Ndoa za siku hizi

Ndoa za siku hizi

hapo sasa,maharusi wengine wanakuwa na watoto kabisa.... siku hizi hakuna kufunga ndoa ni kuzibariki tu!!!!
Huu ndio ukweli! asilimia 80% za hufungwa wakati mimba ina miezi zaidi ya mitatu, 18% wakati wana watoto tayari na 2% wakati wamekaa pamoja kama mume na mke kwa zaidi ya miaka mitatu. Kwa takwimu hizi 0% ndio ndoa sahihi, sasa kuna haja gani ya kwenda kanisani! Mbaya zaidi hata harnmoon hakunaga kabisaa!

Ni kusubiri muda wa vibweka ukumbini!
 
Huu ndio ukweli! asilimia 80% za hufungwa wakati mimba ina miezi zaidi ya mitatu, 18% wakati wana watoto tayari na 2% wakati wamekaa pamoja kama mume na mke kwa zaidi ya miaka mitatu. Kwa takwimu hizi 0% ndio ndoa sahihi, sasa kuna haja gani ya kwenda kanisani! Mbaya zaidi hata harnmoon hakunaga kabisaa!

Ni kusubiri muda wa vibweka ukumbini!

sijui kama kwenye kicheni pati kuna vitu vipya kwao teh!!!
 
Kwangu haitotokea.
Mimi nimejiwekea principle kuwa kama ninafahamu fika at least binti hana mimba basi kanisani nitafika (maana ushahidi wa kutogegedana sina..ila mimba ntajua tu).
Ila hawa siku hizi watoto watatu mnao bado mnanichangisha mchango wa harusi alafu niende kanisani kufanya nini!!!😕

kupasha kiporo boss Mentor
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom