Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,702
Sijui au niseme sikumbuki kama jambo hili limewahi kujadiliwa hapa kwa mtazamo huu,kama tayari mnaweza kupotezea,kama bado tujaribu kuona kama lina manufaa kwetu
Nimepata wazo kuwa,katika mchakato wa kutafuta maoni ya katiba mpya mnaonaje kukawepo kipengele cha ndoa ya mkataba?(au kipo?Maana wengine hata katiba hatuijui achilia mbali kilichomo) . .Lol!
Nimewaza hilo kwa kuwa,kwa mtazamo wangu inaonekana hii mambo ya mpaka kifo kitutenganishe imewachosha wengi.
Ukitaka kuona ukweli huu angalia namna watu wanavyocheat si wanaume si wanawake ni vurugu mtindo mmoja.
Hata ndoa za mke zaidi ya mmoja nazo zimeshindwa kuondoa tatizo hili,huu ni ukweli.
Unakuta mtu ana wake wanne lakini ana nyumba ndogo 3!!!!
Hili ni tatizo.
Nawasilisha maoni,kuwepo na ndoa za mikataba,mnaoana kwa miezi mitatu,mnatafunana weeee,siku 90 zikiisha kila mtu na hamsini zake.Unang'oa kitu kipya au kama mzuka bado upo baina yenu,mnaenda ku-renew mkataba.
Nadhani hii itawapa fursa watu kubadili wenza mara nyingi watakavyo au vipi jamani?
Najua mnaweza kufikiri kuhusu dini na kudhani nimekuwa mpagani,lakini kabla hujanihukumu,fikiri kuwa wakati unamcheat mkeo/mumeo unakua unafanya hivyo kwa mujibu wa dini gani?
Sihalalishi kile dini inachoita dhambi bali wale wanaokubaliana na hii makitu wafanye kwa uhuru na uwazi!
Nimepata wazo kuwa,katika mchakato wa kutafuta maoni ya katiba mpya mnaonaje kukawepo kipengele cha ndoa ya mkataba?(au kipo?Maana wengine hata katiba hatuijui achilia mbali kilichomo) . .Lol!
Nimewaza hilo kwa kuwa,kwa mtazamo wangu inaonekana hii mambo ya mpaka kifo kitutenganishe imewachosha wengi.
Ukitaka kuona ukweli huu angalia namna watu wanavyocheat si wanaume si wanawake ni vurugu mtindo mmoja.
Hata ndoa za mke zaidi ya mmoja nazo zimeshindwa kuondoa tatizo hili,huu ni ukweli.
Unakuta mtu ana wake wanne lakini ana nyumba ndogo 3!!!!
Hili ni tatizo.
Nawasilisha maoni,kuwepo na ndoa za mikataba,mnaoana kwa miezi mitatu,mnatafunana weeee,siku 90 zikiisha kila mtu na hamsini zake.Unang'oa kitu kipya au kama mzuka bado upo baina yenu,mnaenda ku-renew mkataba.
Nadhani hii itawapa fursa watu kubadili wenza mara nyingi watakavyo au vipi jamani?
Najua mnaweza kufikiri kuhusu dini na kudhani nimekuwa mpagani,lakini kabla hujanihukumu,fikiri kuwa wakati unamcheat mkeo/mumeo unakua unafanya hivyo kwa mujibu wa dini gani?
Sihalalishi kile dini inachoita dhambi bali wale wanaokubaliana na hii makitu wafanye kwa uhuru na uwazi!