Ndoa ya mama PHD na baba standard seven

Kama demu ana sura mbaya na katumika tumika sana itasaidia kuleta some sort of balance kwani kwa vyovyote vile na yeye atakuwa amepigika katika kutafuta husband so she wont let him go

Kulaleki hapa umecomment pamoja na mimi aise ungechelewa ningeshakuwahi.KAMA MWANAMAMA ANA USO KAMA UKOKO WA MAKANDE PHD YAKE LAMIMA ATAIWEKA PEMBENI.YAANI INAKUWA SARE SARE SIKU HUYU AKIROPOKA NIMEOANA NA WEWE KWA KUKUONEA HURUMA NA HAKO KA ELIMU KAKO KA LA 7 MWANAUME NAE ANAWEZA PAZA SAUTI MI MWENYEWE NIMEKUOA KWA KUKUONEA HURUMA HILO SURA LAKO KAMA JENERETA.SO ili amani iwepo lazima kila mtu ajione hana sababu ya kujiona yupo juu ya mwenzio na hapo hapo penzi la ukweli litafanyizwa kwenye mioyo yao.
 

Pole sana ndugu yangu kama ni kweli unadhani hakuna na hakuna kabisa. tena yeye sio 32 PHD aliipata mwaka jana akiwa na 31. Endelea kuamini hakuna sina msaada kwako
 

The woman is a MONSTER!!!
 

Nimeipenda hii
 
Nashukuruni sana kwa michango yenu ndugu zangu. Naziona challenges zilizopo katika hili
 

32 bado kabisa. Angekuwa 40 sawa. English impandishe chati kwa nani. Wabongo lugha yetu ni kiswahili bana.
 

Nakubaliana na wewe kuhusu huyu muulizaji. Kwasababu kama ni wapenzi na dada hajaona issue mpaka sasa kaka anataka kuoa. Wasiwasi wa elimu umetoka wapi? In real life ni ngumu, lakini mapenzi ni cha kwanza. Ni dada ambaye ana degree mumewe ni STD 7 na wapo poa kabisa. Utofauti unauona lakini sister anajua jinsi ya handle issues na mume pia anajua, ni wakati gani ashiriki majadiliano ni wakati gani anasepa zake.
 

Wapo, wakinga kule Makete wana milioni 300 hadi 500 bank, wnashindana tu nani ana hela!
 
Mmmh PHD..STD 7!!!
Siku mapenzi yakipungua mwanaume atajutaa huko ndani, labda aombe apendwe daima na milele na mwanamke awe na busara za kutosha!!!!

phd kitu gani wewe? Mwanaume anapiga biashara za kufa mtu we na phd yako unakuwa mwalimu wa udsm. Imagine unakutana na mkinga wa lupila ana hotel tatu dar, tatu mbeya na nyumba za kawaida kibao. Magari kwake kitu kidogo sana. Kwenda nje muda wowote unadhani utasema nini? Si utaishia kupika ugali tu! Mshahara wako 1.5 mwenzako pato lake ni mara 100 ya wewe kwa mwezi. Chezea pesa wewe. Kuna mwalimu mmoja miaka ile makambako aliolewa na jamaa yangu darasa la saba lakini pesa mingi. Hata walipompa ukuu wa shule akagoma kwamba hawezi kuondoka na kumuacha mume wake. Mpaka leo amepunch post kadhaa za ukuu wa shule.
 
Mwambie msingi wa ndoa ni yeye kumtii mme na mme kumpenda basi.Hapo ndoa itadumu daima dumu!
 
Pamoja sana, halafu huyu STD 7mbona kama mchaga vile? Aisee mangi nipo kibiashara zaii zaiiidii kweli
 
bonge la gap for sure. ingekuwa mwanamke st 7 angejiendeleza kielimu ila mwanaume mmmh!!
 
Inawezekana wakabahatika kuwa na ndoa yenye maelewano makubwa na ya kudumu, lakini ni ngumu mno.
 
Itategemea kama nia yao itakua moja kila mmoja atachukua nafasi yake .yaani mke achukue nafasi ya uanamke wake bila kujali elimu yake na mume achukue nafasi yake bila kuogopa elimu ya mkewe.
 
Kwa ushauri wa uhakika kabisa, nenda SUA, ulizia mchaga mmoja mwenye baa pale,atakachokuambia ni zaidi ya utafiti. By the way, huyo ndugu yako ni mwalimu wa chuo flani kutoka morogoro kampas ya dar?
 
Wapo, wakinga kule Makete wana milioni 300 hadi 500 bank, wnashindana tu nani ana hela!

waambie ndugu. Kuna watu wanadhani kusoma ndo hela. By the way unafahamu wanyama hotel moja kariakoo na nyingine iko kijitonyama? Yule mzee aliishia darasa la nne kama jah people. Ana duka lipo kariakoo. Maprofesor kila siku wanalia maisha magumu, sembuse mwenye phd?
 
kakunaga coincidence ya hivyo, sema tu umetoa mfano wa kama ingetokea coz ili msichana afikie ngazi ya PHD keshakutana na wanaume wasomi wengi sana unless otherwise iwe PHD ya ki-JK ndo atapendana na std 7. After ol love siyo kitu ambacho ni natural ila ni subjective, so mdada wa PHD haiwezekani ampende mtu wa std 7
 
Elimu sio madarasa,mama yangu ni Std 7 lakini tunaweza kukaa na kuzungumza na tukaelewana..Anao uwezo wa kupresent Mada kwenye mkutano mpaka mwenyewe ukashangaa,si mtu wa ambaye unaweza kudhania kama ni std 7,..na mimi huwa namwambia ww sio std 7 maana ana uwezo mkubwa sana wa kuendesha mambo yake kama mtu mwenye masters..Kwa mfano huo mdogo ndoa hiyo inawezekana kama tu mwanamke atamuheshimu mumewe..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…