Mkuu wanawake wakinyakyusa wnaupendo na uvumilivu sana,na wasiwasi na huyu atu atakuwa mchanganyikoWanyakyusa mkuje mkuje hapa nahitaji kujua maana ya hili jina ATUGANILE in English or Swahili hebu mkuje bajameni nina hasira na mademu wa kyela
Nimeelewaakitaka mwenyewe vumilia haditho siku nne hazipiti napost bana
Mkuu acha kuwatete hawa wachawi wa kyela, kuna best wangu alifanywa mbaya na mdada wa kyela mpaka akawa chizi wa kulala stand ya bus akamwachia nyumba yote bidada wa kyela!!Mkuu wanawake wakinyakyusa wnaupendo na uvumilivu sana,na wasiwasi na huyu atu atakuwa mchanganyiko
Kwahiyo mkuu unanishauri nimuache mlimbwende wangu??Mkuu acha kuwatete hawa wachawi wa kyela, kuna best wangu alifanywa mbaya na mdada wa kyela mpaka akawa chizi wa kulala stand ya bus akamwachia nyumba yote bidada wa kyela!!
Hahahaaa chezea wadada wa kinyakyu uchizike