Ndoa za vijana wa kisasa

Ndoa za vijana wa kisasa

Na wanaume nao tasa siku hizi. Mbegu zote za krimu kasambaza kwa maex wake 20, unaolewa unaambulia mapovu tu. Mimba itatoka wapi na ubachela wa sinza, unakula chipsi yai unagonga mtaa mzima, na ofisi nzima, na mahausigelo na mabaa medi wa mtaa mzima?

Uzuri cream inazalishwa daily
 
Wamechoka au kabla ya kuoa huwapa girlfriends zao mimba na kuwalazimisha wazitoe. Kwahiyo wanapata uoga kwa kuwa they've been there already participating abortion. Mungu akisaidie hiki kizazi.
Daktari na nurse anataka hela , vijana nao wazinzi basi tabu tupu.

..maneni yako ni kweli tupu.. Pande zote ni za kupewa lawama!!!
 
Na wanaume nao tasa siku hizi. Mbegu zote za krimu kasambaza kwa maex wake 20, unaolewa unaambulia mapovu tu. Mimba itatoka wapi na ubachela wa sinza, unakula chipsi yai unagonga mtaa mzima, na ofisi nzima, na mahausigelo na mabaa medi wa mtaa mzima?

..wala sipingi, wote wanastahili lawama kwa tabia hii, lakini ujue hadi jogoo apewe utam lazma amkimbize kuku mita mia, lol...it's been so easy nowadays!!
 
Ni kweli kabisa vijana wengi sasa especially kwenye makanisa yetu wengi wanaoana wakiwa na mimba. Kinachonishangaza kanisa pia limeamua kuchukulia poa sijui imani hii inakwenda wapi?

Ulitaka imani ibaki WAPI?
 
Na wanaume nao tasa siku hizi. Mbegu zote za krimu kasambaza kwa maex wake 20, unaolewa unaambulia mapovu tu. Mimba itatoka wapi na ubachela wa sinza, unakula chipsi yai unagonga mtaa mzima, na ofisi nzima, na mahausigelo na mabaa medi wa mtaa mzima?

Mwe....
Siku hizi una maneno, yaani kama vile umemeza kifurushi cha Cheka Bombastic cha mwezi mzima....
 
hehehe, sasa mitetea imevaa high heels itakimbiaje? ukitembea hatua kubwa tatu umeubana mweeh
..wala sipingi, wote wanastahili lawama kwa tabia hii, lakini ujue hadi jogoo apewe utam lazma amkimbize kuku mita mia, lol...it's been so easy nowadays!!
 
tuulize sie wafugaji tukueleze. Ng'ombe aliezaa mara moja siku ya kwanza anakamuliwa maziwa yanaitwa colostrum, na hayafai kunywa anapewa ndama. baada ya siku tano hayafai kunywa chai for the next three days na yanagandishwa (kwetu tunaita dang'a, OLESAIDIMU saidia mama yeyoo). huo mtindi ni balaa, mtamuuu, mzitooo na hauuzwi, hata majirani unawapa bure. Baada ya siku saba maziwa yanakamuliwa kwa ajili ya chai. Sasa ng'ombe ambayo ilishazaa 10 times hiyo colostrum yake kwanza inatoka kama maji. na unapoanza kukamua maziwa mazito, krimu kama kawa, ila ukishakamua mnooo hayawi mazito.

haya paste hapo kwenye krimu yako uone goole translator itakupa nini:baby::baby:
Uzuri cream inazalishwa daily
 
Last edited by a moderator:
tuulize sie wafugaji tukueleze. Ng'ombe aliezaa mara moja siku ya kwanza anakamuliwa maziwa yanaitwa colostrum, na hayafai kunywa anapewa ndama. baada ya siku tano hayafai kunywa chai for the next three days na yanagandishwa (kwetu tunaita dang'a, OLESAIDIMU saidia mama yeyoo). huo mtindi ni balaa, mtamuuu, mzitooo na hauuzwi, hata majirani unawapa bure. Baada ya siku saba maziwa yanakamuliwa kwa ajili ya chai. Sasa ng'ombe ambayo ilishazaa 10 times hiyo colostrum yake kwanza inatoka kama maji. na unapoanza kukamua maziwa mazito, krimu kama kawa, ila ukishakamua mnooo hayawi mazito.

haya paste hapo kwenye krimu yako uone goole translator itakupa nini:baby::baby:
...habari ya dan'ga, lols.... kweli wee ni mamayeyoo!!
 
