toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 5,840
- 10,268
Jamani!
Sasa mke ni yupi kati ya hao wawili?
ndio nlitaka kuuliza hivyo hivyo
Jamani!
Sasa mke ni yupi kati ya hao wawili?
Wana roho nzuri mno.Halafu nilishagundua mashoga wengi wanapendwa sana na wanawake, sijui kwanini ?
Wee vipi hutaki kuolewa? mbna umehamaki? Unataka kuchezewa na kusepa eti eeeeh?Na ww unataka kuolewa makubwaaa !
Hakika kabisaaah.Wana roho nzuri mno.
Very kind.
Very understanding.
Very sisterly
Ni watu they will have your back ije mvua ije jua.
Wanawake wanahitaji marafiki wa aina hii kwenye maisha yao
Gays has it all.
Wewe me au ke?mbona km wee ndo unateseka? Huyo uliyemuuliza kuhusu mie, anateseka San utadhan tunashare bwana m1 au nimemuibia bwana wake. Hahahah
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Wanawake wanawapenda kwa vile wanawaweka vidole katika tigonyeupeHalafu nilishagundua mashoga wengi wanapendwa sana na wanawake, sijui kwanini ?
Sasa nimeamini unagidwa na wanaume wewe si bure
Halafu nilishagundua mashoga wengi wanapendwa sana na wanawake, sijui kwanini ?
Mi nilijuaga wakiwa sex wananyanduana kwa zamHapo mbn anaeleweka Tu..ni huyo mwenye bleach
Rio pia namwangaliaga nasema inhii..wanakuwaga na vitu vya ziada aiseHiii sijui ukoje aiseeeh.
Gays are multi talented.
Yaaaaaani yaaani unamkumbuka Paco Decor?
Dah!
Basi tu ile fags ni noma wen it comes to talents.
Yes.Rio pia namwangaliaga nasema inhii..wanakuwaga na vitu vya ziada aise
Mimi sijui hata
Asee..si nasikia shoga hadindiWote wanakulana zamu kwa zamu.
Itategemea Jogoo kawika upande gani.
Dogo dullvan Nina uhakika wanampumulia saiviDunia imebadilika sana. Ingawa haya mambo yapo tangu zamani ila sasa hivi yako wazi wazi.
Just imagine, Nini kiliwafanya waongozaji wa tamthilia kumweka Dullvani acheze kama mwanamke wakati wanawake wapo ?
Na hapo hatujui kama anacheza kama mwanamke au kama shoga ?
Ila ujue jamaa hapo ana hoja ya msingi kabisa. Kwamba kama wakifunga ndoa watu wa jinsia moja haitakiwi kuitana mume na mke.Acha kukurupuka
Kwa akili yako ndogo unadhani kati ya hao wawili hakuna anayetambulika kama mke?
Yaaani unatarajia wanaitana mume mume?
Uwe unasoma basi hata mada yenyewe,usikurupuke kukosoa ujinga
Ila ujue jamaa hapo ana hoja ya msingi kabisa. Kwamba kama wakifunga ndoa watu wa jinsia moja haitakiwi kuitana mume na mke.
Ni aidha mume na mume yaani wote wanaume au kama ni ya wanawake ni mke na mke.
Kwasababu kama walitaka kutafuta mke in the first place wangefukuzia mwanamke na kwa wanawake kama alitaka mume in the first place angetafuta mwanaume.
Ila hawa jamaa kimsingi ni tatizo la kiakili, sababu sijawahi kuona illogical and senseless argument kama ya kutetea ndoa ya jinsia moja. Ni completely clinical madness. Hawa jamaa alikuwa anawawezea Adolf Hitler tu, yule dictator wa Ujerumani. Alikuwa ana deal nao kibabe sana.