Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
hahahah!shemeji waeleze hao.hivi hawa ni wanawake wa wapi wasiojua na hili?
Sijui akifua kufuli ya mzee anaona amepungukiwa na nini? Sijajua wanatokea pande gani za Tanzania wasiko fua kufuli za waume zao bila shaka wakimbizi wa Congo hawa.