kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,363
- 10,101
Kitengo cha 'Sheria' pale Yanga huko nyuma kilijidhihirisha kuwa na mapungufu makubwa ya weledi.
Bwana Patrick Simon ndiye aliyekuwa mkuu Wa Kitengo alifeli sana Kwenye kesi nyingi za Yanga mpaka siku za karibuni akaamua ang'atuke.Ipo Mifano kama Kesi za Kina Morrison kule CAS na rufaa ya Yanga CAS dhidi ya bodi ya Ligi zote Yanga ilikula mwereka na kuangukia pua, mpaka Mama Samia alipoingilia kati kuiokoa Yanga.
Sasa kitendo Cha Kuwaruhusu hawa Madogo Wa Soka Nkane na Kibwana kuzichapa 'live' kinaonyesha lipo eneo lingine pale Yanga halipo Vizuri... Eneo la Saikolojia.
Vijana hawa wa 'Soka' ambao ndio damu changa pale Yanga maana Wengine wengi ni Wazee inaonyesha hawakupata kabisa Ushauri wowote Wa Kisaikolojia walipokuwa Wanaliendea hilo pambano.
Watu wanajiuliza pale Yanga kipo Kitengo hicho cha Saikolojia? Kama Kipo kina wataalamu wa Saikolojia? Hakuna ushauri Wowote walioutoa kwenda kwa vijana hawa?
Kwa kweli sio kwa kile tulichokishuhudia ulingoni.!
Bwana Patrick Simon ndiye aliyekuwa mkuu Wa Kitengo alifeli sana Kwenye kesi nyingi za Yanga mpaka siku za karibuni akaamua ang'atuke.Ipo Mifano kama Kesi za Kina Morrison kule CAS na rufaa ya Yanga CAS dhidi ya bodi ya Ligi zote Yanga ilikula mwereka na kuangukia pua, mpaka Mama Samia alipoingilia kati kuiokoa Yanga.
Sasa kitendo Cha Kuwaruhusu hawa Madogo Wa Soka Nkane na Kibwana kuzichapa 'live' kinaonyesha lipo eneo lingine pale Yanga halipo Vizuri... Eneo la Saikolojia.
Vijana hawa wa 'Soka' ambao ndio damu changa pale Yanga maana Wengine wengi ni Wazee inaonyesha hawakupata kabisa Ushauri wowote Wa Kisaikolojia walipokuwa Wanaliendea hilo pambano.
Watu wanajiuliza pale Yanga kipo Kitengo hicho cha Saikolojia? Kama Kipo kina wataalamu wa Saikolojia? Hakuna ushauri Wowote walioutoa kwenda kwa vijana hawa?
Kwa kweli sio kwa kile tulichokishuhudia ulingoni.!