchi.

13.Wanandoa kuota mwanaume au mwanamke yuko katikati yenu au pembenimwa kitanda chenu wakati mmelala.

14.Mwanaume kukosa nguvu na kushindwa katika tendo la ndoa.

15.Mwanamke kupata maumivu makali sana wakati wa hedhi (maumivu makali ya tumbo)

16.Matatizo ya mfululizo ya magojwa ya kike mfano ya tumbo la uzazi,kuziba mirija ya uzazi.

17Kuotaunabakwa ndotoni.Kuharibu mimba baada ya kuota unafanya tendo la ndoa.

18.Kujutia kuoa / kuolewa bila sababu ya msingi

19.Kukosa hamu / moyo wa kuambatana na mwezi wako.Hujisikii tena kuongea na mwenzi wako wa ndoa unapenda kucheka na wanawake / wanaume wengine kuliko mwenzi wako hizi nidalili za kifungo cha pepo mahaba tafuta msaada wa kufunguliwa haraka upone!.

20.KIla wakati kuwaza kwamba ndoa itavunjika unapotazama miaka miaka mitano ,kumi huoni kudumu kwa ndoa yako hata hapo ulipo unaonakama muujiza.

21.Kukosa utoshelevu wa moyo kat ika ndoa uliyonayo.

22.kama ni msichana huoni kijana yeyote aliye wahi kukusemesha kwamba atakuoa ujue maranyingine hata wachawi wanaweza wakawa wamekufunga.

24.Kupewa ahadi za kuolewa bila kutimiwza / kama hakuna anayemaanisha unahitaji huduma ya kufunguliwa.

25.Kuachwa baada ya wanaume kuujua mwili wako au kuchukiwa baada ya mwanaume kulala na wewe.

26.Kucheza na nyoka ndotoni wala hungati hili sijambojema ni hatari.

27.kubakwa mara kwa mara katika halihalisi.

28Kumpamimba msichana mwingine halafu unaoa mwanamke mwingine.

29.Mchumba kufariki kabla ya ndoa (kufaghafla mipango ya harusi imeandaliwa)

30.Kuachiswa kazi au biashara kufa mara baada ya kuoa au kuolewa.

31.Kupata ajalimba ya baada tu ya kuoa au kuolewa.

32.Mwenzi wako hakubaliani nawewe katika jambololote mnalopanga (anakuwa mpinzani tu!)

33.Kila mwenzi anaye kuoa au unaye muoa anakufa

34.Kuwa na uamuzi wa kutoolewa au kuoa kwa kuogopa matatizo ya ndoa (hofu ya ndoa).

35.Mwenzi kutokukujali wakatiunaumwa unajihudumia mwenyewe hadi unapona nayeye yupo hata ulalamike maumivu anaendelea na shughulizake bila kujali.

36.kupigwa mara kwa mara bila huruma na mume wako.

37.kutishiwa kufukuzwa mara kwa mara na mumewako.

38.Kupotelewa na pete ya ndoa au cheti cha ndoa katika mazingira ya kutatanisha.

39.Kupewa pete za mapenzi na waganga wa kienyeji au wanajimu.

40Kujuta kuolewa au kuoa mwenzi huyo.

41.Kupanga kwamba niki rudi nyumbani tu nitapokeana na mwenzi wangu kwa furaha ghafla unawasili unaingiwa na chuki moyoni juu yake.

42.Kuchelewa kurudi nyumbani bila sababu ya msingi (Baada ya ndoa mwenzi wako anabadili tabia ghafla).
Sura yako kuonekana mzee kuliko umri wako.

43.Kutokwa damu sana au kwa muda mrefu wakati wa hedhi kukiambatana na maumivu makali (maranyingine siku zinzkuwa za mvurugiko mvurugiko).

44.Unakuwa na roho ya liwalo na liwe hujali ndoa yako hata ukishauriwa hushauriki.

45.Kutokupata mimba katika ndoa yako hata vipimo vya kidaktari vikionyesha huna tatizo au kuharibika mimba mara kwa mara.

46.kutengana kwa wana ndoa hata ingawa mnakaa nyumba mmoja (mzungu wa nne) kila mtu ana chumba chake.

47.Tumbo lako kuonekana unamimba hata watu wana kuona hivyo wakati hauna.

48.Matiti kutoa maziwa wakati huna mimba wala mtoto.

49.Kujisikia mjeuri,hasira,ukaidi kutokuelewana ktk ndoa.

50.Kuonywa na mtu katika ndoto kwamba hutaolewa.

51.udhihirisho wa wazi wa mapepo mahaba wakati wa usiku.

52.kukumbuka mahusiano ya mapenzi na rafiki zako wa zamani wakati una mkeo / mumeo kitandani.

53.Kujichua au kujiridhisha mwenyewe bila mwenzi usiku au bafuni.


54. Kuota unapaa angani wakati wewe upo usingizini.

Dalili za kuwa wewe una Jini Mahaba zipo nyingi tu hizi ni chache tu. Ukiwa na haya Matatizo nenda Kaombewe kama wewe ni Mkristo nenda akakuombee Mchungaji na usipo pona nitafute mimi kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu What's App +447459370172
 
Last edited by a moderator:
Jaman mi mwenzenu naomba kuuliza,mara nyingi nimekuwa naota ndoto ambapo katika ndoto hizo ni kwamba huwa ninakuwa na uwezo wa kuruka na kupaa hewan nikielea.tatizo ndoto hizi huwa naziota mara nyingi, bora ingekuwa naota mara moja moja lakini zinajirudia.

Ndoto Ni Sehemu Ya Maisha Ya Kila Mwanadamu:

Ndoto Ya Kuota Unapaa Imegawanyika Sehemu Tatu: jichunguze Yako Imedondokea Wapi.....

1: Ukiota Unapaa Vizuri Na Unatua Chini Vizuri Bila Tatizo Basi Hiyo Ni Ndoto Nzuri Kwa Psychic Powers Tunaita "Transvection" Hapa Unakuwa Na Uwezo Wa Kupaa Kiroho Na Kusavei Angani Umbali Kidogo Usiofika Mawinguni.. Unakuwa Una Psychic Power Ambayo Ipo Active....

2: Ukipaa Kwa Ndoto Kuanzia Katikati Ukajikuta Tu Upo Hewani, Kutua Hutui We Umebaki Hewani Tu, Au Ukitua Unadondoka Kwa Speed Halafu Ukigusa Ardhi Huumii Sana Zaidi Ya Mchubuko Au Meno Mawili Ya Mbele Kutoka.. Basi Ujue Umekumbwa Na Jini Mbaya..

3: Ukiota Unapaa Ghafla Unadondoka Na Kwa Speed Halafu Chini Hufiki Basi Hapa Ujue Umekula Chakula Kingi Kinachosababisha Ubongo Uendelee Kuwa Active Muda Wa Kupumzika Wakati Mashine Ya Kusaga Chakula Imetulia..

Acheni Kushauri Msiyoyajua..

#Rakims

Dah... Leo mie nimepaa sana. Kuna watu walikuwa wananikimbiza nawachenga tu angani. Lakini nilikuwa naenjoy sana ninavyowapiga chenga!

Hebu akina MziziMkavu, Pasco na Rakims kujeni hapa mtudadavulie maana ake nini???
Bibie charminglady ninakubaliana na aliyoyasema Mkuu Rakims ni ya ukweli yote hayo. Lakini huyu mkuu Rastad Ana Jini mahaba ndio anaye muotesha anapaa hewani ingawa hajatuambia yeye ni mwanamke au ni mwanamme?

DALILI ZA MAPEPO (MAJINI) MAHABA

1.Kuchoka katika ndoa Kabla ya kuoa au kuolewa kila mtu alikuwa na shauku ya kufurahia ndoa.lakini baada ya muda mfupi wanandoa wamechokana na ndoa imekosa ladha.Wakati mwingine mwnandoa mmoja anamchoka mwenzi wake.Kama ungepewa nafasi ya kuamua kwaupya huenda usingekubali kuolewa na mwanaume huyo au kuoa mwanamke huyo. Mpendwa msomaji kama unajisikia kuchoka ndoa hiyoni dalili ya kuwepo kwa mapepo ya mahaba tafuta msaada wa huduma ya kufunguliwa

2.Kufanya tendo la ndoa au mapenzi kwenye ndoto na mtu unayemfahamu au usiyemfahamu.

3.Kuchukia kuoa au kuolewa (unajuta kama usingeolewa au usingeoa)

4.Kufanya maamuzi yasiyo sahihi wakati wa kuoa au kuolewa. Kuolewa au kuoa mtu asiye sahihi.

5.Kuachwa na mume au mke.Kila mwanamume akikuoa baada ya muda mfupi anakuacha.Ujue unamapepo mahaba yanayofukuza wanaume katika maisha yako.Unakuta mwanamke mzuri amesoma na ana (uwezo) kazinzuri lakini anaachwa na wanaume au anatelekezwa na wachumba hapo unahitaji huduma ya fufunguliwa.

6.Kuchukia mahusiano ya kindoa na mumeo au mkeo.Wakati usiku unatembelewa na mapepomahaba.

7.Kunyonyesha watoto kwenye ndoto wakati huna mume wala mchumba /au umeolewa na huna mtoto kabisa! Ni dalili ya kifungo cha pepo mahaba.

8.Kuogesha watoto kwenye ndoto wakati hujaolewa ni dalili mapepo mahaba.

