Ndondondo si chururu

changamoto zipi hizo mkuu? na milima inaihamisha toka wapi kwenda wapi?...
Huyu mgeni mtata, by the way tumkaribishe na tusubiri kuona hiyo milima inavyohamishwa.
 
mmmmh,usije kuondoa watu jamvini bureeeeeeeeeeeee!!
 
Milima ni matatizo yaliyo kwenye jamii yetu. Kama kuna watu hapa jamvini ni tatizo then their days are numbered.

'Where there is no vision people perish'
 
Milima ni matatizo yaliyo kwenye jamii yetu. Kama kuna watu hapa jamvini ni tatizo then their days are numbered.

'Where there is no vision people perish'
wewe umekuwa mods?kama sikosei utakuwa umeingia cha kike,,humu ndani huwezi kuondoa mtu ....wewe mwaga hoja zako watu watakujibu na kuzijadili
 
haya bwana karibu .......
lakini kuna waataaalum sana huku ndani
ambao wameshazileta hizo changamoto..
itakuwa fresh kusikia za kwako pia...
na milima angalia isije ikawa mizito sana
ikakuhamisha wewe....
take it easy and take care😛eace:
 
wewe umekuwa mods?kama sikosei utakuwa umeingia cha kike,,humu ndani huwezi kuondoa mtu ....wewe mwaga hoja zako watu watakujibu na kuzijadili

Touchy touchy.. Huh? Ni mwendo wa antivirus!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…