'Ndoa' za Wanachuo hosteli 'bubu'

'Ndoa' za Wanachuo hosteli 'bubu'

Acha wazibuane tu, viboom vipo, mtaani hali ngumu kuoata aftatu ya kuhonga upige MBUPU si mchezo, inabidi uwe NTU wa dili NJOMBA
 
Wee jkt kwa mujibu wameenda mda gan? Akati hata mtihani wa 4m 6 hawajafanya.

Hawa si wanao enda kwa maombi yao binafsi. Ndo wakiokutwa na ngomaaa. Lol

Ni haohao wanaoenda kwa mujibu ila sio kwa mwaka mmoja hao 147 ni tangu mwaka 2019 mpaka mwaka huu idadi yao kwa ujumla ndio hiyo
 
Kumezuka utaratibu wa Wanachuo kuishi kinyumba katika hosteli 'bubu' hususan Msewe, Changanyikeni, Mabibo, Survey, Mlalakua, Makongo na Kigamboni.

Vijana badala ya kusoma wanawaza kudinyana**a.k.a **kuloweka Pamoja na madawa, pombe daily na kuchoropoa vichanga. Hapo usiulize UKIMWI au STD's maana Ni za kumwaga. Punde ARV hazitatosha huko hospitali. Pia itabidi ianzishwe WIZARA YA MAGONJWA NYEMELEZI ili kushughilikia wafiwa.

***Nina pharmacy Msewe Ni mwendo wa Pregnancy tests, P2 lakin Kondomu kwa mbaaaali.

NB: Graduate with A's not with AIDs
We umejuaje kama hawasomi?
 
Ila chuo kungekuwa na vikao vya wazazi au wazazi wangekuwa wanafanya safari za kushtukiza wangejionea mengi

Anyway ile ni shule ya watu wazima. Yaani Adults
 
Niliwahi kuishi Karibu na chuo Cha Uhasibu Arusha.... Mzazi usimuamini mtoto wako Wanachuo wengi wanaishi mume na mke pika pakua.... Sawa ndio wakati wa kutest viungo vya uzazi na hatuwezi kuzuia.... Ukwl mchungu ,mchungu wanabadilisha wanawake kupitia maelezo duhhhhhh
 
Back
Top Bottom