immasakha
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 489
- 282
Nilikua na ndoto kubwa ya kua IT Technician,lkn ndoto hy imekufa pale nilipomaliza diploma na kupata ufaulu wa G.P.A ya 2.9 ambapo kwa mujibu wa T.C.U ninaambiwa nimekosa kigezo cha kuendelea na degree
Nikaangalia upande mwengine wa foundation course ili nipate kujiendeleza nako pia zimesimamishwa kutolewa

Nikaangalia upande mwengine wa foundation course ili nipate kujiendeleza nako pia zimesimamishwa kutolewa
