monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,265
- 11,304
ungekuwa na busara huu uzi ungeumuvuzisha mwanawane, maana unajaribu kumshika tako mwigulu
Hakuna kitu kama hicho,Yanga ndio wametoa official statement ya kumtakia safari njemaInawezekana kuna ukweli katika hili, ila tunaomba mtoa mada utuwekee official statement ya club ya simba inayosema haruna amesajiliwa na simba
Na Gulf stream kama ya yule bosi wa AcaciaYaani waziri na mbunge wamfuate yy usiku usiku toka tz hadi rwanda...?
Tupe source ya habari.
Nalifahamu hilo ndio maana nataka huyu mtoa mada authibitishie umma kwamba uongozi wa simba Umewahi kusema lolote kuhusu haruna, vinginevyo aombe radhiHakuna kitu kama hicho,Yanga ndio wametoa official statement ya kumtakia safari njema
Yes,Mimi nilimsikia kaburu akidai kumtaka huyo boyaNalifahamu hilo ndio maana nataka huyu mtoa mada authibitishie umma kwamba uongozi wa simba Umewahi kusema lolote kuhusu haruna, vinginevyo aombe radhi
Kwani mwigulu anashindwa hilo? Naona alikwenda na rizmokoYaani mwigulu aache kwenda kibiti aende Rwanda ?
Si umeshaambiwa ni radio Rwanda,nenda katyuni marudio yake.Marlex Jr El said:Yaani waziri na mbunge wamfuate yy usiku usiku toka tz hadi rwanda...?
Tupe source ya habari.
Ya Kibiti yashakuwa juu ya uwezo wake ndiyo maana kaomba msaada kwa Jwtz ambao Waziri wao ni Mwinyi,that's why CDF muda wowote atakuwa kule.Sasa unataka aende akafanye nini kwa kazi iliyopewa rufaa!?.Safi Mwigulu Nchemba,nasema chapa kazi!!Kama Mwigulu atakuwa kaenda Rwanda akaacha askari wanauliwa Kibiti, hana budi kuwajibika kwa hili.
Kibiti ni mwendo wa Jwtz,na Jwtz Hawako chini ya Mwigulu kama hujui.Mwigulu aache kwenda kibiti aende kumfuata mpuuzi mmoja.Haiwezi kuwa kama hivyo.
Wamekabidhiwa wanajeshi Kibiti na Mwigulu hahusiki nao.Labda ungeuliza kuhusu Hussein Mwinyi.Yaani mwigulu aache kwenda kibiti aende Rwanda ?
Labda ni Mwigulu na Riz moko.Yaani waziri na mbunge wamfuate yy usiku usiku toka tz hadi rwanda...?
Tupe source ya habari.
Miaka minne hatukuona Kiwanda cha Makopo. Mwaka wa tano huo unakuja no VPL cupKiukweli kutoka Moyoni Niyonzima kasababisha ule Ugonjwa wa matatizo ya Akili kwa WanaVyura Fc...Tukiendelea hvi msishangae msimu unaoanza pale uwanja wa taifa kukageuka Kiwanda cha Makopo