Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 613
Hebu nipeni mipaka ya very soon!!!Maana habari ni ya tangu September 2008, huu ni mwezi wa 5 hakuna lolote. Hoseah anapeta tu na PCCB yake!!!! Anyway, tunasubiri uteuzi kama upo!!!! Kwani Chief Secretary alishatoa jibu la maelezo yake ambayo alisema anayafanyia kazi!!!???? Usanii and business as usual in the public sector. I am out.
Mambo mazito!!!!! Na kweli anapeta