Amanda Lynn
Member
- May 18, 2015
- 77
- 54
Akili mufilisi, na utapata magonjwa bila kijua.
Kwahiyo sisi tumeumbwa kuwa na wanaume wangapi? mbona mnajifikiria nyie peke yenu, huo ni ubinafsi. Achepuke tu ila siku nikijua ndo basi tena.
Sio kwamba ndio namruhusu, siwezi kumruhusi mtu wangu achepuke. Nikiona mtu simuelewi nitamueleza asiponielewa basi
Nyie mmeumbwa kuwa na mmoja tu, Sasa si bora umruhusu aongeze mwingine tu, wewe unaongoja hadi ujue? Haya!, omba tu asikuletee ugonjwa, sisi wanaume hatutosheki na mmoja, labda uwe mgonjwa.
''Basi'' kwa maana unamuachaaa au unaendelea nae hivyo hivyo akiwa na mchepuko?
Mbona kuoa wake wengi hata kama wewe ni mkristo inawezekana kaka.
Cha kufanya kama unaweza kumconvice mtarajiwa wako pale katika cheti cha ndoa wanauliza type of marriage,so wewe mconvince ama mkomalie afu tieni Tick kwenye #polygamous ama kwenye #potentiallypoligamous .
Baadae utakua unaenjoy kila ukitaka kuongeza mke,koz mkataba wa ndoa utakua unaruhusu.
Sio kwamba ndio namruhusu, siwezi kumruhusi mtu wangu achepuke. Nikiona mtu simuelewi nitamueleza asiponielewa basi
Y on earth would you want a piece of paper to make it legal for you to exercise the male (in your perspective) polygamous nature?
We chukua wasichana waambie uko na wenzao kama watataka weka ndani ishi. That is a concrete decision! Serikali haitokuja kuwa toa hapo kama wamependa kuishi hivyo.
wewe kama hutosheki na mmoja sio wote. Wapo wanaume wanatosheka na mmoja ingawa ni adimu ila wapo. Labda nikuulize, nisipotesheka na wewe mfano unaniruhusu nitafute mwigine au mimi ndo natakiwa nivumilie sio wewe
Nyie mmeumbwa kuwa na mmoja tu, Sasa si bora umruhusu aongeze mwingine tu, wewe unaongoja hadi ujue? Haya!, omba tu asikuletee ugonjwa, sisi wanaume hatutosheki na mmoja, labda uwe mgonjwa.
Akishakuwa namchepuko mimi wa nini huyo, ina maana ndio tabia yake hawezi kubadilika. Hata huyo mchepuko wake bado atakuwa anamcheat.
sasa utawakimbia wanaume wangapi, wanaume wote walio kamili wako hivyo? si bora umruhusu aoe mwingine tu.?
Kama mwanaume yupo kamili lazima utosheke tu, kama mgonjwa ni kweli unaweza usitosheke,. Lakini ''ke'' ana subira sana, na hana matamanio ya haraka kama ''me' ndivyo mlivyoumbwa otherwise uwe na pepo la ngono. Hivyo, chakufanya ni kujitahidi kumtibu mwenza wako ili arudi kwenye hali ya kawaida ili uridhike, kama itashindikana kabisa na wewe umeshindwa kuvumilia hali hiyo unaruhusiwa kwenda kuolewa kwingine ila sio uwe mchepuko.
Chief kanisa gani hilo, ndoa ya kikristo huwezi kufunga nyingine mpaka ya kwanza iwe imeisha kwa sababu zozote na pia kuwe na talaka
Aoe ili iweje, kwani huyo anaetaka kumuoa ana nini ambacho mimi sina, na kama nina mapungufu anaiambie nijirekebishe
Aoe ili iweje, kwani huyo anaetaka kumuoa ana nini ambacho mimi sina, na kama nina mapungufu anaiambie nijirekebishe