Last edited by a moderator:
sheeee!

Kitu tamu ile hahaha. yaani ndoo nzima unadumbukiza mpekecho tu, hainanga maji atii! unakula glass mbili meshiba tikiii! nacheua tu, yerroh subhvai!
...habari ya dan'ga, lols.... kweli wee ni mamayeyoo!!
 
Vijana wa sikuizi wanaanza "honey moon" kwanza ndo kanisani kufunga ndoa aka kamchezo kamezidi mpaka imetokea wadada 6 wanafunga ndoa church afu wote wana mimba. kwa lugha ya kisasa ukipata mimba ndo unaolewa yani 'PMU' Pata Mimba Uolewe,we mbanie mwenzako utakua ivyo ivyo na uchumba sugu wa miaka 10

ALHAMDULILAH, Uislam raha sana, hauruhusu ndoa kati kwa mwananmke aliye mjamzito mpaka ajifungue,
pia hauruhusu ndoa ya wazinifu yaani ikiwa vijana wawili wamezini na imethibitika basi hawaruhusiwi kuoana.

Lau hizi sheria nzuri alizotuwekea Mweneyezi Mungu M\mtukufu zingefuatwa dunia ingekuwa mahali salama sana pakuishi.
 
Ni kweli kabisa vijana wengi sasa especially kwenye makanisa yetu wengi wanaoana wakiwa na mimba. Kinachonishangaza kanisa pia limeamua kuchukulia poa sijui imani hii inakwenda wapi?

Sio kanisa kuwa poa,huwa wanarudishwa kundini siku chache kabla ya ndoa na hii inafuta madhambi yote waliyofanya ikiwamo kupeana mimba bila ndoa
 
umenigusa. unajua sie wanaadamu tunapenda kuhukumu. na hatuamini damu itakasayo inaosha dhambi zote. bible inasema kama mashariki na magharibi zilivyo mbali, ndivyo nitakavyoweka dhambi zako mbali nawe. sasa mtu anahukumu tumbo, wakati mwenzie alishatubu kitambo!

na wengine wanatubu na kurudishwa kundini mara baada ya mimba. unless wanaishi kinyumba ndipo inasubiri hadi siku chache kabla
Sio kanisa kuwa poa,huwa wanarudishwa kundini siku chache kabla ya ndoa na hii inafuta madhambi yote waliyofanya ikiwamo kupeana mimba bila ndoa
 
tuulize sie wafugaji tukueleze. Ng'ombe aliezaa mara moja siku ya kwanza anakamuliwa maziwa yanaitwa colostrum, na hayafai kunywa anapewa ndama. baada ya siku tano hayafai kunywa chai for the next three days na yanagandishwa (kwetu tunaita dang'a, OLESAIDIMU saidia mama yeyoo). huo mtindi ni balaa, mtamuuu, mzitooo na hauuzwi, hata majirani unawapa bure. Baada ya siku saba maziwa yanakamuliwa kwa ajili ya chai. Sasa ng'ombe ambayo ilishazaa 10 times hiyo colostrum yake kwanza inatoka kama maji. na unapoanza kukamua maziwa mazito, krimu kama kawa, ila ukishakamua mnooo hayawi mazito.

haya paste hapo kwenye krimu yako uone goole translator itakupa nini:baby::baby:

sawa mtaalam
 
Last edited by a moderator:
ALHAMDULILAH, Uislam raha sana, hauruhusu ndoa kati kwa mwananmke aliye mjamzito mpaka ajifungue,
pia hauruhusu ndoa ya wazinifu yaani ikiwa vijana wawili wamezini na imethibitika basi hawaruhusiwi kuoana.

Lau hizi sheria nzuri alizotuwekea Mweneyezi Mungu M\mtukufu zingefuatwa dunia ingekuwa mahali salama sana pakuishi.
Ningeshangaa nisingeona comment kama hii.
 
It has been a challenge to me with my boyfriend he needs a kid before marriage...
 
Mhhh napata stress nikiwaza wat if hyo mimba niipate na asioe,loh ntakuwa mgeni wa nani,u-single mom siutaki
 
Back
Top Bottom