9.Kuota una familia kwenye ndoto wakati hujaolewa / au kuoa na wala huna mchumba.

10.Kuota unafanya shopping na mwanaume au mwanamke wakati hunahata mchumba.

11.Kumchukia mwenzi wako kiasi cha kutamani afe ili uoe au uolewe na mtu mwingine.

12.Kuota wanawake au wanaume wako uchi,au wewe mwenyewe kujiota ukouchi.

13.Wanandoa kuota mwanaume au mwanamke yuko katikati yenu au pembenimwa kitanda chenu wakati mmelala.

14.Mwanaume kukosa nguvu na kushindwa katika tendo la ndoa.

15.Mwanamke kupata maumivu makali sana wakati wa hedhi (maumivu makali ya tumbo)

16.Matatizo ya mfululizo ya magojwa ya kike mfano ya tumbo la uzazi,kuziba mirija ya uzazi.

17Kuotaunabakwa ndotoni.Kuharibu mimba baada ya kuota unafanya tendo la ndoa.

18.Kujutia kuoa / kuolewa bila sababu ya msingi

19.Kukosa hamu / moyo wa kuambatana na mwezi wako.Hujisikii tena kuongea na mwenzi wako wa ndoa unapenda kucheka na wanawake / wanaume wengine kuliko mwenzi wako hizi nidalili za kifungo cha pepo mahaba tafuta msaada wa kufunguliwa haraka upone!.

20.KIla wakati kuwaza kwamba ndoa itavunjika unapotazama miaka miaka mitano ,kumi huoni kudumu kwa ndoa yako hata hapo ulipo unaonakama muujiza.

21.Kukosa utoshelevu wa moyo kat ika ndoa uliyonayo.

22.kama ni msichana huoni kijana yeyote aliye wahi kukusemesha kwamba atakuoa ujue maranyingine hata wachawi wanaweza wakawa wamekufunga.

24.Kupewa ahadi za kuolewa bila kutimiwza / kama hakuna anayemaanisha unahitaji huduma ya kufunguliwa.

25.Kuachwa baada ya wanaume kuujua mwili wako au kuchukiwa baada ya mwanaume kulala na wewe.

26.Kucheza na nyoka ndotoni wala hungati hili sijambojema ni hatari.

27.kubakwa mara kwa mara katika halihalisi.

28Kumpamimba msichana mwingine halafu unaoa mwanamke mwingine.

29.Mchumba kufariki kabla ya ndoa (kufaghafla mipango ya harusi imeandaliwa)

30.Kuachiswa kazi au biashara kufa mara baada ya kuoa au kuolewa.

31.Kupata ajalimba ya baada tu ya kuoa au kuolewa.

32.Mwenzi wako hakubaliani nawewe katika jambololote mnalopanga (anakuwa mpinzani tu!)

33.Kila mwenzi anaye kuoa au unaye muoa anakufa

34.Kuwa na uamuzi wa kutoolewa au kuoa kwa kuogopa matatizo ya ndoa (hofu ya ndoa).

35.Mwenzi kutokukujali wakatiunaumwa unajihudumia mwenyewe hadi unapona nayeye yupo hata ulalamike maumivu anaendelea na shughulizake bila kujali.

36.kupigwa mara kwa mara bila huruma na mume wako.

37.kutishiwa kufukuzwa mara kwa mara na mumewako.

38.Kupotelewa na pete ya ndoa au cheti cha ndoa katika mazingira ya kutatanisha.

39.Kupewa pete za mapenzi na waganga wa kienyeji au wanajimu.

40Kujuta kuolewa au kuoa mwenzi huyo.

41.Kupanga kwamba niki rudi nyumbani tu nitapokeana na mwenzi wangu kwa furaha ghafla unawasili unaingiwa na chuki moyoni juu yake.

42.Kuchelewa kurudi nyumbani bila sababu ya msingi (Baada ya ndoa mwenzi wako anabadili tabia ghafla).
Sura yako kuonekana mzee kuliko umri wako.

43.Kutokwa damu sana au kwa muda mrefu wakati wa hedhi kukiambatana na maumivu makali (maranyingine siku zinzkuwa za mvurugiko mvurugiko).

44.Unakuwa na roho ya liwalo na liwe hujali ndoa yako hata ukishauriwa hushauriki.

45.Kutokupata mimba katika ndoa yako hata vipimo vya kidaktari vikionyesha huna tatizo au kuharibika mimba mara kwa mara.

46.kutengana kwa wana ndoa hata ingawa mnakaa nyumba mmoja (mzungu wa nne) kila mtu ana chumba chake.

47.Tumbo lako kuonekana unamimba hata watu wana kuona hivyo wakati hauna.

