Superintendent kimura
JF-Expert Member
- Feb 24, 2023
- 262
- 1,007
katoto kazuri pole sana kwa yale yote unayopitia
Muelekeze na jinsi ya kujipendaPole sana sweetie
Love yourself,then others will love you, ongeza bidii kwenye kujipenda wewe kwanza, hao viumbe wasikutoe kwenye reli, ukimtilia maanani you will lose yourself within
observing her mental health,dress well, eat well,afanye mazoezi na kusaliMuelekeze na jinsi ya kujipenda
Hiyo ndoa bado ila haya mahusiano tu nikijua ana mchepuko amekwisha. Huwa inakuwaje mpaka mwanaume anafikia kiburi cha aina hiyo?
Anaongea tu hapa. Katika hivi dunia hakuna mwanaume wa peke ako. Wanawake tukubali tu kushare kwa staha.Amekwisha nani Sasa, mchepuko au mumeo? Na kwisha huko unamfanyaje au unamuua? Na kama kuwamaliza utawaliza karibia wote
Hili ndo hitaji la kwanza la kujipenda then hayo mengine ndo yafuate 👉 kusaliobserving her mental health,dress well, eat well,afanye mazoezi na kusali
Hata Dunia iumbwe upya HAKUNA MWANAUME RIJALI MWENYE MWANAMKE M,MOJA MAYBE KAMA HANA HELAJamani kwalioolewa ndoa zao zipoje?? Mnashea mabwana kama mie?? Unajisikiaje unamjua mchepuko wa mumeo na huna chakumfanya
Michepuko haijaanza leo wala jana.Ndoa za mabinti wa 2000's hivi.
Mh mbona mambo magumu huko ndani!Ndoa sisi ni ya kutuheshimisha tuu ila tusionekane wahuni ila wanawake hawaturizishi wao wanataka pesa na kelele tu, hapo ni nini utainjoy sasa wewe ni mbio tuu kuitafutia familia ata ausifiwi.
Upendo unapungua kwakweli akipatikana wa kukujali unajiegesha lakini moyo wako upo kuleee unapovurugwa yani hii taasisi ni mtihani kwa pande zote mbili
Hata akiwa hana hizo hela moto ni uleule🤣ALOOO, ACHA KABISA🙌
Bwana wako ana kipoozeo cha pembeni na haufahamu, siku ukifahamu ni kwamba ameona hakuna uzito tena wa kuendelea kula chakula kimya kimya.Hiyo ndoa bado ila haya mahusiano tu nikijua ana mchepuko amekwisha. Huwa inakuwaje mpaka mwanaume anafikia kiburi cha aina hiyo?
Acha tu nimechoka tokea 2019 nimeolewa hadi sasa na 6 years kwenye ndoa huyu mtu kabla ya ndoa yetu walikuwa pamoja hadi leo nilidhani wataachana kisa anamke sasa dah hakunaga kunamtu kanipa picha zao halafu we acha tu ni live nataka ni achane naye niwe single kwa muda nipate raha ya moyo wanguPole sana sweetie
Love yourself,then others will love you, ongeza bidii kwenye kujipenda wewe kwanza, hao viumbe wasikutoe kwenye reli, ukimtilia maanani you will lose yourself within
Mie mkubwa sana aisee sio 2000'sNdoa za mabinti wa 2000's hivi.
Umeolewa ?Pole sana sweetie
Love yourself,then others will love you, ongeza bidii kwenye kujipenda wewe kwanza, hao viumbe wasikutoe kwenye reli, ukimtilia maanani you will lose yourself within