Ndoa ya wake wengi

Ndoa ya wake wengi

Jack Daniel's

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2015
Posts
1,008
Reaction score
840
Hivi kwanini isiruhusiwe tu na serikali ya TZ, namaanisha watoe na vyeti kadhaa vya ndoa sio moja tu, tatizo hasa liko wapi?. Waislamu kila siku wanajipendelea.

Wakistro tunajibana na mke mmoja wakati michepuko tunaendekeza, huku watu mfano Mfalme Sulemani alikuwa ameoa wanawake zaidi ya 700 kama sio 1000. Watu kama Mfalme Mswati III hawamfikii hata robo Mfalme Sulemani.

Wanaume are 'polygamous' by nature hiyo hata science inathibitisha. Historia inaonyesha wanaume walikuwa wanaoa wake wengi na wanawake wala hawakuwa na tatizo na wengi wao wala hawana tatizo na hilo.
 
Hivi kwanini isiruhusiwe tu na serikali ya TZ, namaanisha watoe na vyeti kadhaa vya ndoa sio moja tu, tatizo hasa liko wapi?. Waislamu kila siku wanajipendelea, wakistro tunajibana na mke mmoja wakati michepuko tunaendekeza huku watu mfano Mfalme Sulemani alikuwa ameoa totoz ya 700 kama sio 1000.

Watu mfano Mfalme Mswati III hawamfikii hata robo Mfalme Sulemani.

Wanaume are 'polygamous' by nature hiyo hata science inathibitisha. Historia inaonyesha wanaume walikuwa wanaoa wake wengi na wanawake wala hawakuwa na tatizo na hilo na wengi wao hata siku hizi hawana tatizo na hilo. Kuna advantages nyingi kuliko disadvantages.
 
Y on earth would you want a piece of paper to make it legal for you to exercise the male (in your perspective) polygamous nature?

We chukua wasichana waambie uko na wenzao kama watataka weka ndani ishi. That is a concrete decision! Serikali haitokuja kuwa toa hapo kama wamependa kuishi hivyo.
 
Me I know myself, siwezi kushare

Kwanza jina tu linaonyesha we ni mwisilam pure. haikwepeki mama. bora kipi mme wako achepuke au awe na wake wengi na asichepuke? napenda wake wengi ila uwezo tu unabana, nataka nihamie bush ili wakalime vizuri asiependa safari njema
 
Hakuna aliyekukataza oa hata 1000 iila ujue wanawake wa sasa si wa zamani ndugu kuwaridhisha kimwili , kipesa na kiroho unahitaji nguvu ya ziada la sivyo na wewe ujiandae kuhalalisha polyandry.
 
Kwanza jina tu linaonyesha we ni mwisilam pure. haikwepeki mama. bora kipi mme wako achepuke au awe na wake wengi na asichepuke? napenda wake wengi ila uwezo tu unabana, nataka nihamie bush ili wakalime vizuri asiependa safari njema

Bora achepuke bila mimi kujua kuliko kuoa mwingine
 
Jack Daniel's

Mbona kuoa wake wengi hata kama wewe ni mkristo inawezekana kaka.
Cha kufanya kama unaweza kumconvice mtarajiwa wako pale katika cheti cha ndoa wanauliza type of marriage,so wewe mconvince ama mkomalie afu tieni Tick kwenye #polygamous ama kwenye #potentiallypoligamous .
Baadae utakua unaenjoy kila ukitaka kuongeza mke,koz mkataba wa ndoa utakua unaruhusu.
 
Last edited by a moderator:
Kwa akili yako, Huyo bwana/mume/mchepuko wako uliokuwa nae achepuki? sisi wanaume hatujaumbwa kuwa na mwanamke mmoja hata uwe mzuri vipi. Kama dini yako hairuhusu ujue tu huyo mtu wako lazima achepuke tu.

Kwahiyo sisi tumeumbwa kuwa na wanaume wangapi? mbona mnajifikiria nyie peke yenu, huo ni ubinafsi. Achepuke tu ila siku nikijua ndo basi tena.
 
Back
Top Bottom