Mama paradigm
JF-Expert Member
- Apr 17, 2010
- 321
- 578
- Thread starter
- #21
pole mie ushauri langu lianzishe
kama mumeo yuko kimya,wewe initiate mambo naye atarudisha favour....
kuna mahali nahisi ulimuumiza hisia zake kwa kuropoka au kitu kingine kimemfanya ajidistant himself,jichunguze na usirudie....otherwise vunja ukimya kwa hisani ya watu wa marekani lol
hahaha, sikumbuki kumuu miza, labda nivunje zaidi ukimya na kumuuliza zaidi...