Ndomba kumrithi Hosea very soon

Status
Not open for further replies.
Mwinyi akiwa rais, siku moja alimuaigiza malecela kuwa anataka kuona viongozi wapya wenye asili ya kiisilamu wakipewa nafasi za uongozi, muungwana wakati huu alikuwa Tunduru, ambako alikuwa amepewa adhabu ya kwenda huko na bosi wake CCM Dododma, Mwakawago aliyekuwa akimchukia sana,

katika uho mkumbo malecela aliwapromote, Dr. Mtulia, Makamba, na muungwana kuja kuwa waziri mdogo.
Kwahiyo mkulu cheo alipewa na Mwinyi kwasababu ya dini?maana alimteuwa kwenye madini na nishati na wakati hajasomea fani hiyo!Same way huko chadema kuna wanaopiga kelele hizo za watu kupewa madaraka kwasababu ya dini,JK style.
Alizaliwa Oktoba 7, mwaka 1950 katika kijiji cha Msoga Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.


Elimu.


1958-1961 - Shule ya Msingi Msoga
1962-1965 - Shule ya Msingi ya Kati ya Lugoba
1966-1969 - Shule Sekondari Kibaha
1970-1971 - Shule ya Sekondari Tanga
1972-1975 - Chuo Kiku cha Dar es Salaam, Shahada ya kwanza ya Uchumi
1976-1977 - Mafunzo ya Afisa wa Jeshi / Uongozi wa Jeshi, Monduli
1983-1984 - Mafunzo ya Makamanda wa Jeshi

Nafasi alizowahi kushika


1975-1977 - Katibu msaidizi wa TANU wa Mkoa
1977-1980 - Katibu Msaidizi wa CCM, Kisiwani Zanzibar
1980-1981 - Afisa Utumishi wa CCM makao makuu
1981-1983 - Katibu wa CCM Mkoa Tabora
1983-1986 - Mkufunzi wa Siasa katika Chuo cha uongozi wa Jeshi Monduli
1986-1988 - Katibu wa CCM Wilaya ya Nachingwea na baadaye Masasi
1988-1990 - Naibu Waziri wa Nishati na Madini
1990-1994 - Waziri wa Nishati, Madini na Maendeleo ya Maji
 
hapa data hazijakaa vizuri mkuu wa medani, malecela hakuwepo ktk baraza la kwanza la mawaziri la ally hassan mwinyi, mzee mwinyi alimpatia ukuu wa mkoa wa iringa mzee malecela baada ya kuukosa ubunge 1985, early 1988 mwinyi alimpatia ubalozi malecela kule uingereza na iringa tulipatiwa colonel tarimo kama area commissioner na mama chips akiwa katibu wa ccm mkoa na mkamba akiwa katibu wa ccm wa wilaya iringa vijini by then niko shuleni kama form one ktk shule mojawapo iringa.

Jk aliteuliwa kuwa mbunge na kufanywa naibu waziri maji,nishati madini (waziri alikuwa alnoor kassum nadhani sina hkika sana)na aliyekuwa rais wa awamu ii mzee mwinyi akisaidiwa na makamu wa kwanza wa rais na waziri mkuu wa jmt ndg joseph sinde warioba.

Ni masahihisho tu

kwanza shikamoo...data ziko poa mkuu safi kwa kutukumbusha historia,kwa sisi tuliokua watoto nimekupenda na shule je tosamaganga,mkwawa,ifunda tech la wajanja au malangali.
 
Hakuna cha mjeshi wala nini! Mjeshi gani alipelekewa wauza madawa ya kulevya awashughulikie akaufya mpaka kesho hapo utasema unamjeshi? hiyo PCCB bora ifutwe tu.ila kwasababu inatoa ajira kwa vijana basi ibaki kimtindo mpaka 2015 then iwe re structured
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom