LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 19,899
- 37,696
Inasemekana huyu mrembo ameozeshwa kwa nguvu kwa hicho kibabu.
Kisa?
Kibabu kilikuwa kinamdai baba wa mrembo huyo mkwanja mrefu ambao alishindwa kuulipa SULUHISHO likawa eidha hiyo kibabu kipewe ardhi ya familia au kipewe mke..Baba wa binti akaona isiwe tabu, akamtoa binti yake.
Kisa?
Kibabu kilikuwa kinamdai baba wa mrembo huyo mkwanja mrefu ambao alishindwa kuulipa SULUHISHO likawa eidha hiyo kibabu kipewe ardhi ya familia au kipewe mke..Baba wa binti akaona isiwe tabu, akamtoa binti yake.