Ndomba kumrithi Hosea very soon

Status
Not open for further replies.

NgomaNzito

JF-Expert Member
Jan 10, 2008
559
26
Heshima mbele wakuu

Taarifa zilizotoka hivi punde kutoka kwenye mitambo na nzi wetu wamekamata kwenye antena zao zinasema muda si mrefu mkulu atampiga chini Bw.Hosea wa takukuru na kumweka Mjeshi Ndomba aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha na baadae Mkulu kumrudisha jeshini ili kuweka nidhamu ya jeshi juu. Hapa tutaambiwa Hosea anastaafu lakini umri bado Mhh!!!!. Pia wale tunaowapigia kelele sana hapa Jf kama Mwanyika na mwenzie Mgonjwa watapigwa chini tukipata dodoso tutaziwasilisha

Nzito
 
Heshima mbele wakuu

Taarifa zilizotoka hivi punde kutoka kwenye mitambo na nzi wetu wamekamata kwenye antena zao zinasema muda si mrefu mkulu atampiga chini Bw.Hosea wa takukuru na kumweka Mjeshi Ndomba aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha na baadae Mkulu kumrudisha jeshini ili kuweka nidhamu ya jeshi juu. Hapa tutaambiwa Hosea anastaafu lakini umri bado Mhh!!!!. Pia wale tunaowapigia kelele sana hapa Jf kama Mwanyika na mwenzie Mgonjwa watapigwa chini tukipata dodoso tutaziwasilisha

Nzito

Mkuu wa Utumishi wa JWTZ, Brigedia Jenerali Samwel Ndomba, alipokua Mkuu wa Mkoa alikuwa Kanali na akarudishwa jeshini na kupandishwa cheo. Amekuwa akitajwa sana kumrithi Hosea.

pamoja naye wametajwa pia kina Ali Siwa aliyekuwa TIS chini ya Cornel Apson na pia amekuwa akitajwa mama Lilian Mashaka, ambaye ametumia muda mwingi kumpiga vita bosi wake Hosea.

JK na Lowassa ndio waliomponza Hosea na wakimuondoa bila kuwashughulikia mafisadi itakuwa hawajafanya kitu kwani kutatokea kina Lowassa wengine kina Hosea wengine wakafanya mambo yale yale.

lakini kuna utetezi mmoja kwamba, wakati wa kuchunguza Richmond, Hosea na wenzake walitumia sheria ya zamani ya PCB ambayo ilikuwa na makosa manne tu ya rushwa na ilikuwa na vikwazo kibao.

Kwa sheria hiyo ya mwaka 76 wasingeweza kushinda kesi dhidi ya wahusika wa Richmond. Kosa walilofanya ni kulazimishwa na kukubali kutangaza kwamba hakuna kesi kwa shinikizo la wanasiasa wakati kwa kawaida hata kama kesi ikiwa hakuna ushahidi kwa wakati huo, unaweza kufunga jalada na kulifufua pale ushahidi ama sheria zinapobadilika kuruhusu uchunguzi na uchukuaji hatua. Hosea na wenzake walijua sheria inabadilishwa lakini kwa kuwa wanasiasa na zaidi Lowassa alikuwa ni zaidi ya YEYOTE serikalini, Hosea alihitaji ujasiri wa pekee kuweza kumkatalia.
 
ngoma-nzito,

..Brig.Gen.Ndomba kuleta mabadiliko ya maana kwasababu mafisadi karibu wote anaopaswa kuwashughulikia ni wateule wa Raisi Kikwete.

..zaidi, huko Jeshini Brig.Gen.Ndomba ameleta mabadiliko gani? maanake ni open-secret kwamba Jeshini nako kuna uchafu wa kila aina haswa ktk matumizi ya fedha na manunuzi.

..Col.Maftaha na Maj.Gen.Kamazima wametangulia huko PCCB kama Ma-Director. pamoja na "UJESHI" wao rushwa na ufisadi vilishamiri. now, what is so special na huyo Brig.Gen.Ndomba?

..RAISI WETU LT.COL.KIKWETE NI MJESHI VILEVILE. SASA NINI KIMEMZUIA KUPAMBANA NA RUSHWA? KWANINI TUMSUBIRI BRIG.GEN.NDOMBA KUPAMBANA NA RUSHWA?
 
Halisi nipenyezee jina langu huko. Nipo serious nitapambana nao hao jamaa kama yule mkurugenzi wa bandari ..nani vile.Samsoni mahiga au?
 
JK tusimsifu sana na ujeshi wake. Jamaa kaakulia mtaani, jeshi halijui sawasawa. Alienda jeshi kisiasa tu.
 
....Kwani wakuu hivi lazima mnene wa PCCB lazima awe mjeshi??? Mi kwa mtazamo wangu naona hawa wajeshi sijui wagambo wamechemsha kufanya kazi utadhani taasisi haiongozwi na mjeshi.....Na huyo Ndomba sijui kama atakuja na jipya...Tusubiri tuone!!!
 
Kipanga,NgomaNzito,

..Raisi mwenye ni "Mjeshi" sasa ni nini kinachomshinda kupambana na Rushwa?

..kwanini tumtegee Brig.Gen.Ndomba kupambana na rushwa wakati tayari imemshinda Mjeshi mwenzake Amiri Jeshi Mkuu Lt.Col.Kikwete?

Zero,

..wakati wa kampeni tuliambiwa kwamba Kikwete ni Mjeshi aliyebobea ktk masuala ya Uchumi.

..tukasubiri kwa hamu sana kuona matokeo ya utumishi wake kama Raisi.

..inaelekea aliomba kazi kwa kutumia sifa za uongo na kugushi.
 
Heshima mbele wakuu

Taarifa zilizotoka hivi punde kutoka kwenye mitambo na nzi wetu wamekamata kwenye antena zao zinasema muda si mrefu mkulu atampiga chini Bw.Hosea wa takukuru na kumweka Mjeshi Ndomba aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha na baadae Mkulu kumrudisha jeshini ili kuweka nidhamu ya jeshi juu. Hapa tutaambiwa Hosea anastaafu lakini umri bado Mhh!!!!. Pia wale tunaowapigia kelele sana hapa Jf kama Mwanyika na mwenzie Mgonjwa watapigwa chini tukipata dodoso tutaziwasilisha

Nzito

Heshima yako NN.
Hivi huyo Br.Gen. Ndomba karudisha nidhamu gani huko jeshini?
Sababu tunajua rais wetu nae ni mjeshi(tena kanali) na hicho sio cheo kidogo!
lakini tujiulize Rais amefanya nini kupambana na mafisadi na ufisadi?
mimi naona hapa kinachofanyika ni kueana vyeo tu ili kuwafanya wadanganyika waamini kuwa serikali inatekeleza mapendekezo ya bunge.
Suala la msingi hapa ni ateuliwe mtu muadilifu, jasiri na shupavu atakayeweza kupambana na ufisadi na mafisadi.
Vinginevyo tutaendelea kuumizwa na ufisadi kwa mabadiliko ya safu ya PCCB yanayolenga kutupumbaza kumbe wanaendelea kupunga upepo.
Hata hivyo kama kuna mtu anamfahamu vizuri Br.Gen. huyu, kama anaweza kweli kuudhibiti ufisadi basi tunaomba atutoe wasiwasi kwa kutuwekea hapa wasifu wake ili tujue PCCB sasa inakabidhiwa kwa Gen. wa ukweli au Gen. mwanasiasa.
 
Kipanga,NgomaNzito,

..Raisi mwenye ni "Mjeshi" sasa ni nini kinachomshinda kupambana na Rushwa?

..kwanini tumtegee Brig.Gen.Ndomba kupambana na rushwa wakati tayari imemshinda Mjeshi mwenzake Amiri Jeshi Mkuu Lt.Col.Kikwete?

Zero,

..wakati wa kampeni tuliambiwa kwamba Kikwete ni Mjeshi aliyebobea ktk masuala ya Uchumi.

..tukasubiri kwa hamu sana kuona matokeo ya utumishi wake kama Raisi.

..inaelekea aliomba kazi kwa kutumia sifa za uongo na kugushi.

Joka Kuu,

Mchumi wa wapi? Tatizo uliukalia ukatibu wa wilaya wa chama kwa muda murefu mno tena akiwa wilaya za vijijini. Nafikiri uchumi ulishamtoka siku nyingi sana. Sasa anatumia umaarufu sijui hata alikoupatia. May be Baby Face!!!!!!!!!!
 
Joka Kuu,

Mchumi wa wapi? Tatizo uliukalia ukatibu wa wilaya wa chama kwa muda murefu mno tena akiwa wilaya za vijijini. Nafikiri uchumi ulishamtoka siku nyingi sana. Sasa anatumia umaarufu sijui hata alikoupatia. May be Baby Face!!!!!!!!!!
...Kwiiii kwi kwiiiiiii..Mnatafuta warembo???
 
Halisi nipenyezee jina langu huko. Nipo serious nitapambana nao hao jamaa kama yule mkurugenzi wa bandari ..nani vile.Samsoni mahiga au?

FairPlayer I think u mean Samson Luhigo. He was the most corrupt DG THA now (TPA) ever had.

Dredging Dar channel, ununuzi wa cranes mbovu, mkataba wa upanuzi wa bandari za Mtwara na Tanga, the list is endless....
 
Kipanga,NgomaNzito,

..Raisi mwenye ni "Mjeshi" sasa ni nini kinachomshinda kupambana na Rushwa?

..kwanini tumtegee Brig.Gen.Ndomba kupambana na rushwa wakati tayari imemshinda Mjeshi mwenzake Amiri Jeshi Mkuu Lt.Col.Kikwete?

Zero,

..wakati wa kampeni tuliambiwa kwamba Kikwete ni Mjeshi aliyebobea ktk masuala ya Uchumi.

..tukasubiri kwa hamu sana kuona matokeo ya utumishi wake kama Raisi.

..inaelekea aliomba kazi kwa kutumia sifa za uongo na kugushi.

Nakubaliana na wewe kabisa wanajeshi ni wengi kwenye system ukiawaacha akina makamba na wengine kuna wanajeshi wengine wenye uchungu na nchi hii kama tulivyo sisi hao wanatakiwa (wajitokeze) labda kupigania nchi yetu
 
Heshima mbele wakuu

Taarifa zilizotoka hivi punde kutoka kwenye mitambo na nzi wetu wamekamata kwenye antena zao zinasema muda si mrefu mkulu atampiga chini Bw.Hosea wa takukuru na kumweka Mjeshi Ndomba aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha na baadae Mkulu kumrudisha jeshini ili kuweka nidhamu ya jeshi juu. Hapa tutaambiwa Hosea anastaafu lakini umri bado Mhh!!!!. Pia wale tunaowapigia kelele sana hapa Jf kama Mwanyika na mwenzie Mgonjwa watapigwa chini tukipata dodoso tutaziwasilisha

Nzito


..huyu ndomba hana lolote zaidi ya urafiki na jk...na hata huko jeshini hana jipya ...zaidi wanamuona raia tu!!!....kwani jk haoni nje ya marafiki zake..???

.....ndomba huyu huyu ndie alitaka kumrusha awe CDF....next...kila kitu yeye...
 
Joka Kuu,

Mchumi wa wapi? Tatizo uliukalia ukatibu wa wilaya wa chama kwa muda murefu mno tena akiwa wilaya za vijijini. Nafikiri uchumi ulishamtoka siku nyingi sana. Sasa anatumia umaarufu sijui hata alikoupatia. May be Baby Face!!!!!!!!!!


..hadi kuja kuibuliwa mwaka 1990...jk alikuwa akipanda baiskeli tu kama katibu wa chama wilaya newala...akitumia muda mrefu kufukuzia kinamama kwenye ma tembe ya udongo....offcourse ndiko alipompta mwalimu wa UPE ..salma...huo uchumi ka practice lini????

...hiyo ndoto ya urais ilimpata ghafla....pamoja na kujifanya ni moja ya watu waliokuwa karibu na mwalimu ...si kweli..kwani mwalimu asingemuacha kwenye cheo kidogo kwa miaka yote hiyo..hadi warioba alipomleta mjini kwa mwinyi..baada ya kumkuta kule kwenye mafuriko ya elnino....sana sana ukaribu na mwalimu ni kipindi akiwa foregn wakati wa burundi peace...ukweli jamaa ni smart kwenye kutumia opportunity....
 
Huwa kuna wakati Wakenya wanamsema JK kuwa ni Opportunist.Mimihuwa nawapinga sana hadi natokajasho lakini mimi kwa kweli najua huyu mkuu ni opportunist aliyeshindikana,yaani we acha tu.


Huo Uchumi wake hata yeye mbona hauamini? Active foreign minister.Kwi kwi kwi
 

..hadi kuja kuibuliwa mwaka 1990...jk alikuwa akipanda baiskeli tu kama katibu wa chama wilaya newala....

