Hata anamfanya nduguye kuwa ndondocha nae pia ni ndondocha...unaharibu akili ya mtu afu unapasua kichwa jinsi ya kupata pesa! Haribu afu ukae tuu bila shuguli ukiamka uwe unakuta mlundo wa pesa mchagoni
wewe kazi yako ni kula bata hadi kuku washangaeee