Mtalingolo
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 2,181
- 409
Wanajamvi naombeni kufahamishwa katika hili, je hizi ndoa ni rasmi(zinafanana na zile zawaislamu wake wa4)?? Au ni zipoje??
Ni kweli zilikuwepo katika jamii yetu tangu miaka ya nyuma, lakini je vp mapokeo yake? Zinakubalika au kupingwa??
Nini faida zake kwa Muhusika/wahusika na jamii kwa ujumla na nini madhara yake pia??
Namnukuu rafikiyangu mmoja wakati niko O-level niliwah kumuuliza akanambia
"Ndoa zamitala zinafaida nyingi 1. Mwanaume anapata radha tofauti, 2. Ni kitega uchumi kama ana ardhi yakutosha eti wamama watalima na yeye atakusanya mazao tu, na"
Maoni yako tafadhali katika hili...
Nawasilisha..
Ni kweli zilikuwepo katika jamii yetu tangu miaka ya nyuma, lakini je vp mapokeo yake? Zinakubalika au kupingwa??
Nini faida zake kwa Muhusika/wahusika na jamii kwa ujumla na nini madhara yake pia??
Namnukuu rafikiyangu mmoja wakati niko O-level niliwah kumuuliza akanambia
"Ndoa zamitala zinafaida nyingi 1. Mwanaume anapata radha tofauti, 2. Ni kitega uchumi kama ana ardhi yakutosha eti wamama watalima na yeye atakusanya mazao tu, na"
Maoni yako tafadhali katika hili...
Nawasilisha..