48.Matiti kutoa maziwa wakati huna mimba wala mtoto.

49.Kujisikia mjeuri,hasira,ukaidi kutokuelewana ktk ndoa.

50.Kuonywa na mtu katika ndoto kwamba hutaolewa.

51.udhihirisho wa wazi wa mapepo mahaba wakati wa usiku.

52.kukumbuka mahusiano ya mapenzi na rafiki zako wa zamani wakati una mkeo / mumeo kitandani.

53.Kujichua au kujiridhisha mwenyewe bila mwenzi usiku au bafuni.


54. Kuota unapaa angani wakati wewe upo usingizini.

Dalili za kuwa wewe una Jini Mahaba zipo nyingi tu hizi ni chache tu. Ukiwa na haya Matatizo nenda Kaombewe kama wewe ni Mkristo nenda akakuombee Mchungaji na usipo pona nitafute mimi kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu What's App +447459370172
 
Last edited by a moderator:
Ni ndoto tu, hamna cha ushirikina wala nini hapo! Ni tabia ya binadamu kuota. Ndoto yako yajirudia rudia sababu ya psychologia yako mwenyewe. Umeiweka kichwani kwamba kwa nini unaota ota unaelea hewani. Hamna kingine, ni ndoto tu na wala haimaanishi chochote!
 
Bibie charminglady ninakubaliana na aliyoyasema Mkuu Rakims ni ya ukweli yote hayo. Lakini huyu mkuu Rastad Ana Jini mahaba ndio anaye muotesha anapaa hewani ingawa hajatuambia yeye ni mwanamke au ni mwanamme?

DALILI ZA MAPEPO (MAJINI) MAHABA

1.Kuchoka katika ndoa – Kabla ya kuoa au kuolewa kila mtu alikuwa na shauku ya kufurahia ndoa.lakini baada ya muda mfupi wanandoa wamechokana na ndoa imekosa ladha.Wakati mwingine mwnandoa mmoja anamchoka mwenzi wake.Kama ungepewa nafasi ya kuamua kwaupya huenda usingekubali kuolewa na mwanaume huyo au kuoa mwanamke huyo. Mpendwa msomaji kama unajisikia kuchoka ndoa hiyoni dalili ya kuwepo kwa mapepo ya mahaba tafuta msaada wa huduma ya kufunguliwa


2.Kufanya tendo la ndoa au mapenzi kwenye ndoto na mtu unayemfahamu au usiyemfahamu.


3.Kuchukia kuoa au kuolewa (unajuta kama usingeolewa au usingeoa)


4.Kufanya maamuzi yasiyo sahihi wakati wa kuoa au kuolewa. Kuolewa au kuoa mtu asiye sahihi.


5.Kuachwa na mume au mke.Kila mwanamume akikuoa baada ya muda mfupi anakuacha.Ujue unamapepo mahaba yanayofukuza wanaume katika maisha yako.Unakuta mwanamke mzuri amesoma na ana (uwezo) kazinzuri lakini anaachwa na wanaume au anatelekezwa na wachumba hapo unahitaji huduma ya fufunguliwa.


6.Kuchukia mahusiano ya kindoa na mumeo au mkeo.Wakati usiku unatembelewa na mapepomahaba.


7.Kunyonyesha watoto kwenye ndoto wakati huna mume wala mchumba /au umeolewa na huna mtoto kabisa! Ni dalili ya kifungo cha pepo mahaba.


8.Kuogesha watoto kwenye ndoto wakati hujaolewa ni dalili mapepo mahaba.


9.Kuota una familia kwenye ndoto wakati hujaolewa / au kuoa na wala huna mchumba.


10.Kuota unafanya shopping na mwanaume au mwanamke wakati hunahata mchumba.


11.Kumchukia mwenzi wako kiasi cha kutamani afe ili uoe au uolewe na mtu mwingine.


12.Kuota wanawake au wanaume wako uchi,au wewe mwenyewe kujiota ukouchi.


13.Wanandoa kuota mwanaume au mwanamke yuko katikati yenu au pembenimwa kitanda chenu wakati mmelala.


14.Mwanaume kukosa nguvu na kushindwa katika tendo la ndoa.


15.Mwanamke kupata maumivu makali sana wakati wa hedhi (maumivu makali ya tumbo)


16.Matatizo ya mfululizo ya magojwa ya kike mfano ya tumbo la uzazi,kuziba mirija ya uzazi.


17Kuotaunabakwa ndotoni.Kuharibu mimba baada ya kuota unafanya tendo la ndoa.


18.Kujutia kuoa / kuolewa bila sababu ya msingi


19.Kukosa hamu / moyo wa kuambatana na mwezi wako.Hujisikii tena kuongea na mwenzi wako wa ndoa unapenda kucheka na wanawake / wanaume wengine kuliko mwenzi wako hizi nidalili za kifungo cha pepo mahaba tafuta msaada wa kufunguliwa haraka upone!.


20.KIla wakati kuwaza kwamba ndoa itavunjika unapotazama miaka miaka mitano ,kumi huoni kudumu kwa ndoa yako hata hapo ulipo unaonakama muujiza.


21.Kukosa utoshelevu wa moyo kat ika ndoa uliyonayo.


22.kama ni msichana huoni kijana yeyote aliye wahi kukusemesha kwamba atakuoa ujue maranyingine hata wachawi wanaweza wakawa wamekufunga.


24.Kupewa ahadi za kuolewa bila kutimiwza / kama hakuna anayemaanisha unahitaji huduma ya kufunguliwa.


25.Kuachwa baada ya wanaume kuujua mwili wako au kuchukiwa baada ya mwanaume kulala na wewe.


26.Kucheza na nyoka ndotoni wala hung’ati hili sijambojema ni hatari.


27.kubakwa mara kwa mara katika halihalisi.


28Kumpamimba msichana mwingine halafu unaoa mwanamke mwingine.


29.Mchumba kufariki kabla ya ndoa (kufaghafla mipango ya harusi imeandaliwa)


30.Kuachiswa kazi au biashara kufa mara baada ya kuoa au kuolewa.


31.Kupata ajalimba ya baada tu ya kuoa au kuolewa.


32.Mwenzi wako hakubaliani nawewe katika jambololote mnalopanga (anakuwa mpinzani tu!)


33.Kila mwenzi anaye kuoa au unaye muoa anakufa


34.Kuwa na uamuzi wa kutoolewa au kuoa kwa kuogopa matatizo ya ndoa (hofu ya ndoa).


35.Mwenzi kutokukujali wakatiunaumwa unajihudumia mwenyewe hadi unapona nayeye yupo hata ulalamike maumivu anaendelea na shughulizake bila kujali.


36.kupigwa mara kwa mara bila huruma na mume wako.


37.kutishiwa kufukuzwa mara kwa mara na mumewako.


38.Kupotelewa na pete ya ndoa au cheti cha ndoa katika mazingira ya kutatanisha.


39.Kupewa pete za mapenzi na waganga wa kienyeji au wanajimu.


40Kujuta kuolewa au kuoa mwenzi huyo.


41.Kupanga kwamba niki rudi nyumbani tu nitapokeana na mwenzi wangu kwa furaha ghafla unawasili unaingiwa na chuki moyoni juu yake.


42.Kuchelewa kurudi nyumbani bila sababu ya msingi (Baada ya ndoa mwenzi wako anabadili tabia ghafla).

Sura yako kuonekana mzee kuliko umri wako.

43.Kutokwa damu sana au kwa muda mrefu wakati wa hedhi kukiambatana na maumivu makali (maranyingine siku zinzkuwa za mvurugiko mvurugiko).


44.Unakuwa na roho ya liwalo na liwe hujali ndoa yako hata ukishauriwa hushauriki.


45.Kutokupata mimba katika ndoa yako hata vipimo vya kidaktari vikionyesha huna tatizo au kuharibika mimba mara kwa mara.


46.kutengana kwa wana ndoa hata ingawa mnakaa nyumba mmoja (mzungu wa nne) kila mtu ana chumba chake.


47.Tumbo lako kuonekana unamimba hata watu wana kuona hivyo wakati hauna.


48.Matiti kutoa maziwa wakati huna mimba wala mtoto.


49.Kujisikia mjeuri,hasira,ukaidi kutokuelewana ktk ndoa.


50.Kuonywa na mtu katika ndoto kwamba hutaolewa.


51.udhihirisho wa wazi wa mapepo mahaba wakati wa usiku.


52.kukumbuka mahusiano ya mapenzi na rafiki zako wa zamani wakati una mkeo / mumeo kitandani.


53.Kujichua au kujiridhisha mwenyewe bila mwenzi usiku au bafuni.

54. Kuota unapaa angani wakati wewe upo usingizini.

Dalili za kuwa wewe una Jini Mahaba zipo nyingi tu hizi ni chache tu. Ukiwa na haya Matatizo nenda Kaombewe kama wewe ni Mkristo nenda akakuombee Mchungaji na usipo pona nitafute mimi Bonyeza hapa.Mawasiliano

Naheshimu msemacho, ila naona kama upotoshaji fulani vile! Ndoto na majini?? Majini ndo nini?? Hamna kitu kama hiki. Huyu mtu ana ndoto tu ambacho ni kitu cha kawaida kwa binadamu. Ingieni mitandaoni chekini mambo ya psychologia na ndoto. Hamna majini wala uchawi wala nini!! hivyo asitiwe hofu huyu anayeota sijui majini mahaba, nk! Ila ni mtazamo wangu, na naheshimu mitazamo yenu pia.
 
