Ndoto nyingine bwana!

Mohammed Hamad

JF-Expert Member
Jan 17, 2011
3,988
1,301
Jamaa wawili walikua wamekaa pamoja, mmoja akamwambia mwenzake: Leo nimeota niko UFARANSA,yule mwenzake akasema: na mi leo nimeota nimewaalika watu kwangu. yule jamaa wa kwanza akahamaki sana akamwambia mwenzake'' Mbona hujanialika na mimi''? Jamaa akamjibu: mi nlidhani bado upo UFARANSA.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom