Na jezi tumechomaDuuuh uhalali wa hii habari ni upi?
Mwigulu aache kwenda kibiti aende kumfuata mpuuzi mmoja.Haiwezi kuwa kama hivyo.
aseehNa jezi tumechoma
Unazungumzia miaka minne ?!, je Liverpool epl miaka 26 ?.Miaka minne hatukuona Kiwanda cha Makopo. Mwaka wa tano huo unakuja no VPL cup
Ndiyo hilo sasa. Eti mwakani International waokote makopo wakati wa miaka nne wanadunda!Unazungumzia miaka minne ?!, je Liverpool epl miaka 26 ?.
Rizmoko alimkimbia jpm pwani akaenda kwa niyonzima rwanda huku nchemba akiacha kuumiza kichwa ya kibiti akienda kumbembeleza niyonzima rwanda, dah!Yaani waziri na mbunge wamfuate yy usiku usiku toka tz hadi rwanda...?
Tupe source ya habari.
Nchemba anaweza, yuko tayari watu wafe kibiti ila yanga hali ya hewa iwe shwari!Naweza kuamini baadhi ya maneno lakini hilo la waziri na mp kusafiri tena usiku sikatai ila siamini kwa hilo
Kibiti haiko chini ya Nchemba kwa sasa iko chini ya Mwinyi.....wa matopeni bana!!!Nchemba anaweza, yuko tayari watu wafe kibiti ila yanga hali ya hewa iwe shwari!
Yaani waziri na mbunge wamfuate yy usiku usiku toka tz hadi rwanda...?
Tupe source ya habari.
Anza wewe kuwajibisha ubongo wako. Anajua hata kushika bunduki huyo? Wakati mwingine muache cheap politics. Habari za mwanasiasa kupanda Daladala Siku moja halafu akahesabiwa kuwa anawajali wanyonge. Fake politics for the simple minded.Kama Mwigulu atakuwa kaenda Rwanda akaacha askari wanauliwa Kibiti, hana budi kuwajibika kwa hili.
Sasa unamtaka anayeripoti alichosikia redioni akitolee uthibitisho? Ingekuwa busara ukamtaka Haruna mwenyewe na si vinginevyoNalifahamu hilo ndio maana nataka huyu mtoa mada authibitishie umma kwamba uongozi wa simba Umewahi kusema lolote kuhusu haruna, vinginevyo aombe radhi
Viongozi au mashabiki?Kuna wanayanga week hii wamechoma jez zake moto,hapo hapo unaambiwa hawana haja nae. Hawa watu ni wanafiki sana.
Who is faking life? Mmesahau mlishangilia mikataba leo inapingwa mnashangilia tena....uzuzu huo. Hakuna cheap politics hapo, Mwigulu is very concerned with what is happening huko Kibiti kama waziri husika na wala hawez kukwepaAnza wewe kuwajibisha ubongo wako. Anajua hata kushika bunduki huyo? Wakati mwingine muache cheap politics. Habari za mwanasiasa kupanda Daladala Siku moja halafu akahesabiwa kuwa anawajali wanyonge. Fake politics for the simple minded.
Kumbe mnampenda okwiIt is not done until it's done!
Tusubiri tuone. Lolote laweza kutokea.
Msishangae Okwi kutua Yanga.