Ndoa za kiduanzi kama hizi bado zipo?

Ndoa za kiduanzi kama hizi bado zipo?

haya mambo yapo mfano juzi kati tuu hapa wazazi wa dem wangu walikua wanashinikiza aolewe na jamaa fulani kisa wazee wao wanaujamaa wa muda mrefu kwamba akikataa ule ujamaa wanahofia utakuafa wtf
 
Inasikitisha ila babu hapa lazima agongewe huyo dada hawezi kosa boyfriend babu ngumu kusimamia ukucha
 
Yan inanikumbusha babu yenu, nlipokuwa binti
Nlishtukia nmepigwa gwara, chini ghafla nmebebwa,
Babu kanfikisha kwake kwa bed,
Asee nlikuwa cjui lolote[emoji23] [emoji23]
ata[emoji533] dyudyu ilivoingia kwa bb ckuelewa...
Kesho yke vigelegele na shereh et nimeolewa [emoji23] [emoji23] ndoa iz jaman

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kimahesabu Mzee anamiaka kama 5-10 yakuishi..tuchukulie umri wa miaka 75 ,, hapo Mashine haijaacha kazi, napengine hapo inafanya kwankusua sua


Alafu tuassume km binti ana miaka 22+10=32....... Bado analipa kabisa na ataolewa tena ..

NB... wote wawe na Afya na tuondoe mambo ya ajali ajali

Hata Jack kwa Mengi alifata Welfare !! Unaambiwa Pesa zinakufanya Uonekane kijana/HB !!
Mzee lazima atumie Viagra

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasemekana huyu mrembo ameozeshwa kwa nguvu kwa hicho kibabu..
Kisa? Kibabu kilikuwa kinamdai baba wa mrembo huyo mkwanja mrefu ambao alishindwa kuulipa SULUHISHO likawa eidha hiyo kibabu kipewe ardhi ya familia au kipewe mke..Baba wa binti akaona isiwe tabu..akamtoa binti yake..
Hawa sio watanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Navuta picha tu ya huyo babu masikini mdada wa watu
 
Navuta picha tu ya huyo babu masikini mdada wa watu
Usimdharau babu aisee. Cha kuogopa hapo ni kifo tu.

Lakini in case of mashine hawa wazee wana mizigo balaa kuliko sisi vijana.
Nina hakika ya hili niandikalo.
Kuna muda unakutana na babu miaka 70 kakamatwa ugoni na kupigwa na vijana.

Ukiona mashine yake unajua kwa nini binti alimfuata babu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mbona hupendi maendeleo ya babu yetu? utajiskiaje umefikisha umri kama huo afu mjukuu wako akunange km ivoo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom