Ndondocha na utajiri

Kuna watu ni aggressive kwenye hili wanachojali ni kupata utajiri wa haraka bila kujali utapatikanaje na madhara yake ya baadae
Mi kuna m2 aliniambia na Ni Tajiri Kweli kwamba yy atafanya Chochote kile Ili mradi tu masharti yasiseme Kuwa aue Ndugu au Mtu wake wa karibu..
 
Wala Hawapasui kichwa Kuzitafuta kama Unavyofikiria.. Mfano Unakuta mtu anamiliki tuka La ujenzi.. wewe unapata wateja 10 kwa Siku yeye Anapata wateja 100 kwa Siku Na wanachoenda nunua na kwako kipo

Mwenzako anapeleka Benki mil 10 kwa siku ww Huna Cha kupeleka...mwisho wa siku unaenda Kumuuliz anafanya nn unaingia kwenye Mtego
 
Mi kuna m2 aliniambia na Ni Tajiri Kweli kwamba yy atafanya Chochote kile Ili mradi tu masharti yasiseme Kuwa aue Ndugu au Mtu wake wa karibu..

Na wasikutafune kiboga pia....na uwe free kuachana na hayo mambo anytime ukiamua.

Hapo hata mimi sina neno. Tehe
 
Nlpokuwa mdogo uncle wangu mmoja alkuwa anapenda kushinda kwa mganga siku moja akawa anapiga story kuhusu afanywe tajiri lkn lazma amtoe MTU wa karibu kafara( mama ake ambaye ni Bibi yangu) loh nlienda kumsemea akasemwa sana na mamake nilionekana mmbeya ila atleast hakutimiza azma yake
 
Mmh


Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…