I hate you from now onwards.
Heeey........I hate you from now onwards.
Heeey........
halafu watu wenginne humu sijui wakoje mi nimetoa wazo langu tu maana nakutana nao sana hata sehemu ya kazi ninayofanya wanakujaga sana hao watu, haimaanishi na mimi ni mmoja wao nina mume jamani bila yeye sina raha. so msininunie, mpenzi wangu kiwatengu niombee radhi shemeji Erickb52 kanuna.
ila nimefurahi kupata mawazo yenu kwa tanzania wameumia waendelee kujificha tu
Naungana nawe kaka mkubwa...mtu mwenye hofu ya Mungu hawezi kuwa na mawazo kama haya nasema hawezi!!!
Kuna wakati nilibishana sana na Moderator kuwa threads za namna hii wameziachia sana na mwisho wa siku zinachafua hadhi ya JF...