Ndoa za wasomi

Umeolewa?
 
Nale, umeongea theoretically sana, in real sense mtu(hasa mwanamke) akisha kuwa ana devote 100% kwenye kazi hawez kuwa mama au mke kwa 100% sema wanaume huwa wana wavumilia tuu, ila women cant have it all.
 
Umeoa?
 
Wanaume wanaogopa wanawake wasomi kwasababu wanajielewa na hawafumbii macho unyanyasaji wa kijinsia na pia hawaendekezi mambo ya mfumo dume ambao umetawa jamii zetu.
Wanajua kwamba mwanamke msomi atahitaji kuajiriwa au kujiajiri hivyo atakua na uhuru wa kifedha na maringo juu... Wanaume wengine wanapenda kusujudiwa, wakunyanyase tu pale unapoomba hela ya matumizi nyumbani wakunyime kisa mlikwaruzana jana usiku.
Mwanaume anaeogopa mwanamke msomi ana lake jambo... Either ana mfumo dume au mwonevu au hajiamini kusimama katika nafasi yake kama mwanaume kwa kutishiwa na ufahamu na elimu ya mwanamke.
 
Reactions: BAK
ni kweli ila ndoa za wasomi ni shda zaid
asiye soma ana ka advantage kdogo
I like your comment na mimi nina uzoefu maana wangu ana PhD. Nadhani umenipata Nalendwa


Nimewaelewa wakuu. when it comes to "having it all" ni uamuzi kwa kweli but,...Yes We Can!
Inategemea na uwezo wa mtu na upangiliaji wa majukumu. Nimeona humu humu ndani wanawake ambao ni wake na wamama pia na walishuhudia jinsi wanavyofanya yote hayo, na wanaweza. So, inawezekana kama kutegemea na mazingira ya mtu.
 
Mbona munajiasses wenyew subirini muasesiwe!!!
 
exceptions huwa zinakuwepo, ila realy hard working women kwenye masiala ya kazi nyingine huwa wana end upa being bad mums

huwa nampenda mama mmoja ni mkurungenzii mtendaji wa Pepsi Co. USA
yule anajisemeaga ukweli kuwa she is a bad wife na bad mom, lakin ana shukuru familia yake ina mvumilia.
ila kwa kweli mimi sina huo uvumilivi kabsaa
 

Kati ya 100 wako 10.
 
uko sahihi sana . tusiwape kasoro waliosoma hapana wako wanawake hawajasoma ni matatizo kweli kweli , haya mambo ni tabia na malezi.
 
Me huwa najiuliza,ndoa za watu ambao hawajaenda vidato huwa ziko vipi?maana naona kama zimekaa kipori pori flani hivi.
Anza na ya baba ako nae mama ako.... Kama hawajasoma tupe mrejesho ndoa zao zikoje
 
Elimu huwa haina tatizo lolote katika ndoa ila tatizo lipo kwa wanandoa wenyewe tu...inamana ndoa haitodumu kwakua mkeo ni proffesor na wewe ni proffesor au una masters? Hii sio sawa tatizo ni wanandoa wenyewe na vichwa vyao kama nazi mbata
 
Inategemea mkuu, kikubwa ni mapenzi. Kuna watu hawana elimu sana lakini wana familia bora na zenye nguvu kuliko wenye elimu zao.
Tena wenye elimu ya kawaida ndio wengi wenye mafanikio Kwenye kila nyanja Kiuchumi wengi wao wako byee kiasi chake, Family zao ziko sawa hawayumbishwi na dunia. Lakini kusoma sana ni kuzuri endapo msomi huyo atapata kile alichokua anakitafuta wakati wa masomo yake, shida itakuja pale asipokipata alichokisotea hata maisha ya doa kwake huwa sio muhimu hivyo hata kama ataoa ama kuolewa bado amani ya moyo huwa hawana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…