Ndoto hii inanitesa sana na kuninyima usingizi

Thas trabo

Senior Member
Mar 5, 2021
130
226
Hii ndoto nimeota usiku wa kuamkia leo ilikua hivi.

Nilikua maeneo ya uwanja wa mpira, kulikua na watu wengi sana. gafla angani likaonekana wingu ambalo juu yake kuna mlima, watu walikua wakilishanga tu, katika ule mlima walishuka watu wa wawili wenye mavazi meupe (kanzu) mmoja alisimama kulia mwingine kushoto, wa kulia alikua ameshika pembe kubwa sana na wakushoto alikua ameshika upanga ukiwaka mwanga mkali sana.

Mwenye pembee aliipuliza, sie tulio kua tuna shangaa kinacho endelea tukaanza tawanyika na kukimbia wengi tukikimbilia msikitini na wengine makanisani kwani kutokana na mazingira ya ndoto msikiti na kanisa vyote vilikua kando ya uwanja (huku wengi wakisema "Qiyma" kimefika).

Hata mi pia nilianzisha mbio kuelekea msikitini huku nikitoa shahada hata siku fika msikitini ndoto ilikata nikashituka kutoka usingizini nikiwa natetemeka sana na jasho juu. Na nilishituka nkiwa bado naendelea kutoa shahada hata baada ya ndoto kukata.

Mpaka sasa ndoto hiyo inanifikirisha sana na kuniogopesha pia.

Japo sio mara ya kwanza kuota ndoto ya namna hiyo kwani nakumbuka wakati nipo form four niliwahi kuota jua limeshuka mpaka urefu wa futi kadhaa kutoka uso wa dunia, lilikua likiteketeza kila kitu na maji toka baharini, ziwani na kwenye mito, yalianza ingia nchi kavu kama Tsunami.
 
Hii ndoto nimeota usiku wa kuamkia leo ilikua hivi.
nilikua maeneo ya uwanja wa mpira, kulikua na watu wengi sana. gafla angani likaonekana wingu ambalo juu yake kuna mlima, watu walikua wakilishanga tu, katika ule mlima walishuka watu wa wawili wenye mavazi meupe (kanzu) mmoja alisimama kulia mwingine kushoto, wa kulia alikua ameshika pembe kubwa sana na wakushoto alikua ameshika upanga ukiwaka mwanga mkali sana. Mwenye pembee aliipuliza, sie tulio kua tuna shangaa kinacho endelea tukaanza tawanyika na kukimbia wengi tukikimbilia msikitini na wengine makanisani kwani kutokana na mazingira ya ndoto msikiti na kanisa vyote vilikua kando ya uwanja (huku wengi wakisema "Qiyma" kimefika).hata mi pia nilianzisha mbio kuelekea msikitini huku nikitoa shahada hata siku fika msikitini ndoto ilikata nikashituka kutoka usingizini nikiwa natetemeka sana na jasho juu. Na nilishituka nkiwa bado naendelea kutoa shahada hata baada ya ndoto kukata.
Mpaka sasa ndoto hiyo inanifikirisha sana na kuniogopesha pia.
Japo sio mara ya kwanza kuota ndoto ya namna hiyo kwani nakumbuka wakati nipo form four niliwahi kuota jua limeshuka mpaka urefu wa futi kadhaa kutoka uso wa dunia, lilikua likiteketeza kila kitu na maji toka baharini, ziwani na kwenye mito, yalianza ingia nchi kavu kama Tsunami.
Kaka nitafute inbox hili jambo si dogo una kazi ya kufanya
Hizi ni siku za mwisho
Na pia unapaswa kujua ni kitu gani Cha Mungu umebeba
 
Hii ndoto nimeota usiku wa kuamkia leo ilikua hivi.
nilikua maeneo ya uwanja wa mpira, kulikua na watu wengi sana. gafla angani likaonekana wingu ambalo juu yake kuna mlima, watu walikua wakilishanga tu, katika ule mlima walishuka watu wa wawili wenye mavazi meupe (kanzu) mmoja alisimama kulia mwingine kushoto, wa kulia alikua ameshika pembe kubwa sana na wakushoto alikua ameshika upanga ukiwaka mwanga mkali sana. Mwenye pembee aliipuliza, sie tulio kua tuna shangaa kinacho endelea tukaanza tawanyika na kukimbia wengi tukikimbilia msikitini na wengine makanisani kwani kutokana na mazingira ya ndoto msikiti na kanisa vyote vilikua kando ya uwanja (huku wengi wakisema "Qiyma" kimefika).hata mi pia nilianzisha mbio kuelekea msikitini huku nikitoa shahada hata siku fika msikitini ndoto ilikata nikashituka kutoka usingizini nikiwa natetemeka sana na jasho juu. Na nilishituka nkiwa bado naendelea kutoa shahada hata baada ya ndoto kukata.
Mpaka sasa ndoto hiyo inanifikirisha sana na kuniogopesha pia.
Japo sio mara ya kwanza kuota ndoto ya namna hiyo kwani nakumbuka wakati nipo form four niliwahi kuota jua limeshuka mpaka urefu wa futi kadhaa kutoka uso wa dunia, lilikua likiteketeza kila kitu na maji toka baharini, ziwani na kwenye mito, yalianza ingia nchi kavu kama Tsunami.
Uwito huo... wewe sasa ndio Mtumishi wa Mungu kweli kupitia wewe Mungu anakuinua ili watu wengi wabarikiw na waponye shida zao.. ni swala la muda tu ..
 
Badili ajira na mtumikie Mungu sana
Fundisha maadili na pia soma sana

Ila kuna mtu anakulia timing hapo
 
Siku zote binadamu hua anaota kitu ambacho ama alishakiona au alishakisikia au kukisoma. Hayo unayoota ni mambo ya kawaida ambayo karibu kila mtu alishawahi kuyaota wala huna haja ya kuumiza kichwa.
 
Acha kulala Bila Dua tatizo hamsikii ...
Mimi nikilala Bila Dua aisee mauzauza ht mwendakuzimu madogo...nikipiga Dua usingizi mnono na swaafi kabsa
 
Hii ndoto nimeota usiku wa kuamkia leo ilikua hivi.
nilikua maeneo ya uwanja wa mpira, kulikua na watu wengi sana. gafla angani likaonekana wingu ambalo juu yake kuna mlima, watu walikua wakilishanga tu, katika ule mlima walishuka watu wa wawili wenye mavazi meupe (kanzu) mmoja alisimama kulia mwingine kushoto, wa kulia alikua ameshika pembe kubwa sana na wakushoto alikua ameshika upanga ukiwaka mwanga mkali sana. Mwenye pembee aliipuliza, sie tulio kua tuna shangaa kinacho endelea tukaanza tawanyika na kukimbia wengi tukikimbilia msikitini na wengine makanisani kwani kutokana na mazingira ya ndoto msikiti na kanisa vyote vilikua kando ya uwanja (huku wengi wakisema "Qiyma" kimefika).hata mi pia nilianzisha mbio kuelekea msikitini huku nikitoa shahada hata siku fika msikitini ndoto ilikata nikashituka kutoka usingizini nikiwa natetemeka sana na jasho juu. Na nilishituka nkiwa bado naendelea kutoa shahada hata baada ya ndoto kukata.
Mpaka sasa ndoto hiyo inanifikirisha sana na kuniogopesha pia.
Japo sio mara ya kwanza kuota ndoto ya namna hiyo kwani nakumbuka wakati nipo form four niliwahi kuota jua limeshuka mpaka urefu wa futi kadhaa kutoka uso wa dunia, lilikua likiteketeza kila kitu na maji toka baharini, ziwani na kwenye mito, yalianza ingia nchi kavu kama Tsunami.

Ni Ujumbe Wa Bwana Lyrics​


Ni ujumbe wa Bwana haleluya, kwa maisha ya daima,
Amenena mwenyewe haleluya, utaishi ukitazama

Tazama ishi sasa, kumtazama Yesu,
alinena mwenyewe, haleluya! utaishi ukitazama

Uzima wa daima haleluya , kwake Yesu utauona,
ukimtazama tu haleluya, wokovu u peke kwa Bwana .

Tazama ishi sasa, kumtazama Yesu,
alinena mwenyewe, haleluya! utaishi ukitazama

Ni ujumbe wa Bwana haleluya, nawe shika rafiki yangu,
ni habari ya raha haleluya, mwenye kuinena ni Mungu. .

Tazama ishi sasa, kumtazama Yesu,
alinena mwenyewe, haleluya! utaishi ukitazama
 
Mara nyingi ndoto ni akili inapitia bila mpangilio maalum mambo uliyofanya na kufikiri siku nzima au uliyowahi kufanya.

Puuza hayo mambo na endelea kuparangana na maisha.
 
Asanteni sana wakuu kwa maoni na ushauri wenu, pia ngependa niliweke hili wazi mie sio mtumishi sana wa Mungu kwani hata kwenye nyumba za ibada hua naenda mara moja moja, lakini mara nyingi sana huwaza kusoma dini na kuielewa vizuri,nikiwa na baadhi ya marafiki zangu wa karibu hujikuta tu na waeleza kua ntakuja soma dini na ntaitangaza kila sehemu ya dunia, lakini kikawaida sijui hata ntaanzia wapi maana sasa ni kijana mkubwa tu na mambo yashakua mengi hasa ya utafutaji wa maisha. Hivi sasa ndoto kama hizi za ni andama hasa hii nilio share na nyie jukwani inanitisha sana ndugu zangu na naona kama qiyma ndo kitakua vile basi ni siku ya kuogofya sana.. mara nyingi nikifikilia machozi hunidondoka.
 
Back
Top Bottom