Last edited by a moderator:
Naheshimu msemacho, ila naona kama upotoshaji fulani vile! Ndoto na majini?? Majini ndo nini?? Hamna kitu kama hiki. Huyu mtu ana ndoto tu ambacho ni kitu cha kawaida kwa binadamu. Ingieni mitandaoni chekini mambo ya psychologia na ndoto. Hamna majini wala uchawi wala nini!! hivyo asitiwe hofu huyu anayeota sijui majini mahaba, nk! Ila ni mtazamo wangu, na naheshimu mitazamo yenu pia.
Kama ni kweli unaheshimu mitazamo yetu kwanini una ni Tag mimi? Inaonyesha wewe hujuwi Viumbe hawa Wasionekana Majini Au kwa lugha nyingine (Mapepo) ngojea yakukute ndipo utaweza kujuwa kumbe kuna viumbe wengine alioumba Mwenyeezi Mungu na tena wapo tafdhali usini Tag mimi ikiwa huamini hawa Viumbe jiheshimu utaheshimiwa tafadhali sana nina kuheshimu. Toa mawazo yako kwa akili zako .
 
Dalili za kufa hizo yaani hapo unapaaa unaenda kumlaki bwana mawinguni...unakuwa unafanya mazoezi ya siku ya parapanda
 
Nitajitahidi kuelezea kwa lugha rahisi sana.... Kimsingi kila jambo linalotokea hapa duniani, yaani katika hali ya mwili huwa linaanzia kutokea kwanza katika hali ya kiroho. Unashangaa? Ulimwengu wa roho ndio unaosababisha/unaathiri mambo yatokee kama yanavyotokea katika ulimwengu wa mwili. (ulimwengu wa mwili ndio maisha yetu haya ya kila siku ...kutembea, kufanya kazi, kuugua, etc). Hizi ndoto huwa zinasimamiwa na ulimwengu wa roho, hakika hakuna ndoto isiyokuwa na maana! Ukijichunguza huenda ukagundua kuwa zipo sehemu ambazo umewahi kupaa na kutua katika ndoto ambazo ama unazifahamu vizuri katika hali ya mwili au ulikuja kufika baadaye na ukakumbuka kwamba uliwahi kufika ukiwa ndotoni! Kwa ninavyouelewa ulimwengu wa roho, ndoto za kupaa huwa sio kiashiria kizuri, ni nguvu za uchawi. Nifupishe kwa kusema kuwa anayeota kupaa ina maana kuwa ama ni mchawi tayari (unaweza kuwa mchawi kabla hujajitambua kuwa wewe ni mchawi) au anaandaliwa kuwa mchawi (kumbuka uchawi upo wa aina nyingi...unaweza ukarithishwa mikoba - hii huambatana na madhabahu za mila na desturi, familia, ukoo, nk, wa kunuiza, wa kupewa kwenye ndoto kwa kupaa, nk). Inabidi ufanye maombi ya kuvunja hizo roho, kama huwezi mwenyewe tafuta msaada wa maombi. Maombi yanayomaliza hii hali ni kupitia jina la Yesu. (Hivyo ndivyo uzoefu wangu unavyonielekeza kuamini - katika nguvu za Jina la Yesu kupambana na nguvu za giza, wengine wanaweza kuamini vingine, ni sahihi kabisa kwao pia). Ushauri huu unawahusu pia wale wanaoota wanakula vitu mbalimbali, wapo na marehemu, wanyama kama nyoka, simba nk, wapo shimoni, wanakimbizwa, na orodha inaweza kuendelea..... Sio nia yangu kuanzisha malumbano, na naomba isiwe hivyo, nimetoa ushauri ambao mtu ana hiyari kuufuata au kuuacha. Kama kuna atakayekwazika naomba nisamehewe.

Umemaliza yote. Mwenye sikio na asikie.
 
Kama ni kweli unaheshimu mitazamo yetu kwanini una ni Tag mimi? Inaonyesha wewe hujuwi Viumbe hawa Wasionekana Majini Au kwa lugha nyingine (Mapepo) ngojea yakukute ndipo utaweza kujuwa kumbe kuna viumbe wengine alioumba Mwenyeezi Mungu na tena wapo tafdhali usini Tag mimi ikiwa huamini hawa Viumbe jiheshimu utaheshimiwa tafadhali sana nina kuheshimu. Toa mawazo yako kwa akili zako .

Samahani mkuu kama nimekosea, NISAMEHE. Wala sikuwa na nia mbaya, nilisema tu mtazamo wangu. Pia nami nakuheshimu.
 
Nitajitahidi kuelezea kwa lugha rahisi sana.... Kimsingi kila jambo linalotokea hapa duniani, yaani katika hali ya mwili huwa linaanzia kutokea kwanza katika hali ya kiroho. Unashangaa? Ulimwengu wa roho ndio unaosababisha/unaathiri mambo yatokee kama yanavyotokea katika ulimwengu wa mwili. (ulimwengu wa mwili ndio maisha yetu haya ya kila siku ...kutembea, kufanya kazi, kuugua, etc). Hizi ndoto huwa zinasimamiwa na ulimwengu wa roho, hakika hakuna ndoto isiyokuwa na maana! Ukijichunguza huenda ukagundua kuwa zipo sehemu ambazo umewahi kupaa na kutua katika ndoto ambazo ama unazifahamu vizuri katika hali ya mwili au ulikuja kufika baadaye na ukakumbuka kwamba uliwahi kufika ukiwa ndotoni! Kwa ninavyouelewa ulimwengu wa roho, ndoto za kupaa huwa sio kiashiria kizuri, ni nguvu za uchawi. Nifupishe kwa kusema kuwa anayeota kupaa ina maana kuwa ama ni mchawi tayari (unaweza kuwa mchawi kabla hujajitambua kuwa wewe ni mchawi) au anaandaliwa kuwa mchawi (kumbuka uchawi upo wa aina nyingi...unaweza ukarithishwa mikoba - hii huambatana na madhabahu za mila na desturi, familia, ukoo, nk, wa kunuiza, wa kupewa kwenye ndoto kwa kupaa, nk). Inabidi ufanye maombi ya kuvunja hizo roho, kama huwezi mwenyewe tafuta msaada wa maombi. Maombi yanayomaliza hii hali ni kupitia jina la Yesu. (Hivyo ndivyo uzoefu wangu unavyonielekeza kuamini - katika nguvu za Jina la Yesu kupambana na nguvu za giza, wengine wanaweza kuamini vingine, ni sahihi kabisa kwao pia). Ushauri huu unawahusu pia wale wanaoota wanakula vitu mbalimbali, wapo na marehemu, wanyama kama nyoka, simba nk, wapo shimoni, wanakimbizwa, na orodha inaweza kuendelea..... Sio nia yangu kuanzisha malumbano, na naomba isiwe hivyo, nimetoa ushauri ambao mtu ana hiyari kuufuata au kuuacha. Kama kuna atakayekwazika naomba nisamehewe.

Niliwahi kuota sana ndoto za hivi na nilikuwa sizipendi,naamini zina siri sana kwa wasiozijua kuwa wanatumiwa sana hasa kwenye mambo ya kichawi bila kujijua,nilipoanza kuliitia jina la Yesu tu zikakoma,sa hivi naota ndoto nyingine kabisa na ninazifurahia..
 
Ni dalili ya kuwa RUBANI wa ile helikopita ya Gwaji..ma,,, muone ..... Mdee akupigie debe uchukue maisha pale... kwi kwi kwi kwi!!!!
 
Kama ni kweli unaheshimu mitazamo yetu kwanini una ni Tag mimi? Inaonyesha wewe hujuwi Viumbe hawa Wasionekana Majini Au kwa lugha nyingine (Mapepo) ngojea yakukute ndipo utaweza kujuwa kumbe kuna viumbe wengine alioumba Mwenyeezi Mungu na tena wapo tafdhali usini Tag mimi ikiwa huamini hawa Viumbe jiheshimu utaheshimiwa tafadhali sana nina kuheshimu. Toa mawazo yako kwa akili zako .

dah mbona mnamtibua daktari mkuu we2 wa jf..
binafsi naamini uwepo majini mkuu MziziMkavu
 
Last edited by a moderator:
dah mbona mnamtibua daktari mkuu we2 wa jf..
binafsi naamini uwepo majini mkuu MziziMkavu
Mkuu kuna watu wengine humu ndani wanapenda kuzungumza maneno ya utumbo tena utumbo wenyewe ni utumbo wa fisi haufai hata kuliwa kama huna maneno ya kujibu bora usome na ukae kimya ili uweze kupata elimu fulani ndani yake kwenye Thread inayozungumziwa? Unapinga bila sababu unapinga kiakili ya mchungwa mchungwa bila kuwa na elimu na hicho unachokipingia. Someni jamani mupate kuelimika. Asante sana Mkuu kasaloo
 
Last edited by a moderator:

NDOTO ZA KISHETANI ZENYE MAANA MAALUM:


1)Mwenye kuota uchi wa mwanamke au kuota anafanya mapenzi na mtu anaemjua au mtu

asiyemjua au mwenye kuota ameolewa au anaoa au anavishwa pete ya harusi au mkufu basi

hii inamaana mtu huyu ana jini mahaba.

