mkuu ndoa ya kiserikali inaruhusu talaka(huvunjwa na mahakama), kwa hiyo kama unahitaji kuoa na kuacha basi funga ndoa kiserikali itakua rahisi kidogo kutimiza hiyo azma...
Mbona ndoa ya mkataba ipo tu na inatumika kwa watu wanaotaka,mkataba ni kati yenu wanandoa hivyo kama mnataka kufunga ndoa mnafanya mkataba wenu kabla ya kuoana na mara nyingi ndoa hizi ni zile wanazofunga watu serikalini.
Nisingesema kama sina uhakika,kama unataka kuwa na ndoa hiyo sema nikusaidie kuipata.Mh!Una uhakika?
Kuna tofauti kubwa kati ya ndoa hi na ndoa ninayoizungumzia mimi.
Ndoa ya mkataba haiitaji kwenda mahakamani ili ivunjwe,inajivunja yenyewe muda ukifika.Pia unakua unajua tangu mwanzo tarehe fulani nitakua huru,sio ghafla!
kuna mtu namvizia humu jf, ndio nataka tuanze rasmi kucheat! my 'secret admirer wangu' lolest! sina maana hiyo Eiyer, ila ni dhambi na kuendekeza zinaa, tujaribu kuzishinda tamaa za mwili, la sivyo ipo siku vitaombwa vibali vya kuingiza ndoa kati ta binadamu na punda kwenye katiba!cacico hujawahi kucheat?
watu tunapenda kufanya yale yote yaliyo mabaya yahalalishwe!! ni tamaa tu za kishetani, ila tusiziruhusu zikatawala hivi!! mwisho watu watataka ndoa na di..l..do kwenye katiba! lolest!nimekuelewa sana azma yako mkuu na namna ya ndoa unayomaanisha.
Binafsi hii siwezi kuiita ni ndoa bali ni aina fulani ya ufuska hivi. Ninasema hivi kwa sababu ndoa ni agano la umilele, hakuna namna ukaunganisha nafsi mbili kwa kuwa tu tamaa ya kimwili au maslahi fulani yamewekwa mbele...
Kumbuka serikali kupitia sheria ya ndoa iliyopo katika katiba pia inampa nafasi Mungu na ndio maana wanaofunga ndoa bomani hula viapo kwa kushika vitabu vya Kiungu...
Mwenye shida anipmSema hapa hadharani ili wale wanaotaka uwasaidie.
Najua hawawezi kusema ila wasaidie ili waweze kuanza mchakato!