C chit Member Dec 20, 2012 15 0 Jan 1, 2013 #1 Dada mwenye nia ya ndoa apige simu hii 0715660068 awe amcha mungu mchapa kazi thaks
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,786 Jan 1, 2013 #2 Hahaha. Na kweli, ndoa nayo biashara.
MKATA KIU JF-Expert Member Nov 22, 2010 2,861 6,233 Jan 1, 2013 #4 Mwaka ndo unaanza hivi.. Haya sasa wadada zali hilo la 2013
lara 1 JF-Expert Member Jun 10, 2012 15,700 29,111 Jan 1, 2013 #5 Tumsifu Yesu Kristu mpendwa katika bwana Chit!!!!!!!! wajameni sasa si useme wasifu wako kidogo ili tujishauri! Amani ya bwana iwe nawe siku ya leo!
Tumsifu Yesu Kristu mpendwa katika bwana Chit!!!!!!!! wajameni sasa si useme wasifu wako kidogo ili tujishauri! Amani ya bwana iwe nawe siku ya leo!
marejesho JF-Expert Member Jan 6, 2011 6,635 3,655 Jan 1, 2013 #7 vigezo na masharti kuzingatiwa.............
Tized JF-Expert Member Nov 1, 2012 4,025 5,955 Jan 1, 2013 #9 lara 1 said: Tumsifu Yesu Kristu mpendwa katika bwana Chit!!!!!!!! wajameni sasa si useme wasifu wako kidogo ili tujishauri! Amani ya bwana iwe nawe siku ya leo! Click to expand... Hahaaa, kwa ulivyoandika hii quote, Ameshatiki sifa ya kwanza.
lara 1 said: Tumsifu Yesu Kristu mpendwa katika bwana Chit!!!!!!!! wajameni sasa si useme wasifu wako kidogo ili tujishauri! Amani ya bwana iwe nawe siku ya leo! Click to expand... Hahaaa, kwa ulivyoandika hii quote, Ameshatiki sifa ya kwanza.
ELFU-ONEIR Senior Member Jun 27, 2012 181 64 Jan 1, 2013 #10 NYUU YIA HIO.............. HONGERA KWAKO GRETI SINKA aka mleta madamaana hayo ndo malengo yako ya 2013!!!!????!!
NYUU YIA HIO.............. HONGERA KWAKO GRETI SINKA aka mleta madamaana hayo ndo malengo yako ya 2013!!!!????!!