UZZIMMA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 406
- 456
Kikwazo kikubwa ni hii kozi. Lengo nataka nichukue shahada ya civil engineering. Hivi kozi hii inapatikana chuo hiki?
1.Maana wengine wanasena ipo, na wengine wanasema haipo.
2.Ingawa nikiangalia kwenye website yao siikuti.
3. Na point no2 siipi uzito kwa sababu, kuna baadhi ya kozi nazisikia zikitajwa kusomwa, ila kwenye website ya OUT sizioni.
Elimu yangu ni ORDINARY DIPLOMA OF CIVIL ENGINEERING.
SWALI KUU: Je naweza kusoma shahada ya civil engineering OPEN UNIVERSITY?
1.Maana wengine wanasena ipo, na wengine wanasema haipo.
2.Ingawa nikiangalia kwenye website yao siikuti.
3. Na point no2 siipi uzito kwa sababu, kuna baadhi ya kozi nazisikia zikitajwa kusomwa, ila kwenye website ya OUT sizioni.
Elimu yangu ni ORDINARY DIPLOMA OF CIVIL ENGINEERING.
SWALI KUU: Je naweza kusoma shahada ya civil engineering OPEN UNIVERSITY?