Tena anaeota kuoa au kuolewa ina maana huyo jini mahaba tayari keshamuoa kweli,japo ndio hiyo sio

halali na wala haina makubaliano.

2)mwenye kuota anakula kachumbari au chakula cha harusini,anakula chakula cha aina yoyote

tena pahala popote au akaota nyoka mweusi au akaota anacheza ngoma ya aina yoyote tena

ikiwa muotaji si mwenye kupenda ngoma yoyote.

Basi ndoto hii ina maana mtu huyu ana jini aitwaye KHADIMU SIHRI,(mwenye kutumikia uchawi)

jini huyu anapomvaa mtu lazima amwachie uchawi,hvyo basi kwa kule kuota unakula chakula

cha aina yoyote ni kweli unakula,unalishwa uchawi na kwa kule kucheza ngoma ya aina yoyote

ni kweli unachezeshwa ngoma ya kichawi.

3)Mwenye kuota kumuona simba basi huyu ni jini tena kafiri.jini huyu hupenda sana kufanya

juhudi za kumtoa mwnadamu ktka ibada za kumjua Allah na kumshawishi kuingia ktka ibada

za shaitwan.

4)Mwenye kuota Ng'ombe au Nyati,ndoto hii inamaana mtu huyu ana jini aitwae TABDILI.

Jini huyu ameitwa hivi kwa sababu ya kubadilika badilika pindi atimizapo miaka 100 au 30

au 500,hubadilika kurudi tena ktka ujana. Majini hawa ni wachache sana tena ni wasumbufu

kwa wanadamu.

5)Mwenye kuota anapaa angani,ndoto hii ina maana kuwa mtu huyu ana jini aitwaye TWIYARA.

Kama una Maswali yoyote kuhus Majini Mashetani au ugonjwa nitumie Barua ya pepe Email

yangu Address fewgoodman@hotmail.com au pia waweza kunitembelea blog yangu bonyeza

hapa Mzizi Mkavu

5: Bora Tu Ungesema TIYARA Tukajua Moja Unahadithia Na Chumvi Za Watoto.. kwamba Warusha Tiara... Sio Majini Tu Na Nafsi Za Watu Zinachangia na Kikubwa ni Akili..... hayo madubuasha yapo ila matatizo mengine ya kwenu wenyewe mnasingizia mizuka..

"Rakims"
 
Mkuu Mzungu MZEE Kwa Msaada Kidogo Japo Nimelate Kujibu Iko Hivi:

Kuota Unapaa Kumegawanyika Katika Sehemu Tatu Ni Hizi:

1: kupaa kwa kusababishwa na mawazo

2: kupaa kwa kusababishwa na ubongo
3: kupaa kwa kusababishwa na Majini Au Uchawi...

unavyopaa wewe kwa kukusaidia hakukuathiri vyovyote wala usidanganywe na wapiga ramli kupaa na kutua salama means unapaa ki spirit self transvection kitaalamu tunasema unafanya lucid dream...

na hiyo unayofanya au kupata ni low lucid dreamer begginners result unaongoza ndoto lakini hujui kama unaota..

Search uelewe kidogo uzi wangu wa JINSI YA KUONGOZA NDOTO UTAKAVYO (Lucid dream)

"Rakims"
 
Umeingiwa na pepo mchafu. Ndoto za kupaa na wakati mwingine kushuka kwenye endless pits zinaashiria kuna pepo ndani mwako. Baadaye ataanza kukutesa na kukuvuruga.
 
Mmeshindaje wakuu,

Mara nyingi nimekuwa nikiota ndoto kama napaa hewani, imetimia miaka miwili sasa toka nianze kuota ndoto ya namna hii. Ndoto hii ninaiota atleast mara moja kwa mwezi, naota nikiwa katika mazingira tofauti nikawa nipo mitaani tu napaa hewani watu wananishangaa nikifika kwenye nyaya za umeme nina zikwepa nazidi kwenda juu zaidi.

Siku nyingine naota nipo kwenye ndege halafu ndege imepata ajali wengine wanapata madhara lakini mimi ninaendelea kuelea angani. Ili nipae angani huwa natakiwa niinyooshe mikono hewani dnipo napaa hewani zaidi na nikitaka kushuka chini nashusha mikono chini nikitaka kwenda angani tena nanyosha mikono juu.

Muda huo nikiwa angani huwa nakuwa na furaha sana na hatimae nikiamka asubuhi siku yangu huwa ya furaha sana.

Michango yenu wakuu, ni kawaida kuota ndoto inayojirudia rudia mara nyingi? Ndoto hii ina maana gani?
ASANTENI.

CC: MziziMkavu Pasco

Kamahivyo rekebishamaishayako ujiweketayari
Saa yoyote wanaweza kukuchukua ama kupaa
 
Back
Top Bottom