...hadi warioba alipomleta mjini kwa mwinyi..baada ya kumkuta kule kwenye mafuriko ya elnino....sana sana ukaribu na mwalimu ni kipindi akiwa foregn wakati wa burundi peace...ukweli jamaa ni smart kwenye kutumia opportunity....

Lakini nadhani kabla ya kuwa Waziri mdogo, Kikwete alishashika nafasi muhimu za uongozi kwenye Chama na Jeshi. Kwa kuteuliwa kuwa Waziri mdogo hilo kwa kweli sina tatizo nalo.

Alizaliwa Oktoba 7, mwaka 1950 katika kijiji cha Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.


Elimu.


1958-1961 - Shule ya Msingi Msoga
1962-1965 - Shule ya Msingi ya Kati ya Lugoba
1966-1969 - Shule Sekondari Kibaha
1970-1971 - Shule ya Sekondari Tanga
1972-1975 - Chuo Kiku cha Dar es Salaam, Shahada ya kwanza ya Uchumi
1976-1977 - Mafunzo ya Afisa wa Jeshi / Uongozi wa Jeshi, Monduli
1983-1984 - Mafunzo ya Makamanda wa Jeshi

Nafasi alizowahi kushika


1975-1977 - Katibu msaidizi wa TANU wa Mkoa
1977-1980 - Katibu Msaidizi wa CCM, Kisiwani Zanzibar
1980-1981 - Afisa Utumishi wa CCM makao makuu
1981-1983 - Katibu wa CCM Mkoa Tabora
1983-1986 - Mkufunzi wa Siasa katika Chuo cha uongozi wa Jeshi Monduli
1986-1988 - Katibu wa CCM Wilaya ya Nachingwea na baadaye Masasi
1988-1990 - Naibu Waziri wa Nishati na Madini
1990-1994 - Waziri wa Nishati, Madini na Maendeleo ya Maji
1994-1995 - Waziri wa Fedha
1995-2005 - Mbunge wa Chalinze
1995-2000 - Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa
2000-2005 - Aliteuliwa tena kuuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
2005-Sasa - Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

From Kikwete-Shein.com

More from Wikipedia:

1973 or thereabout - Vice President of the Dar es Salaam University Students Organisation

1973/74 – de-facto President of the student government at UDSM

1974 – Represented UDSM students, and the students and youths of the African continent at the International Youth Population Conference in Bucharest, Romania and at several international conferences.

1975 – executive functionary/officer of TANU

1977 – Moved to Zanzibar, tasked with setting-up the new party’s organisation and administration in the Islands following the ASP/TANU merger

1982 – elected member of CCM National Executive Committee by CCM National Congress.

1980 – Administrator of the Dar es Salaam Head Office and Head of the Defence and Security Department
 
Last edited:
Kama uwezo wake wa sasa ndio huo pamoja na improvement alizofanya,sijui kwenye vyeo hivyo vya chini ilikuwaje?
 
Kuhani said:
1973 or thereabout - Vice President of the Dar es Salaam University Students Organisation

1973/74 – de-facto President of the student government at UDSM

1974 – Represented UDSM students, and the students and youths of the African continent at the International Youth Population Conference in Bucharest, Romania and at several international conferences.

1975 – executive functionary/officer of TANU

1977 – Moved to Zanzibar, tasked with setting-up the new party's organisation and administration in the Islands following the ASP/TANU merger

1982 – elected member of CCM National Executive Committee by CCM National Congress.

1980 – Administrator of the Dar es Salaam Head Office and Head of the Defence and Security Department

1981 to 84 – Tabora Region Party official

1984 to 1986 – Chief Political Instructor and Political Commissar at Monduli Military Academy.

1988 – Masasi District Party official

1988 – Lindi Party official

Kuhani,

..katika kazi zote alizofanya kabla ha-serve kwa muda mfupi pale Wizara ya Fedha sioni yoyote ile inayohusiana na uchumi.

..alipokuwa wizara za fedha na mambo ya nchi minongono ilikuwa haiishi kwamba alikuwa kama kivuli tu, lakini defacto Ministers walikuwa wengine ambao sitaki kuwataja hapa.

..sasa huyu Kikwete tukimuita Mjeshi, Brig.Gen.Hassani Ngwilizi tutamuita nani?
 
pamoja naye wametajwa pia kina Ali Siwa aliyekuwa TIS chini ya Cornel Apson

I doubt kuhusu Ali siwa bcoz tetesi ni kwamba huyu jamaa na JK picha hazipandi kabisa,kisa mchakato wa mgombea urais wa ccm 2005
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom