Lakini mtoa mada hata hajasema Samia mkuu kuliko jpm, ye amempongeza tu kwa kusimamia vema maono ya mtangulizi wake.......huku yeye akiwa msaidizi mkuu kipindi hicho. Kuna tatizo hapo?!!!!Mwenye ndoto (Maono) huwa ni mkuu kuliko mtekelezaji wa hayo maono. R. I. P JPM, hakika ulikuwa kiongozi bora kabisa katika nyakati zetu.
Comment yako hii ni ushahidi mwingine kuwa walinda legacy mnahangaiki sana kila msikiapo jina Samia Suluhu Hassan. Mnahangaila zaidi mkisikia mafanikio yake, yaani kukataliwa kwa maombi yenu (na Muumba) ya kila siku ya kutaka ashindwe kuendeleza chochote. Mmejazwa chuki dhidi yake, mmejazwa chuki dhidi yao.