ndege joni
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 673
- 1,082
Habari za muda huu wanajamvi.
Mimi nina mke na watoto wawili saiv, nina umri wa miaka 35 na mke wangu ana umri wa miaka 30 kwa sasa.
Mwaka jana nilipata scolarship ya kwenda nje ya nchi (ulaya) kimasomo kwa muda wa miaka 2. Wakati nipo chuo nimejikuta nimeanza mahusiano na binti wa miaka 25 wa nchi jirani na tz na imetokea tumekuwa marafiki sana, na wengi wanachuo wanadhani tumetoka nchi moja na tunajuana siku nyingi na mahusiano yetu kwa jinsi yalivyo wanahisi tumetoka nayo Tz.
Hivi karibuni nilipata dharura ya kuja nyumbani nikaonana na mke na wanangu. Nilipofika familia yangu walifurahi sana kuniona, pia mke wangu alionesha kunikumbuka sana. Kilichotokea wakati wa kulala nilipojaribu kufanya mapenzi na mke wangu nilishindwa. Nikasingizia afya yangu haiko sawa. Ila kadiri siku zinaenda sikuweza chochote mpaka muda wa kuondoka umefika ila hali iko vile vile. Cha ajabu nikiwa nachat na yule binti akinitumia picha zake za nusu uchi nadindisha vizuri tu.
Sasa najiuliza tatizo liko wapi? Mke wangu analaumu sina hamu kwa sababu nimepata wazungu, mara anataka ndoa ivunjike n.k. Nisaidieni ushauri ndugu zangu.
N.B Msinilaumu kwa kuchepuka kwa sababu wanaume wengi tunachepuka hata tukiwa na wenza wetu karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nina mke na watoto wawili saiv, nina umri wa miaka 35 na mke wangu ana umri wa miaka 30 kwa sasa.
Mwaka jana nilipata scolarship ya kwenda nje ya nchi (ulaya) kimasomo kwa muda wa miaka 2. Wakati nipo chuo nimejikuta nimeanza mahusiano na binti wa miaka 25 wa nchi jirani na tz na imetokea tumekuwa marafiki sana, na wengi wanachuo wanadhani tumetoka nchi moja na tunajuana siku nyingi na mahusiano yetu kwa jinsi yalivyo wanahisi tumetoka nayo Tz.
Hivi karibuni nilipata dharura ya kuja nyumbani nikaonana na mke na wanangu. Nilipofika familia yangu walifurahi sana kuniona, pia mke wangu alionesha kunikumbuka sana. Kilichotokea wakati wa kulala nilipojaribu kufanya mapenzi na mke wangu nilishindwa. Nikasingizia afya yangu haiko sawa. Ila kadiri siku zinaenda sikuweza chochote mpaka muda wa kuondoka umefika ila hali iko vile vile. Cha ajabu nikiwa nachat na yule binti akinitumia picha zake za nusu uchi nadindisha vizuri tu.
Sasa najiuliza tatizo liko wapi? Mke wangu analaumu sina hamu kwa sababu nimepata wazungu, mara anataka ndoa ivunjike n.k. Nisaidieni ushauri ndugu zangu.
N.B Msinilaumu kwa kuchepuka kwa sababu wanaume wengi tunachepuka hata tukiwa na wenza wetu karibu
Sent using Jamii Forums mobile app