Yegoo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2012
- 1,424
- 503
Habari/ wanajf, natumai muwazimaa!
Naitaji mawazo yenu kunusuru ndoa hii ya kaka yangu iliyodumu Miaka 13,shemeji yangu alifumaniwa wiki iliyoisha na akapewa kichapo na akakimbilia kwa Mama yake!!
Jana mida ya saa mbili kaka yangu kanitumia sms kuwa Asubuhi ya leo mkwe na mkewe wanakuja kwake ili kutatua hili tatizo.Kufika asubuhi mama mkwe naye kanipigia simu kuniomba niwepo maana hana Iman na kaka yangu kwani keshawatumia sms nyingi za vitisho.
Naitaji mawazo yenu kunusuru ndoa hii ya kaka yangu iliyodumu Miaka 13,shemeji yangu alifumaniwa wiki iliyoisha na akapewa kichapo na akakimbilia kwa Mama yake!!
Jana mida ya saa mbili kaka yangu kanitumia sms kuwa Asubuhi ya leo mkwe na mkewe wanakuja kwake ili kutatua hili tatizo.Kufika asubuhi mama mkwe naye kanipigia simu kuniomba niwepo maana hana Iman na kaka yangu kwani keshawatumia sms nyingi za vitisho.