Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,316
- 8,013
Habarini
Aisee nimeota ndoto ya ajabu sana leo.
Nimeota nafunga ndoa na mwanamke mzuri mweusi kabila mhaya and nimeonana hadi na wazazi wake usiku huo tena nikiwa nusu nafahamu.
Hii ndoto nimeiota karibu usiku mzima coz nlikuwa nikistuka nikipitiwa tu usingizi inaanza tena. Nimefunga hii ndoa nikiwa nusu ninafaham and nusu nimesinzia, mpaka nlikuwa najishika naona nipo na faham ila tukio linaendelea
Ndoa imeisha kufungwa nikapelekwa kutambulishwa kwa baba wa mschana, bahati mbaya nimesahau jina la baba mkwe ila hadi naamka nlikuwa nalikumbuka.
Nimetambulishwa nikiwa najitambua japo nipo usingizini. Mschana anafanan na dada ambaye namdai deni kubwa almost molion 3 ila hatujawahi kuonana nlimkopesha tu kwa kutambulishwa na ndugu yangu kuwa kama mdhamini wake nikamkopesha hiyo hela kwa awamu tatu na hajalipa hata senti.nlimjua sura kupitia status zake.
Aisee nimeota ndoto ya ajabu sana leo.
Nimeota nafunga ndoa na mwanamke mzuri mweusi kabila mhaya and nimeonana hadi na wazazi wake usiku huo tena nikiwa nusu nafahamu.
Hii ndoto nimeiota karibu usiku mzima coz nlikuwa nikistuka nikipitiwa tu usingizi inaanza tena. Nimefunga hii ndoa nikiwa nusu ninafaham and nusu nimesinzia, mpaka nlikuwa najishika naona nipo na faham ila tukio linaendelea
Ndoa imeisha kufungwa nikapelekwa kutambulishwa kwa baba wa mschana, bahati mbaya nimesahau jina la baba mkwe ila hadi naamka nlikuwa nalikumbuka.
Nimetambulishwa nikiwa najitambua japo nipo usingizini. Mschana anafanan na dada ambaye namdai deni kubwa almost molion 3 ila hatujawahi kuonana nlimkopesha tu kwa kutambulishwa na ndugu yangu kuwa kama mdhamini wake nikamkopesha hiyo hela kwa awamu tatu na hajalipa hata senti.nlimjua sura kupitia status zake.