Grand Master Dulla
JF-Expert Member
- Jul 20, 2012
- 411
- 152
Ni hivi hao madada sio wajinga ni wajanja sababu wao ni wamachame na wanawake wa kimachame wanajulikana sana kwa mchezo wao wa kuua waume zao wanapofanikiwa,hivyo wanajihadhari mapemaa wakijua kuwa na wewe unaweza ukamfanyia hivyo hvyo kaka yao halafu mtoto watoto hao wakarithi mali zake na mama yao.
ki ukweli hii mila ya kuua waume zao pindi watoto wakiume wakishazaliwa ndio naisikia leo kuwa ipo pia kwa wapare,ila wadau kama mtakubaliana na mimi siku zote lisemwalo lipo inawezekana ikawa ni mila yao ya ndani kwa ndani huko iliyfichwa wanayoijua wao/best preserved secret,mana wapare ni almost kabila moja na Wasambaa na wazigua na hawa pia wanamtindo wa wanawake wao kuwaua au kuwatengeneza waume zao.Sasa inawezekana kabisa kwamba hii mila iko huko kwa wapare labda haswa pale wanapoolewa na makabila tofauti labda huwa wanaitumia sana na hao dada zake mme wako wanaijua hii na ndio maana wanajihadhari mapema mana hawajui yaliymo moyoni mwako.Au inawezekana ikawa ni mila iliyokufa ya zamani ya wapare/dead custom ambayo nayo pia wanaijua mana mkae mkijua siku zote mchawi anamjua mchawi mwenzake na mwizi anamjua mwizi mwenzake siku zote,mana kama mtu ni muuaji basi utawaambia hata watoto wako fulani na fulani pia wanatabia ya kiuaji au ukoo fulani ni wa kiuaji ili wawe na tahadhari mapema
ki ukweli hii mila ya kuua waume zao pindi watoto wakiume wakishazaliwa ndio naisikia leo kuwa ipo pia kwa wapare,ila wadau kama mtakubaliana na mimi siku zote lisemwalo lipo inawezekana ikawa ni mila yao ya ndani kwa ndani huko iliyfichwa wanayoijua wao/best preserved secret,mana wapare ni almost kabila moja na Wasambaa na wazigua na hawa pia wanamtindo wa wanawake wao kuwaua au kuwatengeneza waume zao.Sasa inawezekana kabisa kwamba hii mila iko huko kwa wapare labda haswa pale wanapoolewa na makabila tofauti labda huwa wanaitumia sana na hao dada zake mme wako wanaijua hii na ndio maana wanajihadhari mapema mana hawajui yaliymo moyoni mwako.Au inawezekana ikawa ni mila iliyokufa ya zamani ya wapare/dead custom ambayo nayo pia wanaijua mana mkae mkijua siku zote mchawi anamjua mchawi mwenzake na mwizi anamjua mwizi mwenzake siku zote,mana kama mtu ni muuaji basi utawaambia hata watoto wako fulani na fulani pia wanatabia ya kiuaji au ukoo fulani ni wa kiuaji ili wawe na tahadhari mapema