NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 26
Heshima mbele wakuu
Taarifa zilizotoka hivi punde kutoka kwenye mitambo na nzi wetu wamekamata kwenye antena zao zinasema muda si mrefu mkulu atampiga chini Bw.Hosea wa takukuru na kumweka Mjeshi Ndomba aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha na baadae Mkulu kumrudisha jeshini ili kuweka nidhamu ya jeshi juu. Hapa tutaambiwa Hosea anastaafu lakini umri bado Mhh!!!!. Pia wale tunaowapigia kelele sana hapa Jf kama Mwanyika na mwenzie Mgonjwa watapigwa chini tukipata dodoso tutaziwasilisha
Nzito
Taarifa zilizotoka hivi punde kutoka kwenye mitambo na nzi wetu wamekamata kwenye antena zao zinasema muda si mrefu mkulu atampiga chini Bw.Hosea wa takukuru na kumweka Mjeshi Ndomba aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha na baadae Mkulu kumrudisha jeshini ili kuweka nidhamu ya jeshi juu. Hapa tutaambiwa Hosea anastaafu lakini umri bado Mhh!!!!. Pia wale tunaowapigia kelele sana hapa Jf kama Mwanyika na mwenzie Mgonjwa watapigwa chini tukipata dodoso tutaziwasilisha
Nzito